Tanzania Kushirikiana na Iran Sekta ya Michezo

Tanzania Kushirikiana na Iran Sekta ya Michezo

Mwenyezi Mungu ndio anayelinda Aman ya Tanzania na wala sio Kanisa.
Rwanda ni nchi iliyoingia kwenye machafuko sababu ya Kanisa. Roho ya machafuko katika nchi inaweza kuletwa na Imani yeyote.
vipi maeneo yanayotokea vita ina maana Mungu hajaamua kuwalinda ?
Refer Nigeria,syria ,palestine etc!
 
Mmmmmhhh sawa ni kweli Iran wako vizuri kwenye sekta nyingi sana sema dini yao imewachelewesha sana na sie pro-Israel tusaini lini mkataba wa ushirikiano wa kijeshi labda… natania tu jamani 😁😁😁
 
Nimeuliza ni upande upi wa michezo ambako Iran wamefanikiwa hadi tuone kuna haja ya kushirikiana nao kwenye michezo unakurupuka unaleta ngonjera ,Wewe ndio utumie akili usiwe mpumbavu kiasi hicho
Umeumbuka kijana...football siyo mchezo ni makombora...?
Acha ujinga.
 
Iran na michezo wapi na wapi
Ndio maana huwa ninasema watz wengi ni mbumbumbu hasa yanapo kuja masuala ya mataifa mengine.

Kwamtu mwenye akili timamu hawezi kuuliza swali kama hili.
Iran kwenye lank za FIFA yuko nafasi ya 19 ww nchi yako iko nafasi ya ngapi ?
Iran kila mashindano ya kombe la dunia huwa anashiriki ww nchi yako ilisha wahi hata kuota kushiriki?

Nenda kaangalie Olympic iliyo pita iliyo fanyika Ufaransa alafu uangalie Iran ni nchi ya ngapi kwa kuchukua medani nyingi alafu urudi kuuliza swali hilo.
 
Nimeuliza ni upande upi wa michezo ambako Iran wamefanikiwa hadi tuone kuna haja ya kushirikiana nao kwenye michezo unakurupuka unaleta ngonjera ,Wewe ndio utumie akili usiwe mpumbavu kiasi hicho

Ww ndo mpumbavu kwa sababu unarazimisha kujifanya mjuaji hali yakuwa ww ni mbumbumbu.

Iran ni nchi ya 19 kwa ubora duniani kwenye rank za fifa ,Iran ni nchi ya 3 kwa ubora barani Asia kwa hiyo hizo nafasi kapewa kama zawadi tu?

Nenda kwenye orodha ya mataifa yaliyo chukua medari nyingi kwenye Olympic iliyo fanyika Ufaransa mwaka huu uone Iran iko nafasi ya ngapi mwenye kuchukua medari nyingi alafu urudi hapa kuandika huo uharo wako.
 
Kuna kitu tunakitafuta na tutakipata muda si mrefu.
 
Wallah!
Nchi za hovyohovyo tusishirikiane nazo zinaturudisha nyuma ki diplomasia
Sasa msishirikiane na nchi za hovyo hali yakuwa nyinyi nchi yenu ni ya hovyo zaidi ya mara 100 ya hizo nchi unazo ziita za hovyo?
 
Sasa msishirikiane na nchi za hovyo hali yakuwa nyinyi nchi yenu ni ya hovyo zaidi ya mara 100 ya hizo nchi unazo ziita za hovyo?
Gari bovu hukokotwa na zima sio bovu jenzake
 
Kila siku maombi yangu Ni siku moja huu muungano ufe,,, ikiwezekana magaidi wahamie visiwani na sisi tubBara,Ila ni vigumu

NB:sisi makafiri ni wengi Sana kuliko magaidi TZ,, hivyo HAWATUWEZI
Uislam utafika popote tu kaka ata ujifiche wapi,,na uislam umekuja kuondoa huo mfumowako wa kigaidi democrasia ,,mfumo wa unyonyaji
 
Kwan kuna ubaya gani ikiwa kutakua na maendeleo mazuri?

Kwani uwo ukatoliki umetupa kipi cha maana?
Iran na michezo wapi wapi, huo ni mlango tu wa kupenyeza magaidi nchini muda si mrefu tutaanza kuruka na cia na mossad
 
Gari bovu hukokotwa na zima sio bovu jenzake
Iran sio gari bovu uchumi wa jiji la Teheran tu ni mkubwa mara mbili ya uchumi wa taifa lako zima.
Ushirika wa Iran na Tz umeanza miaka mingi iliyo pita.

Lakini pia hayo mataifa unayo yaona siyo ya hovyo tumekuwa tukishirikiana nao zaidi ya miaka 60 lakini nchi haijawahi kunufaika chochote zaidi ya kunuka umasikini.
 
Back
Top Bottom