Tanzania Kushirikiana na Iran Sekta ya Michezo

Wewe naona huelewi hao watu hakuna wanachojua zaidi ya vita na ugaidi sijui unataka tukajifunze nini kwa waarabu kama hata wao wenyewe wanawategemea wazungu
 
Wewe naona huelewi hao watu hakuna wanachojua zaidi ya vita na ugaidi sijui unataka tukajifunze nini kwa waarabu kama hata wao wenyewe wanawategemea wazungu
Badili mtazamo mkuu. Kila kitu inategemea unakiangalia kwa namna gani. Hata hao wazungu uliowataja wanawategemea hao "wanaojua vita na ugaidi" kwenye oil wameenda mbali hata baadhi ya bandari zikiwemo za huko ulaya wanaoperate wale jamaa wa dp world. (Kikubwa mnasaini mkataba wa makubaliano yapi)
 
Mmmh Iran katika Michezo!!!!? Iran, inajua Michezo gani!?? Kwanini hatukwenda Brazil, Mexico, Italy, Ufaransa, UK, Nigeria, Cameroon, tunaenda Iran kuomba msaada wa wataalamu wa Michezo!? Hii nchi kila kitu ni kichwa chini miguu juu!
Inaeleweka kabisa, ukitaka upate utaalamu wa IT, nenda, India, Korea, china,
Sasa hawa kenge wa bongo, utunzaji misitu, unawapa waarab waliopo jangwani! Huko kwao walipanda wapi miti, mpira unaomba msaada Iran! Seriously why not Italy, France, Morroco, Nigeria, Brazil, Argentina! Hapa ni uislam wa Bibi mkora,ndio umeangaliwa
 
Mkuu tuishie hapa baki unavyoamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…