Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauna akili kijana...Iran na michezo wapi wapi, huo ni mlango tu wa kupenyeza magaidi nchini muda si mrefu tutaanza kuruka na cia na mossad
Tuache kushirikana na Us au EU twende kwa loosers ohhoohh my country my country my country !!!!Iran sio gari bovu uchumi wa jiji la Teheran tu ni mkubwa mara mbili ya uchumi wa taifa lako zima.
Ushirika wa Iran na Tz umeanza miaka mingi iliyo pita.
Lakini pia hayo mataifa unayo yaona siyo ya hovyo tumekuwa tukishirikiana nao zaidi ya miaka 60 lakini nchi haijawahi kunufaika chochote zaidi ya kunuka umasikini.
Alaa kumbeTutawafundisha kukatika, au siyo mchezo huo?
Mimi nilitamani tushirikiane kwenye sector ya sayansi,technolojia na kijeshi.
TANZANIA KUSHIRIKIANA NA IRAN SEKTA YA MICHEZO
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imeingia makubaliano ya kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika sekta ya Michezo.
Makubaliano hayo yameingiwa Oktoba 19, 2024 Jijini Dar es Salaam kupitia Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro na Jamhuri ya Kiislam ya Iran ikiwakilishwa na Mhe. Gholamreza Nouri Waziri wa Kilimo.
Nchi hizo zinatarajia kushirikiana katika Utalii wa michezo, kubadilishana wataalamu pamoja na kupeana uzoefu katika miundombinu ya michezo.
Hafla hiyo imehudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmood Thabit Kombo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Gerson Msigwa pamoja na wataalam wengine kutoka wizara hizo.
Ila wewe ndio mwenye akili kiazi weweHauna akili kijana...
Kumbe wewe ni zezeta kweli Asia kuna mpira gani wa kwenda kujifunzaWw ndo mpumbavu kwa sababu unarazimisha kujifanya mjuaji hali yakuwa ww ni mbumbumbu.
Iran ni nchi ya 19 kwa ubora duniani kwenye rank za fifa ,Iran ni nchi ya 3 kwa ubora barani Asia kwa hiyo hizo nafasi kapewa kama zawadi tu?
Nenda kwenye orodha ya mataifa yaliyo chukua medari nyingi kwenye Olympic iliyo fanyika Ufaransa mwaka huu uone Iran iko nafasi ya ngapi mwenye kuchukua medari nyingi alafu urudi hapa kuandika huo uharo wako.
Zaidi ya miundo mbinu ya michezo Asia wana mpira gani wa kwenda kujifunza kwao 🤔 kama kigezo ni kushinda medali basi kenya tuu jirani hapo wanafaa kua darasa bora kwenye michezo Tanzania, alafu ukajifunze kuandika vizuri zezeta weweWw ndo mpumbavu kwa sababu unarazimisha kujifanya mjuaji hali yakuwa ww ni mbumbumbu.
Iran ni nchi ya 19 kwa ubora duniani kwenye rank za fifa ,Iran ni nchi ya 3 kwa ubora barani Asia kwa hiyo hizo nafasi kapewa kama zawadi tu?
Nenda kwenye orodha ya mataifa yaliyo chukua medari nyingi kwenye Olympic iliyo fanyika Ufaransa mwaka huu uone Iran iko nafasi ya ngapi mwenye kuchukua medari nyingi alafu urudi hapa kuandika huo uharo wako.
Sasa hao Marekani na EU situmeshirikana nao zaidi ya miaka 60 sasa hivi mbona bado nchi yako inanuka umasikini?Tuache kushirikana na Us au EU twende kwa loosers ohhoohh my country my country my country !!!!
Zezeta ni aliye kuzaa ww 🐖. kama Asia hakuna mpira wowote mbona Tz hata kwenye 100 hayumo kama ni rahisi?Kumbe wewe ni zezeta kweli Asia kuna mpira gani wa kwenda kujifunza
Zaidi ya miundo mbinu ya michezo Asia wana mpira gani wa kwenda kujifunza kwao 🤔 kama kigezo ni kushinda medali basi kenya tuu jirani hapo wanafaa kua darasa bora kwenye michezo Tanzania, alafu ukajifunze kuandika vizuri zezeta wewe
Hivi unaelewa hata unacho kiandika mbwa koko wewe 🤔Mazezeta ni wewe na wazazi wako woteZezeta ni aliye kuzaa ww 🐖. kama Asia hakuna mpira wowote mbona Tz hata kwenye 100 hayumo kama ni rahisi?
Huyo popote ukigusia uislam na nchi zake anautetea kwa hoja hata za kuokoteza.Madam wewe na michezo wapi na wapi???
viongozi wetu nao mnamatatizo nyie mnashirikianaje na nchi ambayo kila kukicha inashindwa vita hata kabla ya kuvianza..!
TANZANIA KUSHIRIKIANA NA IRAN SEKTA YA MICHEZO
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imeingia makubaliano ya kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika sekta ya Michezo.
Makubaliano hayo yameingiwa Oktoba 19, 2024 Jijini Dar es Salaam kupitia Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro na Jamhuri ya Kiislam ya Iran ikiwakilishwa na Mhe. Gholamreza Nouri Waziri wa Kilimo.
Nchi hizo zinatarajia kushirikiana katika Utalii wa michezo, kubadilishana wataalamu pamoja na kupeana uzoefu katika miundombinu ya michezo.
Hafla hiyo imehudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmood Thabit Kombo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Gerson Msigwa pamoja na wataalam wengine kutoka wizara hizo.
Kama mlivyokua mnakata maunooo 07/10 23. Sasa hivi mnakata mauno huku mmebana makalio mkiwa na uchungu mkuu.Tutawafundisha kukatika, au siyo mchezo huo?
Hao wanawake ni wanaijeria waislam madhehebu ya Shia.hongera zetu mazee tuko vizurii... umma apa tz upo fully nyuma ya irani...ayatolah na nasralah hoyeee....mama yuko vizuriii, walete ss hezbolah nchiniii
View attachment 3130330
Iran... Michezo..🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂... Labda michezo ya majeshi