Exorcist
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 1,235
- 1,268
Sema hutaki kuelewa. Ni kwanini wamasai wanafukuzwa kwenye Ardhi yao ya asili?Hueleweki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema hutaki kuelewa. Ni kwanini wamasai wanafukuzwa kwenye Ardhi yao ya asili?Hueleweki
Jibuni hoja, sio mnajifariji kama mbwa vichakani. Ni kwanini wamasai wanafukuzwa kwenye ardhi yao ya asili?Jamaa mbishi sana halafu hataki kueleweshwa
Mwaka juzi tulikuwa tunajenga Hekalu la Mkuu wa Dawoodi Bohra pamoja na Villa zingine kule Ipole kwenye kitalu kinachomilikiwa Na wahindi Wa AFRICAB ADVENTURE (UGUNDA CAMP).We Fala tu huna unalojua
Hawafukuzwi ila wanahamishwa ili kulinda hifadhi dhidi ya kupungua wanyama sababu ya ongezeko la watu na mifugo kupita uwezo wa hifadhi.Sema hutaki kuelewa. Ni kwanini wamasai wanafukuzwa kwenye Ardhi yao ya asili?
Hawawezi kuisha maana wanazaliana kila msimu.Mpaka Hapo Ujue Wanyama Wataisha
Kupata au kutopata maendeleo hakusababishwi na kuua au kutokuua wanyama,ila inatokana na shughuli za uzalishaji mali na kiuchumi ndani ya nchi husika.Jibu hoja hizo; pia ni kwanini hadi leo hatujapata hayo maendeleo wakati tumekuwa tukiua wanyama tangu uhuru, leo kimebadilika nini kitakachotuletea hayo maendeleo?
Na nchi sihami vilevile
😂😂😂😂😂, kwahiyo mnatoa vibali vya kuua wanyama ili waongezeke si ndio? Hakyaaaanani, kweli taahira sio hadi uokote makopoHawafukuzwi ila wanahamishwa ili kulinda hifadhi dhidi ya kupungua wanyama sababu ya ongezeko la watu na mifugo kupita uwezo wa hifadhi.
Sasa kama tumekuwa tukiuwa wanyama na hayo maendeleo mnayosema hatukuyapata, ni vipi tutayapata kwa mauaji ya awamu hii? Nini kimebadilika?Kupata au kutopata maendeleo hakusababishwi na kuua au kutokuua wanyama,ila inatokana na shughuli za uzalishaji mali na kiuchumi ndani ya nchi husika.
Kuua au kuuza wanyama hai nje ya nchi ni njia moja wapo ya kuongeza kipato kwa serikali husika, Sasa matumizi ya hizo fedha zinazopatikana ni jukumu linalobaki kwa serikali husika.
Kuwinda wanyama kwa ajili ya kitoweo na fedha za kigeni hufanyika miaka mingi tu hapa Tz....halafu wanyama huwindwa kwenye vitalu tu ( vya uwindaji) na sio hifadhi za taifa.😂😂😂😂😂, kwahiyo mnatoa vibali vya kuua wanyama ili waongezeke si ndio? Hakyaaaanani, kweli taahira sio hadi uokote makopo
Wanyama wanawindwa kama njia ya kupata vitoweo,ngozi na fedha za kigeni (utalii wa uwindaji) hivyo hakuna kosa hapo.Sasa kama tumekuwa tukiuwa wanyama na hayo maendeleo mnayosema hatukuyapata, ni vipi tutayapata kwa mauaji ya awamu hii? Nini kimebadilika?
Wamasai wanahamishwa tu ili kuilinda hifadhi ya Ngorongoro sio kufukuzwa.Pia kwanini wamasai wafukuzwe kwenye maeneo yao ya asili ili waje waarabu kuua wanyama, why?!
Mama mtawala ni taifa la nje lakini anaitawala TZ hana uchungu wowote na TanganyikaWhat? ebu ongeza sauti. Tafadhali, hatukubaliani
Kama mnaona mama siyo mtz basi tuvunje muungano tugawane fito maana mmezidi sana ubaguzi wakati nyie ndio mmeukumbatia muunganoMama mtawala ni taifa la nje lakini anaitawala TZ hana uchungu wowote na Tanganyika
Kwamba kitu kimekuwa kikifayika miaka mingi hata kama ni kiovu tukiache tu kiendelee, kuna jamaa hapo juu katokea mfano wa shoga anaeambiwa aache ushoga, halafu yeye anakazana kwamba ku-f-r ** hajaanza leo, kwahiyo huo ndio utetezi wake, aachwe tu aendelee kisa hajaanza leo?!Kuwinda wanyama kwa ajili ya kitoweo na fedha za kigeni hufanyika miaka mingi tu hapa Tz....halafu wanyama huwindwa kwenye vitalu tu ( vya uwindaji) na sio hifadhi za taifa.
Huko vitaluni wanyama wakiwa wengi ni vizuri wawindwe ili nchi ipate mapato kuliko wageuke usumbufu kwa wananchi wanaoishi pembeni mwa vitalu.
Fedha zilizokuwa zikipatikana kwa mauaji ya Simba tangu uhuru hazikuweza kufanya hayo, Leo nini kimebadilika kwamba mauaji ya awamu hii ndio yafanye hayo?Wanyama wanawindwa kama njia ya kupata vitoweo,ngozi na fedha za kigeni (utalii wa uwindaji) hivyo hakuna kosa hapo.
Serikali imesema fedha zitatumika kuboresha maisha ya jamii zilizo pembezoni mwa hayo maeneo ya vitalu.....ni vipi watafanya hilo wanajua wao.
Wamasai wanahamishwa tu ili kuilinda hifadhi ya Ngorongoro sio kufukuzwa.
hilo la waarabu kuja kuua wanyama umelipata wapi ?, Kama ni kuwinda hata wazungu na waafrika pia wanawinda.
Ndugai hakukosea kusema tutapigwa mnada, bendera kurushwa Burj khalifa tuliambiwa bure, kumbe ndio wanakuja kutupiga mnada huku tunajiona, wamasai wanafukuzwa kama mbwa kwenye ardhi yao, inauma sanaMama mtawala ni taifa la nje lakini anaitawala TZ hana uchungu wowote na Tanganyika
Sasa kama ni ukweli usisemwe, tunauzwa huku tunajiona, tunyamaze?!!Kama mnaona mama siyo mtz basi tuvunje muungano tugawane fito maana mmezidi sana ubaguzi wakati nyie ndio mmeukumbatia muungano
Uwindaji wa wanyama haujawahi kuwa uovu.Kwamba kitu kimekuwa kikifayika miaka mingi hata kama ni kiovu tukiache tu kiendelee, kuna jamaa hapo juu katokea mfano wa shoga anaeambiwa aache ushoga, halafu yeye anakazana kwamba ku-f-r ** hajaanza leo, kwahiyo huo ndio utetezi wake, aachwe tu aendelee kisa hajaanza leo?!
Hata wanapowindwa wanatuingizia pesa za utalii.Hilo la kusema wanawindwa kwenye vitalu nani kabisha?Regardless ni ndani au nje ya vitalu, wanyama hao wasiuwawe, waachwe kwa ajili ya utalii utakaotuingizia pesa pia.
Hilo linafahamika ndio maana Faru mweusi huruhusiwi kuwinda ila walio wengi kama Simba, chui, nyumbu, mbogo na hata tembo hamna tatizo wakiwindwa maana wakizidi wanasumbua wakazi wa maeneo karibu na vitalu.Wanyama mmeshaambiwa ni endangered species, halafu nyie mnasema wamekuwa wengi, kama sio si kurogwa ni nini hiki mnatetea?!
Hazikufanya hayo sababu haikuwa kipaumbele cha tawala hizo, ila kwa Sasa zitafanya maendeleo za hayo maeneo sababu ni kipaumbele cha utawala wa Sasa.Fedha zilizokuwa zikipatikana kwa mauaji ya Simba tangu uhuru hazikuweza kufanya hayo, Leo nini kimebadilika kwamba mauaji ya awamu hii ndio yafanye hayo?
Hifadhi itakayolindwa kwa kuhamisha watu ni Ngorongoro tu na sio vitalu vya uwindaji, usichanganye mambo.Wanahamishwa ili kulinda hifadhi?!, yaani mnalinda hifadhi kwa kugawa vibali vya kuua wanyama?! Ama kweli taahira si hadi uokote makopo.
Hilo la waarabu lina taarifa nyingi sana hivyo siwezi kulizungumziaHilo la waarabu , hujui kampuni inaitwa OBC waliopewa awamu ya pili eneo la Loliondo, na sasa ndio wanataka kupewa lingine? muulize maulid Kitenge hapo chini aliyelipwa ili kuanzisha propaganda dhidi ya wamasai
Kufukuza wazawa kwenye ardhi yao ili waarabu waje waue wanyama si uovu? Au unadhani wale wamasai ni wanyama kama ngedere flani hivi, msijisahau hivyo, wale ni binadamu kama wewe na mimi, hata kama wanaishi porini na wanyama. Mnaonaje waZanzibari wote tuwahamishie Mtwara maana lile ni eneo la kitalii, kwamba wamekuwa wengi mno, hiyo imekaaje?Uwindaji wa wanyama haujawahi kuwa uovu.
Hata wanapowindwa wanatuingizia pesa za utalii.
Utalii wa kuangalia tu hautoshi (hata washindani wetu wana wanyama) , lazima tupanue wigo wa utalii ndio maana tuna vitalu vya kuwinda.
Hilo linafahamika ndio maana Faru mweusi huruhusiwi kuwinda ila walio wengi kama Simba, chui, nyumbu, mbogo na hata tembo hamna tatizo wakiwindwa maana wakizidi wanasumbua wakazi wa maeneo karibu na vitalu.