Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,294
- 6,872
Acha tuzungumzie tu hii list ambayo umeileta hapa. Chukulia hizo zilizo kwenye orodha ni shule, ukiamua kumpeleka mwanao uwezo duni darasani ili akasome na kufaulu mitihani yake, utampeleka Uruguay au Iran?Chuki ni mbaya sana...
Serikali imeona umuhimu wa kushirikiana na IRAN kwenye michezo , wewe umejichimbia huko Tandale unakunywa supu ya vibudu.
FIFA
Tanzania Ipo nafasi ya ngapi hapo...
Ova