Tanzania kinara wa Utalii Afrika 2022

awesomefully,

Niliwaambia huyu Mama atafanya maajabu makubwa sana Tanzania baadhi yenu hamkunielewa, Nadhani kwa sasa mmeanza kuelewa taratibu, Hongera Sana Mama Samia,
 
Daaah,

Ila uongozi wa huyu Mama mambo yananyooka sana aise,
Marekani haijawahi kuipigia debe Tanzania kwa kiasi hiki,Wanamchukia huyu mama hawajui Dunia inaendaje leo
Mambo ni mazuri sana tu
 
Kaziindelee Tanzania
 
Viva Tanzania
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Safii sana

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Aya bwana wasisahau kuwa na ipo kwenye top five nchi maskini
 
Dalili za 2025Fever
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…