#COVID19 Tanzania kuanza kuzalisha chanjo zake za COVID-19

#COVID19 Tanzania kuanza kuzalisha chanjo zake za COVID-19

Mzungu kabadirisha masharti watasema tz ndo inazalisha ila ndo hizo hizo za mzungu.

Michanjo yenyewe wanalazimisha watu vijijini.sasa wameona haitoshi wanalazimisha wenye ukimwi kupata hiyo chanjo kwa kazima.

Eti mpaka 2030? Kwani mpaka uko kote covid itakuwepo? ,huyu mama nini kimempata?

Magufuli alikuwa sahihi mzungu ukimnyenyekea kwa kila kitu anakufanya anachotaka.

Mama mwenyewe hatulii nchini yaan kafata nyendo za jk ni full kuzunguka dunia nzima.
 
Uzi uhamishiwe jukwaa la utani/vichekesho alafu tuendelee na majadiliano

Hahahaha yani kuna hospital fulani nilikwenda na mgonjwa wangu daktari akaniambia hana peni ya kuandikia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hii chanjo sijui itakuwaje....


Hii labda atachoma kwanza yeye na wajukuu wake
 
Tupeni taarifa ya kiswahili. Vinginevyo, tueleze kama tumepewa kandarasi ya kueneza lugha ya Kiingereza Ulimwenguni. Na sisi kaziI yetu ya kueneza kiswahili tumeiacha ama imetushinda?
Kiingereza chenyewe cha ku-manufacture vaccines! 😆😆😆
 
Kiingereza chenyewe cha ku-manufacture vaccines! [emoji38][emoji38][emoji38]
Kazi za kupeana tutafanyaje. Kuna nyepese kuwa mama yake na mwandishili ilikuwa akimsaidia bi mkubwa kujibu maswali skonga.
 
Rais Samia amesema Tanzania ina mpango wa kuanzisha kiwanda cha kutengeneza chanjo za UVIKO-19 ikiwa ni juhudi za kupambana na janga hilo pamoja na magonjwa mengine.

Rais Samia amesema hayo wakati akifanya mazungumzo na Rais wa Baraza la Ulaya, Bw. Charles Michel, jijini Brussels nchini Ubelgiji ambapo amemwambia Bw. Michel kuwa Tanzania inalenga kuwa mzalishaji na msambazaji wa chanjo hizo katika nchi za EAC pamoja na SADC.

Akielezea umuhimu wa hatua hiyo, Rais Samia amesema kuna uwezekano wa Tanzania kutumia kiasi cha Shilingi bilioni 216 katika uingizaji wa chanjo ifikapo mwaka 2030.
Mambo ya kipumbavu.
 
Hahahaha yani kuna hospital fulani nilikwenda na mgonjwa wangu daktari akaniambia hana peni ya kuandikia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hii chanjo sijui itakuwaje....


Hii labda atachoma kwanza yeye na wajukuu wake
Hii chai sasa, kwamba doctor akose pen??
 
Nadhani watazalisha under license ya watengenezaji wakubwa (kama ni kweli). Ila bado ni usanii tu kwani Tanzania hakuna watu wanaotaka chanjo. Kimsingi walishasahau kabisa kama kuna korona. Hii ni siasa ya kujikomba kwa mabeberu na hakuna kitu serious.
Amekaribisha mabeberu wajenge kiwanda cha chanjo bongo. Lakinin mama unajua kabisa kuwa watz walio wengi hawana habari na huo usanii wa chanjo!! Labda hapo ulichosaidia ni watg kupata vibarua kwenye kiwanda hicho.
 
Amekaribisha mabeberu wajenge kiwanda cha chanjo bongo. Lakinin mama unajua kabisa kuwa watz walio wengi hawana habari na huo usanii wa chanjo!! Labda hapo ulichosaidia ni watg kupata vibarua kwenye kiwanda hicho.
Hivi zile chanjo walizoleta zimeshamalizika?!
 
Mbona Nchi haina university Teaching hospital hadi karne hii. Hiyo chanjo atawezekana.
 
Ni mwendo wa kula fweza ya wazungu kupitia researches za vitu kama hizi...
 
Back
Top Bottom