Tanzania kulipiza kwa nguvu zaidi kufuatia Kenya kuwakataza Watanzania kuingia Kenya

Tanzania kulipiza kwa nguvu zaidi kufuatia Kenya kuwakataza Watanzania kuingia Kenya

Msimlaumu mkwezi nazi imeliwa na mwezi! [emoji108]

Nyie mnaogopwa sababu hamtangazi takwimu za Corona?!

Watu walishasema kuwa changamoto kama hizi zitajitokeza!
 
China hawatoi data za covid19 kama Tanzania..

Hizi ndio hatua pombe atazichukua

1. Piga marufuku maziwa ya kenya juuzwa tz hasa brookeside[emoji1]

2. Piga marufuku magari ya kitalii juingia tz

3. Piga marufuku ndege zao kuongia tz

4. Choma moto vifaranga vya kuu vitakavyo vuka mpaka.

5. Bidhaa zote za kenya lazima zipimwe covid 19 hata Kma ni papai[emoji1][emoji111]
Naona TBS wameanzia huku [emoji23][emoji23][emoji23]

 
Wachina wanapiga lockdown ya nguvu resurgence ikitokea. Kwa taarifa shule nyingi china bado zimefungwa.
Subiri na Tanzania tuwazuie wakenya kuingia nchini mwetu, kwasababu Kenya ni namba 6 Africa kwa idadi ya wagonjwa wa Corona.
 
Imezuilia nchi zaidi ya 180, hiyo ni asilimia 95 ya nchi zote ulimwenguni. Mbona Tanzania tu waumie?
Kila nchi itajizungumzia yenyewe kutokana na maslahi yake, ulitaka tuitishe mkutano wa nchi nzote ndio tuje na kauli moja kuhusu Kenya? Au ulitaka tokae kimya?

Kumbuka kwamba 'to every action there is equal and opposite reaction". Kama mumezuia kwa kutumia sababu za Corona, na sisi tutatumia sababu hizohizo kuwazuia wakenya kuingia Tanzania, sisi tutaongeza kidogo kwa kuzuia MAGARI ya Kanya kuingia Tanzania, watch out.
 
Kila nchi itajizungumzia yenyewe kutokana na maslahi yake, ulitaka tuitishe mkutano wa nchi nzote ndio tuje na kauli moja kuhusu Kenya?. Au ulitaka tokae kimya?.

Kumbuka kwamba 'to every action there is equal and opposite reaction". Kama mumezuia kwa kutumia sababu za Corona, na sisi tutatumia sababu hizohizo kuwazuia wakenya kuingia Tanzania, sisi tutaongeza kidogo kwa kuzuia MAGARI ya Kanya kuingia Tanzania, watch out.
Speaking as who? Govt spokesman, and are u speaking out of anger and bitterness na wivu. Usiwe unaropokwa tu kama mjinga.Be wise sometimes and always think of consequences, clearly u are not wise.
 
Kila nchi itajizungumzia yenyewe kutokana na maslahi yake, ulitaka tuitishe mkutano wa nchi nzote ndio tuje na kauli moja kuhusu Kenya? Au ulitaka tokae kimya?

Kumbuka kwamba 'to every action there is equal and opposite reaction". Kama mumezuia kwa kutumia sababu za Corona, na sisi tutatumia sababu hizohizo kuwazuia wakenya kuingia Tanzania, sisi tutaongeza kidogo kwa kuzuia MAGARI ya Kanya kuingia Tanzania, watch out.
Hapa nmeanza ku load kwnn dege lao bovu lilirudishwa [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sasa Kenya wataka fananinisha na nchi isiyo heshimu rai wake Kenya wameendelea
We kweli huna unachojua raia gn anaheshimiwa kenya, na hayo maendeleo unayosema ni maendeleo gn hebu tuambie, I can't breaaath [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
tapatalk_1594760257749.jpeg
 
Sasa Kenya wataka fananinisha na nchi isiyo heshimu rai wake Kenya wameendelea
Mh ww nawe embu jaribu ku research uone respond ya hao raia juu ya hayo maamuzi ya serikal yao ndio uzungumzee on social networks tunaona the way kenyans complains kuhusu partial lockdown na curfew yao ya maigizo
 
Back
Top Bottom