ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #41
Kwanza sa 💯 hajauza kitu Bali ameleta wawekezajiMwenye akili ni huyu anayeuza kila kitu.
Kama si upeo mdogo basi ni mshirika!Mamb haya magumugumu husikii mama abdu akiyaongeleā kwenye mikutano yake.......
How...?
When..?
Where...?
Which...?
......................
Lile jizi la trilioni 1.5Mwenye akili ni huyu anayeuza kila kitu.
Aongee nini wakati waliovurunda wamezikwa na lazima alipe?Mamb haya magumugumu husikii mama abdu akiyaongeleā kwenye mikutano yake.......
How...?
When..?
Where...?
Which...?
......................
Hizi ni rushwa za wakubwa, hiyo kampuni utakuta ni ya wazawa haswa wenye asili ya IndiaMy Take: Kama Nchi ingesubiria na kutangaza kwamba haitaongeza mda wa leseni by 2020 basi mradi hodhi ungerejea Serikalini bila kulipa fidia yeyote.
Akili ni nywele kama huna wenya nazo wataendelea kutunyoa Kwa msumeno👇👇
View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1817816422967283892?t=ZiFJBtaw090kP6suFvic7g&s=19
Yule alikuwa ni JANGA kwa watanzania,kwa huruma ya Mwenyezi Mungu kwetu Watanzania ,akatuondolea..Jiwe alikuwa mzigo wa chuma na miba kwa watanzania.
Ni utapeli tupu hizi ni kampuni za watu wa hapa ndaniHii Nchi hamuijui
Hakuna Kiongozi wa kweli, hakuna investor wa kweli, hakuna mfanyabiashara wakweli. Wote ni Mafisadi.
Ila kuna System (One Group- Higher ) halafu wakulima na Wafanyakazi (Another Lower group)
Alafu hyo GPA ya 3.5 inategemea ni course gani.Kuna Kiongozi Kijana wa Burkina Faso, ukisogea mpaka Mali, Niger wao Kwa Sasa wanavunja mikataba ya kinyonyaji ya mabeberu.
Kuanza Upya sio Ujinga... Madini hayaozi, Kulipa Billion hizo, lkn Madini yakabaki salama, na yakachimbwa Kwa Mkataba wenye Masilahi na Nchi, kipi Bora??.
Kama huna GPA ya kuanzia walau 3.5 Chuo Kikuu, huwezi kunielewa.
Hisia over reality 😆😆Ni utapeli tupu hizi ni kampuni za watu wa hapa ndani
Kiaje?Hisia over reality 😆😆
Sgr itashusha gharama za maisha 😂😂
Hiyo GPA ake imemsaidia nini?Alafu hyo GPA ya 3.5 inategemea ni course gani.
Thibitisha kama hizo ni kampuni za watu wa ndani.Kiaje?
MIGA-EtwegeMy Take: Kama Nchi ingesubiria na kutangaza kwamba haitaongeza mda wa leseni by 2020 basi mradi hodhi ungerejea Serikalini bila kulipa fidia yeyote.
Akili ni nywele kama huna wenya nazo wataendelea kutunyoa Kwa msumeno👇👇
View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1817816422967283892?t=ZiFJBtaw090kP6suFvic7g&s=19
Hii kesi ilikuwa Mahakamani na ikaamukiwa zilipwe zaidi ya hiyo but Tzn ikaomba wayamalize Nje ya mahakama Sasa hapa Rais anahusikaje?Tuna li rais la hovyo sana awamu hii.utakubalije kulipa fidia wakati hiyo kampuni ilikiuka masharti mengi tu.Nchi imekuwa shamba la bibi.Shida sana kurithisha majitu ambayo hayakujiandaa kuwa rais
Sasa hivi hizi ndo dili za Abduli na mama yake... wanatafuta wadai wa serikali kwa nguvu ili wavute haya mabilioni...My Take: Kama Nchi ingesubiria na kutangaza kwamba haitaongeza mda wa leseni by 2020 basi mradi hodhi ungerejea Serikalini bila kulipa fidia yeyote.
Akili ni nywele kama huna wenya nazo wataendelea kutunyoa Kwa msumeno👇👇
View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1817816422967283892?t=ZiFJBtaw090kP6suFvic7g&s=19
ThibitishaSasa hivi hizi ndo dili za Abduli na mama yake... wanatafuta wadai wa serikali kwa nguvu ili wavute haya mabilioni...
Nimeikumbuka Riwaya ya KULI 'Lakini yana mwisho'
My Take: Kama Nchi ingesubiria na kutangaza kwamba haitaongeza mda wa leseni by 2020 basi mradi hodhi ungerejea Serikalini bila kulipa fidia yeyote.
Akili ni nywele kama huna wenya nazo wataendelea kutunyoa Kwa msumeno👇👇
View: https://twitter.com/TheChanzo/status/1817816422967283892?t=ZiFJBtaw090kP6suFvic7g&s=19