Baada ya miaka mitano ijayo Kenya wataisoma namba ndiyo maana wanahangaika sana!!Hivi unafahamu kuwa kuna mpango wa kununua ndege ya mizigo ili maparachichi, mboga , nyama n.k viweze kupelekwa nje moja kwa moja kutotea Tz?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya miaka mitano ijayo Kenya wataisoma namba ndiyo maana wanahangaika sana!!Hivi unafahamu kuwa kuna mpango wa kununua ndege ya mizigo ili maparachichi, mboga , nyama n.k viweze kupelekwa nje moja kwa moja kutotea Tz?
Wale madereva waliorudishwa kwa kupakaziwa kuwa wana corona umesahau? Af we unayewatetea Wakenya na ww ni mkenya nn? Mana kwa ss hatuna WaTz dizain yako wa kuvumilia ushenzi.Wametufukuza au wametukataza tusiingie nchini mwao!?
Lini? Mbona bado!!M
Mbona hii tayari ishatekelezwa...
Ndege 2 zilishaagizwaHivi unafahamu kuwa kuna mpango wa kununua ndege ya mizigo ili maparachichi, mboga , nyama n.k viweze kupelekwa nje moja kwa moja kutotea Tz?
Siwatetei hao ndugu zetu wa uwongo, Ila nataka kujua zaidi juu ya sakata hili! Maana Hawa jirani wanapelekeshwa Sana na mabeberu! Sijui kipindi hiki wameelekezwaje ili kutuhujumu! Ila wakae wakijua watachemka Tena!Wale madereva waliorudishwa kwa kupakaziwa kuwa wana corona umesahau? Af we unayewatetea Wakenya na ww ni mkenya nn? Mana kwa ss hatuna WaTz dizain yako wa kuvumilia ushenzi.
Undugu wa Kenya ni wakinafki.wamelianzisha sisi tunamaliza.Acheni uchochezi awa ni ndugu zetu mipaka waliweka wazungu kwanini tubaguane? Magufuli hawezi kuendekeza ujinga najua atampigia Kenya wataelewana tu.
Hii ni kifungua kinywa tu, kuna biriani nyama ipo jikoni inaandaliwa. JPM ndo mwisho wa Kenya wazungu weusi wanaokufa kwa njaa na kipindupindu.Tayari [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ukiwa inner circles ndio utaelewa. Mkuu ashacheza vizuri mchezo wa chess....ova.Lini? Mbona bado!!
Wakenya wakae wakijua JPM huwa hataki ujinga [emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni kifungua kinywa tu,kuna biriani nyama ipo jikoni inaandaliwa.JPM ndo mwisho wa Kenya wazungu weusi wanaokufa kwa njaa na kipindupindu.
hiyo move hata mimi imeniumiza kichwa sana , corona imeanzia huko na tumeitoa huko, yet unaruhusu wachina in first place!!!
honestly sijaelewa maana yake
ATCL ni ya watanzania, wanezuiwa kuingia Kenya. Watatua wapi sasa? Maumivu yakizidi, meza panadolMbna sio ATCL[emoji23][emoji23]
Tuliza mshono wewe!Na Wasanii wenu wanaokimbilia uku kuoa Dada zetu sababu wenu hawana sura aiseh
Wakenya ndiyo aanaitumia sana kuja kwenye biashara zao zilizojaa kwetu.Mkiifungia ka mtawatesa watz wenu tu.
Tayari wameshajibiwa tena usiku wa kuamkia leo tena siku ya sikukuu.Tuna kiongozi makini sana,watajibiwa soon.Sijui kama hizo KQ zitatua TZ yetu macho.