Abely msomba
Member
- Sep 3, 2018
- 34
- 20
Wakushirikishe wewe nani🤸🙅Chanjo za China zinakataliwa Saudi Arabia. Wale wa hijja wawe makina wasije kupokea kitu ambacho kinakataliwa kuingia Saudi Arabia
Chanjo zinapolelewa bila hata kuwashirikisha wananchi na kufanya uchunguzi. Kazi ipo tena kubwa sana
mtachanjwa mpaka muwe misukuleTuliopata Jonhsnon tunaruhusiwa na kuchanja hii ?
View attachment 1953687
Watamchoma nani?????Sasa seriklai iatatumia billion 300 kuagiza dozi million 2 za corona kutoka china ,, hii ni watsni wa sh 150 kwa vaccine. Sasa unapeleka billion 300 ambayo ni sawa na makusanyo ya miezi 6 ya Tozo
Wakati dozi 1m hadi leo zimedoda?!!! Hizi hela afadhali tununue pembejeo tu 😛😛😛Watamchoma nani?????
Hapo dozi moja ni shs.150,000/=, hesabu zako za shs.150/= ni za kitaahiraSasa seriklai iatatumia billion 300 kuagiza dozi million 2 za corona kutoka china ,, hii ni watsni wa sh 150 kwa vaccine. Sasa unapeleka billion 300 ambayo ni sawa na makusanyo ya miezi 6 ya Tozo
We unafikiri hadi wanatoa offer Yanga na Simba kuingia bure endapo utachomwa unafiki ni nini? Dozi moja wananunua wa 150,000/= ??!!!!Akili gani hi?
Hizo tu zingine zimedoda zinaexpire,halafu unaongeza zingine.?
Au analetwa kirusi mwingine kutoka China Ili mlipuko utokee watimize yao?
Kamwe hawataweza Mungu yupo.
Hizo chanjo tunapokea kivipi? Kwa ni msaada, mkopo au tunanunua? Na tunanunua kwa bei gani?Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Tanzania inatarajia kupokea Dozi Milioni 2 za Sinopharm kutoka Nchini China. Kwenye chanjo hiyo, mtu atapokea dozi mbili tofauti na Johnson & Johnson ambayo inachomwa mara moja
Akizungumza kutoka Mkoani Singida, Msigwa ameeleza kuwa idadi ya Watanzania waliopokea chanjo hadi sasa imefikia 400,000. Ametoa rai kwa watu kuchanja akisema sehemu kubwa ya wagonjwa wa Corona wanaopumulia mashine Hospitalini hawakuchanja
Unapoweka Mapaka madarakani au kuruhusu Mapaka yachukue madaraka kwa njia za Panya na yatawale ni lazima uumie.Maana Tozo zinaumiza jamani, ni vyema tukajua zinapoenda
Daaah, mnatuumiz moyo jamani, ibeni hata kisiri siri, mnapoiba wazi wazi hivi ukizingatia na tozo jinsi inavyouma, kwa kweli hamtutendei haki kabisa3.) Hizi dozi tunanunua
Tumenunua kwa bei gani.
basi Subiri report ya mkaguzi wa mahesabu
Hakuna jinsi mkuu, acha waokoteze na zipokekewe no way out!.Kwanini serikali inaokoteza kila aina ya chanjo kutoka nje?
Hivi walio ingia walipigwa chanjo?.We unafikiri hadi wanatoa offer Yanga na Simba kuingia bure endapo utachomwa unafiki ni nini? Dozi moja wananunua wa 150,000/= ??!!!!