... si tu Ethiopia anauhitaji huo umeme kwa matumizi ya nyumbani bali anauhita pia kibiashara kuuza mataifa jirani. Pagumu sana hapo.Hakika,
Hili suala waongee wafikie tamati, either Misri ampatie mchango Ethiopia wa Bwawa na watapatiana umeme au alipe Ethiopia asimamishe na kuchukua umeme kutoka Aswan, Misri.
Yote kwa yote, wasilete vita maana Afrika wakimbizi wanafakiria Tanzania tu.
... chanzo kikuu cha R. Nile ni milima ya Abyssinia (Ethiopia) ambayo huchangia karibu 85% kupitia Blue Nile wakati L. Victoria and other tributaries huchangia roughly 15%. L. Victoria ni kubwa tu in terms surface area not in terms of volume.Sijakuelewa labda unisahihishe umesema Ethiopia ni chanzo kikuu cha mto nile,kivp wakati tunajua souce kubwa ni ziwa victoria
Kwani sisi tunapotumia matrillion ya pesa kutunza mazingira ili mvua zinyeshe na hatimae kujaza huo mto, huwa wanatuconsider vipi wao misri kama misri, huwa wanatupa pesa ya carbon credit? Au wanasubiri maji tu bila kujua tunavyotaabika huku kutunza vyanzo vya maji? Wajinga nini?Ethiopia Ni chanzo kikuu Cha maji ya mto Nile, pamoja na Uganda na Tanzania kwa kiasi fulani. Misri na Sudan Ni nchi ambazo zinategemea maji ya mto Nile kwa kunywa, matumizi ya nyumbani, kilimo, ufugaji na viwanda.
Vita kamili inanukia Kati ya Ethiopia na Misri kupigana kwaajili ya matuzi ya maji ya mto Nile, hasa baada ya Ethiopia kujenga bwawa (Gerd) kubwa la kufua umeme kwa kutoa maji ya mto Nile kujaza bwawa hilo litakalotumia mabilion ya ujazo ya maji ya Nile.
Misri kwa upande wake inahofia kuwa ujazo wa maji ya mto Nile yatakayofika Misri utapungua hivyo kuathiri maisha na uchumi wa Misri.
Kwenye ugomvi huu Ni vema Tanzania ikaunga mkono upande upi na kwasababu gani?
... inategemea unamaanisha nini unaposema "chanzo halisi" but the fact is that Blue Nile originating from the Abyssinian Highlands (Ethiopia) contributes 85% of the Great Nile waters while White Nile (L. Victoria) only 15%. That's the fact.Vita kwa ajili ya maji haiko mbali, chanzo halisi cha mto Nile ni Lake Victoria. Time will tell
... uko sahihi; Blue Nile originating from the Abyssinian Highlands (Ethiopia) contributes 85% of the Great Nile waters.Hata maji ya ziwa Victoria Kuna pahala yanakotoka, lakini Kuna white Nile na blue Nile ambayo inakutana pahala na kutengeneza Nile inayokwenda hadi Misri. Blue ndiyo inayochangia maji mengi kwenye Nile watanisahihisha Wana geography. Blue Nile inatoka Ethiopia/Eritrea huko
Huo ni ujinga, Misri alishwahi kutuzuia eti tusipeleke maji ya ziwa victoria kwa wananchi wa Tabora, hata sijui walipata wapi jeuri ya kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu, very arrogant, ila Lowassa aliwanyoosha, wakatuliaMama Tanzania hafungamani na pande yoyote ile.....
Hilo bwawa limejengwa along blue, white or the greater nile?Endapo ikitokea vita basi hata Misri na Ethiopia watapigana pasipo sababu za msingi, na Tanzania katika vita hiyo inabidi iwachape wote.
Vyanzo vya mto Nile ni mkanganyiko mkubwa na watu wanachukulia kwa wepesi.
White Nile, inawezekana* chanzo chake ni Rwanda/Burundi, Mto Kagera au Ziwa Nyanza (Victoria).
Blue Nile kwa hakika chanzo ni Ziwa Tana, Ethiopia.
Great Nile the mixer of White and Blue Nile inaanzia Khartoum, Jamhuri ya Sudan baada ya White x Blue Nile kuungana na kuendelea Ardan, Cairo hadi Alexandria.
Sasa sijaelewa wanaenda kupigana sababu ya Greater Nile, White Nile au Blue Nile?
Kama wanapigana sababu ya Greater Nile basi Tanzania awaadhibu wote kwa kushirikiana na Burundi, Rwanda na Jamhuri ya Sudan. Endapo chanzo cha mapigano ni Blue Nile basi Ethiopia ana haki ya kumpiga Misri na kwa White Nile bado Tanzania ana haki ya kuwachapa wote.
Mikataba ambayo pande zote tunakubaliana nayo haina shida, especially mipaka, ila kwa amabayo hatukubaliani nayo, waingie vitani kama wako tayari, au la tukae chini tuzungumze, uamuzi ni wao hao Egypt, na kwakuwa Egypt anataka kutumia huo mkataba kukandamiza nchi zingine zote, basi awe tayari kupigana nazo zote vita, maana hata sisi tulishaletewa vikwazo wakati tunajenga mradi wa maji wa ziwa victoria kwenda mikoa ya kaskazini, the agreement defies logic, its nonsensical, tutaingia vitani au laa wakubali mazungumzo kuvunja huo mkatabaTuwe waangalifu tunapoikataa mikataba iliyowekwa na wakoloni wakati ukoloni. Mkataba uliowapa Misri haki ya kwanza kwenye utumiaji wa maji ya mto Nile uliwekwa wakati wa ukoloni na wakoloni kwa manufaa ya wakoloni, sawa na mipaka ya nchi zetu iliyoko Sasa.
Je, nchi zetu ziko tayari kuachana na mipaka ya wakoloni ili tuligawe upya Bara la Africa? Iko nchi itakubali kuwa mipaka ya wakoloni haifai tuanze upya. Hata Misri kwenye hili inawezekana kuwa Ina hoja
Uko sahihi, Namimi nilijuwa hivyo... hapo kwenye red; Ethiopia naye mbishi ameombwa mara kadhaa ila kwa kuwa anajua kashika mpini analeta ubishi. Mara kibao ameitwa kwenye meza ya mazungumzo haendi.
... hapo kwenye blue; hapana, mchango wa White Nile unaoanzia L. Victoria ni roughly 15% only; share kubwa ni Blue Nile (Ethiopia) about 85%. Katika jiografia enzi hizo nakumbuka kulikuwa na swali maarufu la "why floods occur in lower Nile (Egypt) in the months of August and September?" Because, rain season in Ethiopia is in June to August so by August and September the Blue Nile waters reach Egypt. Nakumbuka kujibu hili swali kwenye papers ya mchujo FII miaka hiyo! Nashukuru hili swali lilinitoa bila kuhitaji kukariri darasa; haha haha!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakiume kambi yao itakuwa Kenya
Wao wanapotoa hewa za ukaa viwandani na kutetea ukame Afrika na watu kufa njaa, huwa tunaenda kuwafungia viwanda vyao?!Naungana na Misri kwa kuwa hawana chanzo kingine cha maji zaidi ya Nile. Wewe ungekuwa rais wa Misri ungekubali kuona watu wanakufa njaa kwa kukosa maji ya kutumia na kumwagilia mashambani?
Tatizo Ethiopia anataka ajaze maji kwa mkupuo na abadilishe mkondo wa maji. Misri anaomba mkondo wa maji usibadilike na muda wa kujaza bwawa uwe miaka kadhaa, sio mkupuo.
Kama Kuna kosa kubwa ambalo nchi za bonde la Nile watalifanya Ni kujifanya mzozo wa Ethiopia na Egypt hauwahusu. Kwavyovyote vile Vita ya Ethiopia dhidi ya Egypt kwaajili ya matumizi ya maji ya mto Nile lazima iwe yao wote. Vinginevyo itakuwa mwenzio akinyolewa tia zako maji. Tutapigwa mmoja baada ya mwingine kuhusu maji haya.Mikataba ambayo pande zote tunakubaliana nayo haina shida, especially mipaka, ila kwa amabayo hatukubaliani nayo, waingie vitani kama wako tayari, au la tukae chini tuzungumze, uamuzi ni wao hao Egypt, na kwakuwa Egypt anataka kutumia huo mkataba kukandamiza nchi zingine zote, basi awe tayari kupigana nazo zote vita, maana hata sisi tulishaletewa vikwazo wakati tunajenga mradi wa maji wa ziwa victoria kwenda mikoa ya kaskazini, the agreement defies logic, its nonsensical, tutaingia vitani au laa wakubali mazungumzo kuvunja huo mkataba
Misri unajua wanabwawa mangapi ya kufua umeme?Ukisema hivyo unakosea mkuu, sheria za kidunia haziruhusu kufanya chochote kwenye chanzo cha maji kumbuka Mbowe mashamba yake yariharibiwa kisa kuwa karibu na chanzo cha maji sasa misri wanatumia sheria hiyohiyo iliyotumika kumuharibia mbowe mashamba, ingawa mimi sioungi mkono hii sheria maana haiwezekani ziwa lote lile turuhusiwe kuvua samaki tu bila kunywa yale maji
Mkuu Tz na nchi nyingine za kiafrika hazina uwezo wa kuisaidia Ethiopia hata kidogo .Tanzania tukiacha Ethiopia waonewe, nasi zamu yetu inakuja, hivyo wakiigusa Ethiopia, wajue na Tanzania wameipiga
Basi wacha wafe woteKwa Wamisri maji ya mto Nile ndio roho yao pekee. Hawana mbadala, Ni ama wafe wote au wapone wote kutetea maji hayo.
Sema tu Misri na sudani lazima walazimishwe kuchangia gharama za utunzaji wa vyanzo vya maji hayo nakusaidia upatikanaji wa maji na nguvu za umeme kwenye nchi za bonde la mto Nile ili zisishiawishike kutumia maji ya Nile kwa matumizi ya nyumbani, umeme na kilimo. Maana Ni upuuzi Mwanza wafe kiu lakini ziwa Victoria lipo kwaajili ya Misri
Ni bora upigwe ijulikane moja, lakini sio kupokwa haki, kwenye uonevu hakuna amani ya kweli, ni kudanganyana tuNa ndiyo maana nimeitadharisha Ethiopia licha ya kuonekana iko upande wa haki lakini isije kujitoa ufahamu itakuja kukumbana na kipigo cha mbwa koko.
Arudia itapata kipigo cha mbwakoko.
Mzee nahisi hujanielewa, misri hayuko kwenye chanzo cha maji, sheria inakataza kuchepusha maji kutokea kwenye chanzoMisri unajua wanabwawa mangapi ya kufua umeme?
Hakuna shida, Somalia akithubutu kuruhusu hiyo base, kabla haijawa established tunaichakaza Somali yote, total annihalationHayo ni maji ya chumvi. Gharama za kuyatreat na teknolojia yake ngumu wanayotumia Israel haipatikani Misri. Hata hivyo mkataba wa mabeberu uliwapa haki hiyo, kama hawatokubaliana mezani lolote litatokea. Wiki hii kuna delegation ya Misri ilikuwa Somaliland wakizungumza possible military base, Somaliland na Ethiopia wanapakana.
Mkuu ninavyo wajua viongozi wetu wa kiafrika ,Ethiopia ata pigwa mpaka ata chakaa huku wakitizama na hakuna ataye jaribu kubweka.Kama Kuna kosa kubwa ambalo nchi za bonde la Nile watalifanya Ni kujifanya mzozo wa Ethiopia na Egypt hauwahusu. Kwavyovyote vile Vita ya Ethiopia dhidi ya Egypt kwaajili ya matumizi ya maji ya mto Nile lazima iwe yao wote. Vinginevyo itakuwa mwenzio akinyolewa tia zako maji. Tutapigwa mmoja baada ya mwingine kuhusu maji haya.