Mabula Msirikale
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 657
- 1,540
Mgao wa maji pia upo jijini Dar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kudandia porojo na uzushi wa Wakunya.Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.
Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.
Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.
Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.
Uhaba wa dola nao ukishika kasi.
Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.
Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.
Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.
Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??
Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.
Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.
Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Naunga mkono hojaKIZIMKAZI Hana muda na watanganyika. YY na safari TU
Je, ni kweli waTz tunanunuliwa kwa bei rahisi. 😵 😵Mara paa... Sukari sh. 1500 kilo, wote humu meno nje nje, utawasikia ccm oyeeee. Mama anaupiga mwingi 🤣🤣🤣
Muda utaongea 🤣🤣 wewe subiriJe, ni kweli waTz tunanunuliwa kwa bei rahisi. 😵 😵
Tuliaswa tule kwa urefu wa kamba zetu. 😳Muda utaongea 🤣🤣 wewe subiri
Maana wengi tunaamini maisha ni sukari
Maisha ni umeme
Kumbe maisha ni zaidi ya hayo
Huyu naye ni mwehu sasa hana lolote maisha gani bila sukari? Ametoka kwenye taaluma na kuanza kufanya siasa!View attachment 2908794hapo vipi 👆👆👆
Viatu alivyovaa mwamba wengi visingewatosha
CCM ni national disaster, viongozi karibu wote wote ni wezi, selfish and greedy lakini sisi wenyewe ndio tunawaendekeza ila tukiamua kuibadilisha nchi yetu tunaweza kabisa.Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.
Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.
Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.
Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.
Uhaba wa dola nao ukishika kasi.
Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.
Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.
Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.
Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??
Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.
Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.
Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Mimi naweza kupunguza matumizi ya sukari ni kweli lakini si eti kwa sababu bei iko juu, vp kuhusu watoto wetu wanywe uji bila sukari kweli?Huyu naye ni mwehu sasa hana lolote maisha gani bila sukari? Ametoka kwenye taaluma na kuanza kufanya siasa!
Pole sana Nifah [emoji2955][emoji19]Nimetoka kununua sukari 5,000/= kwa kilo nimeumia sana.
Tumeambiwa na Wabunge wawili Bungeni kwamba bwawa la Mtera halina maji kabisa na huku pembeni maji ni mengi mpaka kuvuka kingo! Hii ni hujuma kwa Rais na inatekelezwa na baadhi walio mzunguka! Ni matumaini yangu siku chache zijazo tutasikia kishindo cha hatua za kinidhamu zikichukuliwa dhidi ya wahusika kuanzia Menejimenti,Bodi,Watendaji, Wanausalama na wanasiasa husika!Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.
Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.
Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.
Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.
Uhaba wa dola nao ukishika kasi.
Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.
Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.
Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.
Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??
Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.
Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.
Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
TRA wamebaki kutupigia simu eti wanatudai,tunawaambia sisi hatuna biashara lakini hawasikii, kesho naandika barua ya kufunga shughuli zangu.Tanzania hakuna umeme, sukari wala dola.
Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.
Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.
Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.
Uhaba wa dola nao ukishika kasi.
Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.
Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.
Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.
Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??
Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.
Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.
Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Na CCM na Chadema ndio baba wa hayo yote. Chadema ni wasaka tonge tu wala hawawakilishi mwananchi wa kawaida, wanaandamana ili wapate misaada kutoka kwa wazungu na sio kuteteta wananchi wote ni walamba asali.Sukari inasababisha magonjwa.
Umeme unaharibu mazingira.
Dola ni ubeberu.
Umeandamana au unalalamika umejificha JFTanzania hakuna umeme, sukari wala dola.
Huku tukiambiwa kuwa awamu hii uchumi unakua kuliko awamu yoyote ile, makusanyo ya TRA yakivunja rekodi.
Tatizo la umeme nalo limekua sugu bila kupata ufumbuzi wa kudumu na hali ikizidi kuwa mbaya kila siku.
Sukari nayo kila mtu anauza anavyojisikia.
Uhaba wa dola nao ukishika kasi.
Kama kweli uchumi unakua, itakua ajabu kama dola zitaadimika.
Maana factor moja wapo ya kukua kwa uchumi ni ongezeko la mauzo ya nje , na mauzo ya nje ni fedha za kigeni. Dola inaadimikaje.
Kukua kwa uchumi means ongezeko la uzalishaji.
Uzalishaji unaongezekaje kama hakuna nishati ya uhakika??
Kukua kwa uchumi means bei ya bidhaa kuwa stable, huu uchumi wa kukamiana kwa bei za bidhaa ni kwa baadhi ya wafanyabiashara tu sio wananchi.
Viongozi wetu hatuwaoni wakijihusisha na mambo haya.
Serikali ina mpango gani kuaddress hizi issues.??
Nyie ndo tumeambiwa na papa mbarikiwr??Na CCM na Chadema ndio baba wa hayo yote. Chadema ni wasaka tonge tu wala hawawakilishi mwananchi wa kawaida, wanaandamana ili wapate misaada kutoka kwa wazungu na sio kuteteta wananchi wote ni walamba asali.