Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
Tanzania utapata warembo wa kila aina, rangi, shepu na muonekano,
Rwanda warembo karibia wote ni aina moja hali kadhalika Ethiopia pia.
Mmebaki kushabikia skendo,urembo,uchawi,harusi pamoja na udaku, tutawaonesha kivumbi kiteknologia pamoja na kiuchumi na hatua zikiwa kubwa tutawatawala hata, nyie pambaneni na urembo,ngono,skendo,miziki, mishenzi ya Afrika.