Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangejua atakufa juzi wangemtia kweny kitalu na mnada kabisa wa kumuua bilioni 5Kwahiyo unataka ufuge hao simba wanaliwa nyama? Unadhani yule faru rajabu au babake faru John wangeuzwa wakiwa hai si tungepata hela?
Huyo hawajui TANAPA waende maeneo ya Tabata shule wamuulizie John Mangi alikuwa mfanyakazi TANAPA alipiga milioni mia nane Wema Sepatu na wenzake bongo movies wanamjua,sasa hivi anabeti mikeka ya jelo jelo.Kama hujui kitu kaa kimya, hakuna muwindaji wa TANAPA katika hii nchi. Pia faida inayopatikana kwa hao wanyama kuwa hai ni kubwa kuliko hiyo ya kuwawinda.
Tatizo linaanzia hapo hzo pesa zitaishia kwenye mifuko ya wajanja wachache.Wazo zuri hainaa maana kujivunia tembo laki 2 au simba elfu 60 huku huna hela .ni bora kuwauza tupate hela yakufanya maendeleo
Turuhusiwe na sisi wawindaji wa Kizalendo tuwapunguze hao Tembo.Tanzania inakusudia kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji, ambapo wawindaji wataruhusiwa kuwaua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee.
Mnada huo unakusudiwa kuzalisha TZS bilioni 69.6, na 25% ya fedha hizo zitaelekezwa kuzisaidia jamii zinazoishi jirani na vitalu hivyo.
View attachment 2160537
umenikumbusha issue ya kilimanjaro hotel Marehemu Mengi alivyopambana akachemka.Turuhusiwe na sisi wawindaji wa Kizalendo tuwapunguze hao Tembo.
Hii nchi mkuu ina wajinga wengi kweli kweli.Watoto wa miaka ya 2000 watalalamika as if Samia ndio kaanzisha
Una maanisha nn yaniAliyempa magufuli alitukosea sana watanzani yule alitakiwa awe waziri mkuu haya mambo kama ya kipuuzi ndo angehangaika nayo wameenda kumpa uraisi kajisahau wameondoka naye halafu hzo pesa zote zinaishia mifukoni mwa watu.
Hivi vitalu vimetengwa maalumu kwa ajili ya kuendesha uwindaji kwa kulipia, na serikali inapata fedha kwa kupitia huu uwindaji kwenye vitaluKwani wakiwaacha wafe wenyewe inawapa hasara gani?
Acha kupotosha, ulitakiwa useme kwamba TANAPA (Tanzania National Park) wao kazi yao ni kusimamia hifadhi zote za taifa kama MIKUMI, SERENGETI, TARANGIRE, MANYARA, KATAVI, MALAHE nk na kwamba kwenye hifadhi za taifa zote uwindaji hairuhusiwi kisheria. Pia ungesema kwamba ukiacha hifadhi za taifa za wanyama Kuna mapori tengefu (game reserves) kama ilivyokuwa Seoul Game reserve. Pia Kuna hunting blocks (vitalu maalumu vyenye wanyama mbalimbali) ambavyo kisheria uwindaji unaruhusiwa kwa kufuata miongozo, sheria na taratibu na misimu ya uwindaji. Wanaosimamia hivi vitalu na hizi game reserves ni TAWA (Tanzania wildlife authority) wakati TANAPA wao Wanaosimamia National Parks zote. Kumbuka fedha nyingi hupatikana kwa watalii kutembelea National Park, game reserves na pia kwa kufanya uwindaji kwenye vitalu.Kama hujui kitu kaa kimya, hakuna muwindaji wa TANAPA katika hii nchi. Pia faida inayopatikana kwa hao wanyama kuwa hai ni kubwa kuliko hiyo ya kuwawinda.
Ingia kwenye website ya wizara ya Maliasili na utalii utakuta tangazo kwa sababu hivyo vitalu huuzwa kwa mnada, kila kitu huwa wazi, ila ujiandae na pesa ndefuMm nataka kupata address za hizo kampuni za uwindaji napataje mleta mada unafahamu lolote
We Fala tu huna unalojuaKama hujui kitu kaa kimya, hakuna muwindaji wa TANAPA katika hii nchi. Pia faida inayopatikana kwa hao wanyama kuwa hai ni kubwa kuliko hiyo ya kuwawinda.
Acha uoga weweHuyo hawajui TANAPA waende maeneo ya Tabata shule wamuulizie John Mangi alikuwa mfanyakazi TANAPA alipiga milioni mia nane Wema Sepatu na wenzake bongo movies wanamjua,sasa hivi anabeti mikeka ya jelo jelo.
Ngojea watu wapige hela, nchi ishafunguka hii tuna rudi kulekule.
Acha uoga weweTatizo linaanzia hapo hzo pesa zitaishia kwenye mifuko ya wajanja wachache.
Uoga upi wakati ndio reality cha msingi ni tujianda muda wa maumivu ukifika.Acha uoga wewe