Tanzania kuna familia ambazo zinaishi kifalme bila Watanzania kuzifahamu au wamepiga kimya tu

Tanzania kuna familia ambazo zinaishi kifalme bila Watanzania kuzifahamu au wamepiga kimya tu

kama ukizaliwa ukakuta baba yako ni mkulima na wewe ukaamua kuwa mkulima kuna dhambi gani?

a277fa52f01457aff05180188fc01962.png


Hakuna DHAMBI yoyote!​
 
Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?

Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?

Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.

Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Mfumo wa kiimla.. Ndio maana wakisikia serekali tatu wanataka kupasuka.
 
Katiba ya sasa haijakataza Mlalahoi kugombea nafasi yoyote na katiba mpya haitazuia Mtoto au Mke wa kiongozi kugombea nafasi yoyote ile
Haikatazi ndio je hao walala hoi wana fedha za kuhonga ili Wachaguliwe? Hawa viongozi wanaiba fedha serikalini za kuhonga wakati wa uchaguzi ndio maana wanashinda!!
 
Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?

Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?

Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.

Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Mbona kwenu kila mtu ni panya road-hatari kwa usalama wetu
 
Ikifika jioni inabidi ukapige COCKTAIL 🍹 pale UPANGA - LAS VEGAS CASINO na CHIPS 🍟 za CALORIES. Maana kuna zawadi yako inakusubiri pale 🙏🏿
Duuuh itakuwa gharama, tusubiri saa 4 usiku twende Chief pride kila kitu buku 2 inaitwa Extreme ile au siyo ndugu. Undugu kupeana michongo ya bei cheee .
 
Kuna mameneja TZ wanalipwa hela mingi kuliko hao ukiowataja combined,
Halafu unakuta familia inamameneja wa2 ndani ya nchi then wengine mamtoni,

Yaani hao ni kula bata tu, mambo ya holiday Paris, Shopping Dubai, na Checkup New York
 
Hii Dunia lazima kutakuwa na wa Kutawala na sisi wa Kutawaliwa. haiwezekani wote sisi Milioni 60 tuhamie Magogoni na Chamwino haiwezekani
 
Back
Top Bottom