Tanzania katika mtanziko; Hakuna umeme, sukari wala dola. Serikali inachukua hatua gani?




Tatizo sio serikali tena ni wananchi. Jiulize wewe umefanya nini? Je umeshiriki maandamano ya kulalamika na kudai katiba mpya. Au unategemea serikali hiyo hiyo ikupe majibu. Wakati mwingine wakulaumu ni wananchi mazuba na sio wanaserikali ambao wenyewe wana jenereta, magari na nyumba kwa pesa yenu. Kama hamlalamiki na kuandamana mnasubiri wawajibu mtasubiri sana
 
Leo ni wiki ya pili hakuna maji dar
Umeme hakuna
Bidhaa zinapanda bei
Unamkuta mjinga mmoja anakuambia haoni wanaoandamana wanapoteza muda
Waafrica tuna matatizo sana aisee ndo mana wazungu wanatudharau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…