Tanzania Kushirikiana na Iran Sekta ya Michezo

Tanzania Kushirikiana na Iran Sekta ya Michezo

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

TANZANIA KUSHIRIKIANA NA IRAN SEKTA YA MICHEZO

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imeingia makubaliano ya kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika sekta ya Michezo.

Makubaliano hayo yameingiwa Oktoba 19, 2024 Jijini Dar es Salaam kupitia Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro na Jamhuri ya Kiislam ya Iran ikiwakilishwa na Mhe. Gholamreza Nouri Waziri wa Kilimo.

Nchi hizo zinatarajia kushirikiana katika Utalii wa michezo, kubadilishana wataalamu pamoja na kupeana uzoefu katika miundombinu ya michezo.

Hafla hiyo imehudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmood Thabit Kombo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Gerson Msigwa pamoja na wataalam wengine kutoka wizara hizo.

GaQFCnUXwAAzTYS.jpg
GaQFCsMXAAAoNlZ.jpg
GaQFCsFXwAASGtA.jpg
GaQFCsLWwAMKMwH.jpg
 
Iran imeshacheza fainali za Asia cup mara 14 na kuchukuwa kombe mara 3.

Tanzania vipi, Afrika cup fainali mara ngapi na kombe mara ngapi?
Sie tunamtandika Ayatollah hukohuko kwenye michezo🚶‍♂️🚶‍♂️ achukue hata wodi kapu kichapo hakikwepi.....yeshu mashia🤣🤣🤣
 

TANZANIA KUSHIRIKIANA NA IRAN SEKTA YA MICHEZO

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imeingia makubaliano ya kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika sekta ya Michezo.

Makubaliano hayo yameingiwa Oktoba 19, 2024 Jijini Dar es Salaam kupitia Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro na Jamhuri ya Kiislam ya Iran ikiwakilishwa na Mhe. Gholamreza Nouri Waziri wa Kilimo.

Nchi hizo zinatarajia kushirikiana katika Utalii wa michezo, kubadilishana wataalamu pamoja na kupeana uzoefu katika miundombinu ya michezo.

Hafla hiyo imehudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmood Thabit Kombo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Gerson Msigwa pamoja na wataalam wengine kutoka wizara hizo.

View attachment 3130244View attachment 3130245View attachment 3130246View attachment 3130247
Siku nyingine tushirikiane kwenye bunduki
 
Back
Top Bottom