mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Na wewe kimbilia BurundiSamia ametharau wananchi ,umeme hakuna,sukari hakuna yeye amekimbilia Ethiopia
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe kimbilia BurundiSamia ametharau wananchi ,umeme hakuna,sukari hakuna yeye amekimbilia Ethiopia
Serikali nzima jana ilikuwa msibani kwa Edward Ngoyai Lowassa huko Monduli Arusha.Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.
Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.
Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.
Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.
Uhaba wa dola nao ukishika kasi.
Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.
Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.
Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.
Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??
Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.
Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.
Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Hakuna Cha aggressive Wala nn!!Serikali nzima jana ilikuwa msibani kwa Edward Ngoyai Lowassa huko Monduli Arusha.
Kama ulikuwa unawatazama vyema kwenye nyuso zao kuanzia Rais, VP, PM na Spika wa bunge, ni kana kwamba hawaoni na hawajui kabisa kuwa nchi iko ktk mkwamo mkubwa tokana na matatizo haya
Yaani hawajui kabisa kuwa nchi iko gizani, haina umeme, haina fedha za kigeni na bidhaa muhimu (sukari) zimeadimika na maisha ya wananchi wa kawaida kuwa magumu kupita kiasi.
Lakini huyu mtu mama tunayemwita "Rais" ukimtazama mara zote yuko comfortable anavimba mashavu tu, she's completely unaware of these problems. Inafikia mtu anajiuliza nchi hii ina kiongozi kweli au tuna sanamu ya mwanamke fulani tu pale yenye jina la Rais?
Huyu mama Rais Samia kafanya kosa kubwa sana kawaachia wahuni kina Mwigulu Nchemba, kina Paulo Makonda, kassimu Majaliwa kuindesha nchi hii watakavyo huku yeye akila misele tu huko duniani akiacha matatizo kama haya nchini mwake yakishamiri. Muda si mrefu atajuta kuzaliwa na kuwa Rais.!
Kama kuna mambo yanayopaswa kuiangusha serikali hii Sasa ni haya.
Inashangaza kuwa hata haya maandamano yanayoratibiwa na CHADEMA si aggressive kwa kiwango cha kuwashitua wenye madaraka. Maandamano haya - address haya maswala kwa ufasaha and aggressively kiasi cha kuwaamsha usingizini hawa watu.
Tuwaambie CHADEMA wabadili mbinu. Vinginevyo wanajichosha tu kutembea. Kiuhalisia kama Yale ya DSM na Mwanza pekee yangekuwa aggressive, tungeshaona mabadiliko kwa muda huu mfupi. Lakini kwa kuwa mnawabembeleza hawa watu, basi mtamaliza miji yote na kunaweza kusiwe na matokeo!!
Ishu ya umeme inawaathiri uchumi wa wananchi kwa kiwango kikubwa sana. Wananchi wana hasira na hawaelewi kabisa ni kwanini Iko hivi huku kiongozi mkuu wa nchi akichukulia poa tu..
A rabit must be free.Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.
Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.
Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.
Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.
Uhaba wa dola nao ukishika kasi.
Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.
Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.
Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.
Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??
Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.
Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.
Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Wanahemea kwenye kodi zetu na kamisheni mbali mbali hawawezi hisi maumivu yeyote.Serikali nzima jana ilikuwa msibani kwa Edward Ngoyai Lowassa huko Monduli Arusha.
Kama ulikuwa unawatazama vyema kwenye nyuso zao kuanzia Rais, VP, PM na Spika wa bunge, ni kana kwamba hawaoni na hawajui kabisa kuwa nchi iko ktk mkwamo mkubwa tokana na matatizo haya
Yaani hawajui kabisa kuwa nchi iko gizani, haina umeme, haina fedha za kigeni na bidhaa muhimu (sukari) zimeadimika na maisha ya wananchi wa kawaida kuwa magumu kupita kiasi.
Lakini huyu mtu mama tunayemwita "Rais" ukimtazama mara zote yuko comfortable anavimba mashavu tu, she's completely unaware of these problems. Inafikia mtu anajiuliza nchi hii ina kiongozi kweli au tuna sanamu ya mwanamke fulani tu pale yenye jina la Rais?
Huyu mama Rais Samia kafanya kosa kubwa sana kawaachia wahuni kina Mwigulu Nchemba, kina Paulo Makonda, kassimu Majaliwa kuindesha nchi hii watakavyo huku yeye akila misele tu huko duniani akiacha matatizo kama haya nchini mwake yakishamiri. Muda si mrefu atajuta kuzaliwa na kuwa Rais.!
Kama kuna mambo yanayopaswa kuiangusha serikali hii Sasa ni haya.
Inashangaza kuwa hata haya maandamano yanayoratibiwa na CHADEMA si aggressive kwa kiwango cha kuwashitua wenye madaraka. Maandamano haya - address haya maswala kwa ufasaha and aggressively kiasi cha kuwaamsha usingizini hawa watu.
Tuwaambie CHADEMA wabadili mbinu. Vinginevyo wanajichosha tu kutembea. Kiuhalisia kama Yale ya DSM na Mwanza pekee yangekuwa aggressive, tungeshaona mabadiliko kwa muda huu mfupi. Lakini kwa kuwa mnawabembeleza hawa watu, basi mtamaliza miji yote na kunaweza kusiwe na matokeo!!
Ishu ya umeme inawaathiri uchumi wa wananchi kwa kiwango kikubwa sana. Wananchi wana hasira na hawaelewi kabisa ni kwanini Iko hivi huku kiongozi mkuu wa nchi akichukulia poa tu..
Tuko busy tunaendelea na shughuli za msiba wa Ngoyai.Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.
Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.
Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.
Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.
Uhaba wa dola nao ukishika kasi.
Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.
Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.
Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.
Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??
Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.
Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.
Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Vipi form mmeshamchukulia huko?Samia ametharau wananchi ,umeme hakuna,sukari hakuna yeye amekimbilia Ethiopia
Watanzania kama "kuja.mb..a", tume.jamb..a sana awamu hii hii, bado ku...ny...a tu.Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.
Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.
Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.
Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.
Uhaba wa dola nao ukishika kasi.
Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.
Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.
Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.
Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??
Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.
Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.
Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Sisi hatuna viongozi, tuna "nyani" tena nyani waharibifuManyangau yanatukebehi.
Na tunastahili maana tuna viongozi wabinafsi mno.