Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa huwa wanajifanya wasomi na wamequalify kweli, lakini kwenye makampuni na serikalini ndo wa kwanza kupendekeza madili ya nje hata kama kazi Inaweza kufanywa ndani ni wataalamu wa kucheza na maneno na misamiati migumu kwenye proposal zao hatakama hakuna uhitaji huo.Uliwatafutia wapi?
Ziweke hapa watu wajifunze.No no futa hio mindset kijana kuna Certification kubwa na ni free kuzipata na zinafanya CV yako kuwa Great
With or without certifications, it is the hands that have done many projects that makes Resume great!No no futa hio mindset kijana kuna Certification kubwa na ni free kuzipata na zinafanya CV yako kuwa Great
Competent scientist,inabidi ajiweze kitaa,nyie mliopo maofisini,ni bahati tu,sio kwamba mnajua kuliko wengine,mkirudishwa kitaa,mtachakaa,hata pa kuanzia hamtapaona,Competent Computer Scientist Tumeshakula mashavu tumetulia maofisini.. Hao unaowaona mtaani hawakuwa serious kipindi wako masomoni, 🤔 inakuwaje Cs mzima huna Certification hata Moja...... 😊😊😊
Vijana wazuri kwenye computer wapo wengi tu,inategemea nyie mmetafuta vipi?ukichukua kijana fresh kutoka chuoni,hata hujampa muda wa kujifunza kazi,ukaanza kumlaumu,hutakuwa huwatendei haki,hakuna dakitari wa uapsuaji,anayetoka shule na kwenda kufanya operation,lazima ufanye internship,mafunzo kwa vitendo ukiwa chini ya wazoefu,Ili na wewe uive.Kuna project tunafanya tumetafuta watu competent wa computer science hatujapata huwa najiuliza hao graduate wa kila siku wanaenda wapi?
Ndo maana nimekuja elewa kwanin makampuni mengine yanaenda kutafuta watu nje ya nchi kwa Hali hii vijana wetu na mfumo wa elimu inabid uangaliwe sana
Project gan tuanzie hapo....nna wanangu mafundi kichiz Ni flesher's na hawana mchongo , ...yaan Ni programmer wa uhakika...labda Kama lengo lako kuponda tuKuna project tunafanya tumetafuta watu competent wa computer science hatujapata huwa najiuliza hao graduate wa kila siku wanaenda wapi?
Ndo maana nimekuja elewa kwanin makampuni mengine yanaenda kutafuta watu nje ya nchi kwa Hali hii vijana wetu na mfumo wa elimu inabid uangaliwe sana
Mleta mada kaanzisha Uzi tu kuongeza status na reaction scores tu labda. Hajatuwekea Ni project ipi ila kaamaua kutukana profession za watu ...halafu huenda nae hajui ukubwa wa computer science. ..hajui kuwa mtu mmoja hawez kusoma cs yote , hajui lolote pengne ..hajatuambia kafanyaje fanyaje kupata mtu wa kazi , ila Bora mrad matusi na dharau....mbona vijana tupoHawa jamaa huwa wanajifanya wasomi na wamequalify kweli, lakini kwenye makampuni na serikalini ndo wa kwanza kupendekeza madili ya nje hata kama kazi Inaweza kufanywa ndani ni wataalamu wa kucheza na maneno na misamiati migumu kwenye proposal zao hatakama hakuna uhitaji huo.
Huwa nawaita wapiga deal, utatishwa na wao jinsi wamekaa serikalini na kujua mifumo inavyofanya kazi na kuendeshwa basi watakutisha kweli kweli.
Eti uwapinge kwa hoja wakati naona wanaofanya vizuri zaidi hawana hata hizo certification. Sipingingi kuwa na certification lakini wengi ndo hivyo wanazo na walipata kazi kwa hizo lakini hakuna la maana wanafanya ni wapiga deal wengi wao sio wote ila wengi
Its OK projects create a great resume but it will be considered kwenye makampuni yenye kufanya kazi za ICT related or dedicated kabisaa... But ajira nyingi za NGOs na Serikalini baadhi they consider much on certification ndio maana Ajira portal there is a professional certification section. na nzuri baadhini CISCO CCNA, HCIA, ORACLE, JUNIPER or CERTIFIED EH PEN TESTER ukiwa nazo Waajiri mate yatawatoka...Hii ndio directon ya ICT Tz😎 I stand to correctedWith or without certifications, it is the hands that have done many projects that makes Resume great!
Kuna mtu hapo kasemea swala la uchumi,Its OK projects create a great resume but it will be considered kwenye makampuni yenye kufanya kazi za ICT related or dedicated kabisaa... But ajira nyingi za NGOs na Serikalini baadhi they consider much on certification ndio maana Ajira portal there is a professional certification section. na nzuri baadhini CISCO CCNA, HCIA, ORACLE, JUNIPER or CERTIFIED EH PEN TESTER ukiwa nazo Waajiri mate yatawatoka...Hii ndio directon ya ICT Tz😎 I stand to corrected
Mim natafuta wa nje siwez poteza mda watu wababaishajiHawa jamaa huwa wanajifanya wasomi na wamequalify kweli, lakini kwenye makampuni na serikalini ndo wa kwanza kupendekeza madili ya nje hata kama kazi Inaweza kufanywa ndani ni wataalamu wa kucheza na maneno na misamiati migumu kwenye proposal zao hatakama hakuna uhitaji huo.
Huwa nawaita wapiga deal, utatishwa na wao jinsi wamekaa serikalini na kujua mifumo inavyofanya kazi na kuendeshwa basi watakutisha kweli kweli.
Eti uwapinge kwa hoja wakati naona wanaofanya vizuri zaidi hawana hata hizo certification. Sipingingi kuwa na certification lakini wengi ndo hivyo wanazo na walipata kazi kwa hizo lakini hakuna la maana wanafanya ni wapiga deal wengi wao sio wote ila wengi
Mkuu kuna linked In kuna github ingia huko weka tangazo watu wakushushie CV zao sio kuja hapa kujimwambafy kumbe hamna lolote. Pia pesa ya kulipa ipo au mnataka vitu bei chee.Kuna project tunafanya tumetafuta watu competent wa computer science hatujapata huwa najiuliza hao graduate wa kila siku wanaenda wapi?
Ndo maana nimekuja elewa kwanin makampuni mengine yanaenda kutafuta watu nje ya nchi kwa Hali hii vijana wetu na mfumo wa elimu inabid uangaliwe sana
Mim sijajimwambafai nimeongea uhalisia wa kitu ambacho nimeexperience, uwezo wa watanzania wengi ni mdogoMkuu kuna linked In kuna github ingia huko weka tangazo watu wakushushie CV zao sio kuja hapa kujimwambafy kumbe hamna lolote. Pia pesa ya kulipa ipo au mnataka vitu bei chee.
Mtu anakuja na project kubwa anataka ifanyike kwa bajet ya 900k au 1.2M akikosa wa kumfanyia au akipata wa kumfanyia cheap thn ikawa hovyo anakuja huku kulalamika kumbe tatizo ni yy.
Angalia mishahara ya devs nchi zilizoendelea kiteknolojia utakuta minimum ni 5k per month.
Bora nisubiri nipate project moja mwaka mzima nnayolipwa 55 usd per hour kuliko kufanya kazi za stress na malipo kiduchu za wabongo.
Nenda linkedin au professional hiring site yyt weka tangazo watu wakuletee CV uchague sio kuja kujimwambafy hapa under anonymous ID
Hapo kwenye kuambiana kozi za kusoma hapo naona hujakaa sawa. Lengo lako la kusoma ni nini?, kama lengo ni kazi yoyote tu kufuata upepo wa iliyopo sokoni sawa kuambiwa kozi za kusoma, ila naona mwanafunzi mwenyewe inabidi awe na malengo na elimu yake la sivyo elimu yake itaenda bure tuNje ya mada ila ndani ya mada....
Ni vyema sasa tuwe tunaambizana masomo au courses za kusoma watoto.
Wazazi wengi wetu sio wote hatuna ufahamu mzuri wa course ambazo ni hot cake na za muda mrefu au ambazo zitakuwa hot cake kwa baadae.
Pia wengi elimu ilikuwa au ndogo au ya Kati hivyo tunajikuta tunapenda wapate elimu iwakomboe ila hatujui tuwashauri kipi na kipi.
So kabla ya kulaumu tujaribu kupeana elimu ili vizazi vyetu viwe na ujuzi tusubiri waajiriwa kutoka nchi za wenzetu.
Ni hao watanzania unaowajua wewe na hao wamekufanya ujenge mindset fln kuhusu hili swala wakati sio uhalisia.Mim sijajimwambafai nimeongea uhalisia wa kitu ambacho nimeexperience, uwezo wa watanzania wengi ni mdogo
Nje wapi?Mim natafuta wa nje siwez poteza mda watu wababaishaji