Tanzania kuna familia ambazo zinaishi kifalme bila Watanzania kuzifahamu au wamepiga kimya tu

Huku kwetu baba ni mkata mkaa...

Mama ni mama wa nyumban!!!

Na watoto hawataki shule...wanavuta bange tuu..

Kweli tupo dunia tofaut,

Uzuri wote tutakufa na kuzikwa kaburini.
 
Utaitwa mdini!!
 
Madaraka makubwa ya Rais ndo tatz na 1 mengine yanafuata yaani ni Zaid ya mfalme au malkia, Katiba mpya haikwepeki.
Kwahiyo wewe kwenye suala zima la KATIBA MPYA umeona nafasi ya URAIS ndio ina matatizo? Badilikeni πŸ‘πŸΏ
 
kwani wakati wazee wao wanasoma wewe baba yako si alikuwa wapi.. acha wivu wa kisenge
Kipindi hicho WATU wanakwenda kuwekeza UJERUMANI πŸ‡©πŸ‡ͺ. Kuna WATU wengine walikuwa bado hawajaanza kuvaa hata NGUO ZA NDANI.

Halafu leo hii, hao hao WATU wanataka kuwa sawa KIUCHUMI na KIBIASHARA. Ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa. Hata KIMTAZAMO, hawa WATU hawatakuwa sawa.

Kwa sababu, kuna vitu vingine huwa havijengwi kwa usiku mmoja yaani NIGHTMARE DREAMING. Huwa ni maandalizi yaliyoandaliwa kwa kipindi kirefu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…