Tanzania katika mtanziko; Hakuna umeme, sukari wala dola. Serikali inachukua hatua gani?

Tanzania katika mtanziko; Hakuna umeme, sukari wala dola. Serikali inachukua hatua gani?

Dolla za nini,kwa nini tusi trade na partners wetu kwa fedha zetu.why USD??
why USD??
USD ndo Master of all Trades(A jack of all trades). Ku trade na Partners wetu ni sawa lakini Partners wetu wana mapungufu mengi i.e. Hawana wigo mpana. Tutakwama mahali halafu tunairudia USD tukiwa tumeinamisha vichwa.😱.
 
Ile kauli mbiu ya maza anaupiga mwingi sijui iliishia wapi
 
Mara paa... Sukari sh. 1500 kilo, wote humu meno nje nje, utawasikia ccm oyeeee. Mama anaupiga mwingi 🤣🤣🤣
 
Kupanda kwa bei ya sukari, hii ni artificial price. Bei hii hupangwa na wazalizlshaji ili wapate faida kubwa kwa kuuza sukari chache. Wanacho fanya ni kupunguza uzalishaji kwa maksudi na kustock sukari chini ili kutengeneza ukosefu wa sukari usio wa kweli. Lengo ni faida iliopitiliza.

Serikali ili kukabaliana na hili waruhusu wafanya biashar waagize sukari nje bila kibali. Waruhusu watu wanunue sukari malawi kenya na zanzibr, uone kama bei ya sukari haitafika kilo 1,500/-. Wakiruhusu watu waagize, hawa wajinga wataachilia mzigo uliopo stoo na production to maximum itafikiwa.

Tofauti na hapo ukimya wa serikali ni wazi waziri wa fedha, waziri wa viwanda wote wapo kwny payroll ya wazalishaji wa sukari na wanufaika wa kupanda kwa bei.
 
20240219_092859.png
hapo vipi 👆👆👆
 
Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.

Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.

Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.

Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.

Uhaba wa dola nao ukishika kasi.

Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.

Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.

Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.

Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??

Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.

Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.

Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Mama anajitesa bure atowe ruksa tuu
 
Haya mambo hayapaswi kufichwa fichwa.

Serikali iyashughulikie kwa uwazi.

Madhara yake ni makubwa kwa uchumi yakiachwa yaendelee kwa muda mrefu.
Mkuu sikuhizi akili imekukaa vizuri? Vipi unazungumziaje hadaa za makonda je ni utatuzi wa mambo au dhihaka kwa watanzania?
 
Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.

Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.

Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.

Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.

Uhaba wa dola nao ukishika kasi.

Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.

Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.

Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.

Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??

Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.

Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.

Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
KWANI MWENEZI MAKONDA ANASEMAJE?
 
Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.

Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.

Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.

Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.

Uhaba wa dola nao ukishika kasi.

Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.

Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.

Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.

Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??

Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.

Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.

Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Tumlaumu magufuli kwa kutuletea huyu rais
 
Back
Top Bottom