Tanzania kinara wa Utalii Afrika 2022

Tanzania kinara wa Utalii Afrika 2022

===
TheGrio ya Marekani waitaja nchi ya Tanzania kuwa miongoni mwanchi tano zinazofaa zaidi kwa utalii 2022 barani Africa wakati wa kipindi cha baridi,

TheGrio, Chaneli maarufu zaidi nchi Marekani wakitumia Mbuga ya Serengeti, bichi mbalimbali visiwani Zanzibar na makumbusho mbalimbali wameihakikishia Dunia kuwa Tanzania ni sehemu salama na inavutia zaidi Africa kwa Kutalii hasa wakati wa baridi,

TheGrio wamekanusha tishio la Usalama kwa watalii na kuihakikishia dunia kuwa Tanzania ni Salama zaidi kwa Utalii Barani Africa ikiwa ni pamoja na Morocco, Nigeria, Africa Kusini na Misri,Heko Rais Samia Suluhu kwa "Royal Tour "

TheGrio wameendelea kuwashawishi Wamarekani na nchi mbalimbali kuwa wafikapo Tanzania watakutana na Serengeti na wataona "The Big five " yaani tembo,twiga,Faru,Nyumbu,Simba na Duma,Hakika jina la Tanzania nje linang'aa Sana tuendelee kuchapa kazi,






View attachment 2071767




>>endelea kujisomea hapo chini <<
Kumbe royal tour imeishafika marekani!! Idiot 🚮🚮🚮
 

Tanzania named among top 5 tourist destinations in Africa​



Tourism pic

Game drives are popular activities in Serengeti National Park.

Summary

  • Tanzania was also picked for its wildlife splendor, notably the expansive and award-winning Serengeti National Park.

Tanzania has been named by the US digital TV channel as being among the five top tourist destinations in Africa.

The spectacular Serengeti National Park, beaches in Zanzibar and cultural tourism are cited as the main attractions.

“Tanzania boasts the most beautiful, world-class beaches you may ever see,” said TheGrio, the digital channel.

It added that Tanzania was safe for international tourists despite the oft-published negative travel advisories in the West.

“The country is safe. So it’s a top destination, indeed,” the digital TV said in its recent upload on its website.

The message was especially addressed to Americans intending to travel abroad this season to avoid the chilly winter at home.
Other countries named are Morocco, specifically its Marrakech city in the Atlas mountains, Nigeria, South Africa (Cape Town) and Egypt.

Tanzania was also picked for its wildlife splendor, notably the expansive and award-winning Serengeti National Park.

“At Serengeti, you can witness all the Big Five - the black rhino, buffalo, lion, leopard and elephant - within the park,” TheGrio dispatch says.

The 14,763 square kilometre protected area has one of the largest concentrations of wild animals in the world.

These include the 1.5 million wildebeests, 250,000 zebras and the largest lion population in Africa.

The park has won many world awards over the years, the latest being the World Travel Award (WTA) it won in October last year.

The global initiative named the famous protected area as Africa’s leading national park for a third year in a row.

The TV channel also cited cultural tourism as among the factors which make Tanzania to excel in travel and tourism.

“You can visit the Maasai villages and get a chance to learn some skills from the locals - and also give back to the communities,” the dispatch says.

Prior to the outbreak of Covid-19 and detection of the first case in the country in early 2020, the US was the leading source of tourists to Tanzania.

Tourist arrivals hit a record high of 1.5 million in 2019, generating about $2.6 billion in revenues. However, the figures fell to 620,867 visitors in 2020 generating $1.7 billion.

The TV channel also spoke on the rich historical and archeological insights which have placed Tanzania top as the Cradle of Mankind.

“Tanzania is the soul of Africa, where many anthropologists relocate,” it said. The leading human origin sites in Tanzania include the Olduvai Gorge and Laetoli.

GrioTV - which was launched in June 2009 as a division of NBC News - says Africa’s cultural attractions have equally played a part in keeping the continent’s tourism on the radar.

“From the land of lush resources to the actual birthplace of humanity, Africa is the heralded queen of continents,” it pointed out.

TheGrio is an American TV channel and website with news, opinion, entertainment and video content geared toward African-Americans.
Shida kubwa pia Watanzani Kiingereza ni Shida, Uwe unawafafanulia hadi mwisho
 
Big five : Tembo, Faru, Twiga, Simba na Chui.
big 5
nyati:waliwindwa kwa ajili ya nyama.
tembo:aliwindwa kwa ajili ya meno.
simba:kwa ajili ya ngozi kama urembo.
chui:kwa ajili ya ngozi kama rembo.
kifaru😛embe kwa ajili kutengenezea madawa maalumu.

hao ndio big 5.
ni kwa sababu waliwindwa sana na sio sababu ni wakubwa.
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Hao watalii hata wakimiminika kwa wingi nchini kama hakutakuwa na matumiz bora ya pato la taifa, hiyo ni kazi bure.

Kama hakutokuwa na uboreshwaji wa maisha ya wananchi hususan masikin choka mbaya na ajira kwa vijana, hapo hakuna umuhimu wa hao watalii wala umuhimu wa top5.

Kama kila siku maisha yanapanda, bidhaa zinapanda, pembejeo za kilimo zinapanda, huduma za kijamii znapanda gharama wakati uo pato la mwanchi likiwa bado chini na linaendelea kunyonywa kupitia makodi yakijizi na kifisadi, basi itoshe tu kusema huyo bibi kizee wenu hakuna analofanya zaid ya kubomoa nchi, maana uchumi wa kweli unaanzia ndani ya nchi kwa pato la mtu mmoja mmjoa, na ndipo yanafuata hayo makolokolo ya kutegemea mapato ya wageni.

Mnaosifia sana mtakuwa hamuyajui maisha ya wananchi huku mitaani

Useless kabisa
Screenshot_20220107-214941.jpg
 
Hao watalii hata wakimiminika kwa wingi nchini kama hakutakuwa na matumiz bora ya pato la taifa, hiyo ni kazi bure.

Kama hakutokuwa na uboreshwaji wa maisha ya wananchi hususan masikin choka mbaya na ajira kwa vijana, hapo hakuna umuhimu wa hao watalii wala umuhimu wa top5.

Kama kila siku maisha yanapanda, bidhaa zinapanda, pembejeo za kilimo zinapanda, huduma za kijamii znapanda gharama wakati uo pato la mwanchi likiwa bado chini na linaendelea kunyonywa kupitia makodi yakijizi na kifisadi, basi itoshe tu kusema huyo bibi kizee wenu hakuna analofanya zaid ya kubomoa nchi, maana uchumi wa kweli unaanzia ndani ya nchi kwa pato la mtu mmoja mmjoa, na ndipo yanafuata hayo makolokolo ya kutegemea mapato ya wageni.

Mnaosifia sana mtakuwa hamuyajui maisha ya wananchi huku mitaani

Useless kabisaView attachment 2072603
Kazi nzuri sana
 
Tanzania tuko katika uelekeo sahihi sana tuendelee kumwombea rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan,

Tunakila sababu ya kujivuna,
 
Back
Top Bottom