Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,752
- 2,282
kama ukizaliwa ukakuta baba yako ni mkulima na wewe ukaamua kuwa mkulima kuna dhambi gani?
Mfumo wa kiimla.. Ndio maana wakisikia serekali tatu wanataka kupasuka.Unakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Amesoma yanayotokea Sri Lanka nini?Umewaza Nini?
Huyu mgogo hajajimegea ile ilikuwa ranch ya serikali kule Kongwa kweli?
Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi Kenya baada ya kuondoa KANU Madarakani imebadilisha like kundi la WATAWALA waliokuwa KANU???Katiba tuliyonayo imewezesha yote haya na yataendelea kudumu chini ya CCM.
Haikatazi ndio je hao walala hoi wana fedha za kuhonga ili Wachaguliwe? Hawa viongozi wanaiba fedha serikalini za kuhonga wakati wa uchaguzi ndio maana wanashinda!!Katiba ya sasa haijakataza Mlalahoi kugombea nafasi yoyote na katiba mpya haitazuia Mtoto au Mke wa kiongozi kugombea nafasi yoyote ile
Haikatazi ndio je hao walala hoi wana fedha za kuhonga ili Wachaguliwe? Hawa viongozi wanaiba fedha serikalini za kuhonga wakati wa uchaguzi ndio maana wanashinda!!
π€£π€£π€£π€£Dj niletee msoga family ikisindikizwa na Watoto wa Zanzibar
Mbona kwenu kila mtu ni panya road-hatari kwa usalama wetuUnakuta kwenye familia moja baba ni Rais mstaafu, mama ni mbunge na mtoto ni mbunge na ni naibu waziri, hii familia inahitaji shamba kwa ajili ya kulima chochote au ni kuitegemea serikali tu?
Familia nyingine unakuta baba ni Rais mstaafu, Mtoto ni Rais na Watoto wengine wawili ni wabunge hii familia bila serikali inaweza kuishi?
Familia nyingine mama ni Rais , mtoto ni mbunge na mkwe ni mbunge na ni waziri.
Huu mfumo umekaa sawa au nimekuelewa tofauti?
Duuuh itakuwa gharama, tusubiri saa 4 usiku twende Chief pride kila kitu buku 2 inaitwa Extreme ile au siyo ndugu. Undugu kupeana michongo ya bei cheee .Ikifika jioni inabidi ukapige COCKTAIL πΉ pale UPANGA - LAS VEGAS CASINO na CHIPS π za CALORIES. Maana kuna zawadi yako inakusubiri pale ππΏ
Mkuu miye hata sikugusi hivyo vitu, yaani miye Pepsi lager ndiyo zangu sina makuu.Hiyo ni OFA yako wala usijali kuhusu GHARAMA! Au kama vipi, nenda pale UBUNGO - RIVERSIDE HOTEL kuna zawadi yako pia. CHAMPAGNE πΎ, you know!!
Njaa haina baunsajiulize pia kwanini Walalahoi wanakubali kuhongwa na kuchagua wahongaji na kuacha kupigia Kira walalahoi wenzao