Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan kuna ubaya gani ikiwa kutakua na maendeleo mazuri?Mpaka 2030 nchi ishakuwa islamic republic kitambo sana
Kanisa la tanzania ni imara sana. Machafuko hayawezi tokea.Dah!. Na iwe michezo kweli.
Wasijekutuletea vikundi vyenye msimamo mkali nchi yetu ikaingia kwenye machafuko.
Maana kama USA alivyomsemaji na msababisha machafuko nchi kadhaa, Naona Iran nae amekuwa msemaji wa nchi kadhaa na kusababisha machafuko.
Mfano halisi ni Yemen. Kawatengeneza Houth ambao walisababisha nchi ya Yemen kuingia kwenye mgogoro mkubwa.
Hatutaki Tanzania tuuane kwa ushawishi wa machafuko toka dini yeyote either Ukristo ama Uislam.
Serikali imeona umuhimu wa kushirikiana na IRAN kwenye michezo , wewe umejichimbia huko Tandale unakunywa supu ya vibudu.Kushirikiana na Iran sekta ya michezo?
Ova
Kwani Tanzania inaongozwa na Kanisa?.Kanisa la tanzania ni imara sana. Machafuko hayawezi tokea.
mizizi ya kanisa ni imara katika nchi hii.Kwani Tanzania inaongozwa na Kanisa?.
Umeenda kutafuta data za Iran na Israel kwenye sector ya michezo, umeumbuka baada ya kuona Iran ni bora ( 19 FIFA) na bado unaponda kiuonyonge.Iran wako vizuri, dini tu ndio iliwaharibu na kuwafanya mazombi
We kibibi leo vipi mbona unaongea hovyohovyoKwani habari za michezo zimefutwa mtandaoni?
Kama mamako na bibi yako hawajuwi kutumia mtandao usifikiri na mama na bibi za wenzako ni mapoyoyo kama mamako na bibi yako.
Punguwani wahed.
Tumia akili kijana....IRAN ipo top 20 kwenye viwango vya FIFA, jiulize Tanzania ipo nafasi ya ngapi.Iran na michezo wapi na wapi 🤔 wamefanikiwa kwenye aina gani ya michezo hadi kuona kwamba tukiwa na ushirikiano nao tutajifunza kitu🤔 alafu kama ni michezo kwa nini muwakilishi ni waziri wa kilimo🤔 au ndio muendelezo wa bibi chaudele kuendelea kuuza vipande kwa wajomba zake 🤔
Mwenyezi Mungu ndio anayelinda Aman ya Tanzania na wala sio Kanisa.mizizi ya kanisa ni imara katika nchi hii.
Umeenda kutafuta data za Iran na Israel kwenye sector ya michezo, umeumbuka baada ya kuona Iran ni bora ( 19 FIFA) na bado unaponda kiuonyonge.
Nimeuliza ni upande upi wa michezo ambako Iran wamefanikiwa hadi tuone kuna haja ya kushirikiana nao kwenye michezo unakurupuka unaleta ngonjera ,Wewe ndio utumie akili usiwe mpumbavu kiasi hichoTumia akili kijana....IRAN ipo top 20 kwenye viwango vya FIFA, jiulize Tanzania ipo nafasi ya ngapi.
Iran ni mshirika mzuri kwenye nyanja nyingi sana, Iran ni Taifa linalo jielewa, fikiria vikwazo walivyowekewa na U.S.A ingekuwa ni Tanzania tungetafutana hapa.
CHUKI NI MBAYA SANA. CHUKI INALETA UGONJWA WA MOYO.