Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zenye walevi wengi Afrika. Nini kifanyike?

Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zenye walevi wengi Afrika. Nini kifanyike?

Lakini buku 2 unapata pia unga ½ na maharage yaliyopikwa ya jero kwa mama muuza anakufungia kwenye kilailoni. Sasa why ununue sumu
Mimi nmeanza matumizi ya pombe tokea nikiwa miaka 16,17 mpaka leo hii sema kwa sasa nimepunguza kwa kiasi kikubwa
Na unywaji wetu naweza kusema ulikuwa wa kistaarabu sana
Kwa sasa kuna pombe za ajabu na cheap kupitiliza
Na utengezaji wa hzi local pombe za hapa nyumbani sijui kama wanazingatia ubora na kujali afya

Ova
 
Wabongo wengi kama wewe mnapenda sana kutabiriana kushindwa sehemu ya kupeana moyo na kutabiriana mazuri.

Na hii kwangu ni motivation.

Nitarudi hapa kila January 1 kuwapa mrejesho.
Hili wala sio kwa wabongo tu, ni hali iliyopo kwa watu wengi wanaokunywa pombe(sijui kiwango chako cha unywaji kilikuwaje). Wala sikurudishi nyuma, ni uhalisia...ukiweza kuishinda hiyo hali ni jambo jema wala siombi urudi, ila uzoefu unaonyesha wengi wanarudi.
 
Hili wala sio kwa wabongo tu, ni hali iliyopo kwa watu wengi wanaokunywa pombe(sijui kiwango chako cha unywaji kilikuwaje). Wala sikurudishi nyuma, ni uhalisia...ukiweza kuishinda hiyo hali ni jambo jema wala siombi urudi, ila uzoefu unaonyesha wengi wanarudi.

There is a "problem of induction" logical fallacy in your thinking. Google that, I know you don't know.

Umenikamia mabaya dhidi ya lengo langu kama vile unanijua wakati hunijui, hujui niko wapi, hujui nimejiandaa vipi kukabiliana na vishawishi, hujui uwezo wangu nikiweka nia.

Wewe umejipa umuhimu mkubwa sana katika maisha yangu kuliko unavyostahili.

Umejipa ujuzi usio nao.

Umeweka assumptions zako.

Na wewe ni motivation ya kunifanya niweke juhudi zaidi.

Yani hata kama kulikuwa nanuwezekano wa mini kurudi nyuma, wewe kusema hivyo ndiyo kunanipa nguvu zaidi nisirudi nyuma.

Kifupi wewe ni hater. Unatamani watu washindwe kabla hawajashindwa. Ili tu ukamilishe ndoto zako za kuona watu wanashindwa.

Hujui jwamba mtu anayekuwa katika safari hii anatakiwa kupewa moyo, si kupewa maneno ya kichawichawi.
 
There is a "problem of induction" logical fallacy in your thinking. Google that, I know you don't know.

Umenikamia mabaya dhidi ya lengo langu kama vile unanijua wakati hunijui, hujui niko wapi, hujui nimejiandaa vipi kukabiliana na vishawishi, hujui uwezo wangu nikiweka nia.

Wewe umejipa umuhimu mkubwa sana katika maisha yangu kuliko unavyostahili.

Umejipa ujuzi usio nao.

Umeweka assumptions zako.

Na wewe ni motivation ya kunifanya niweke juhudi zaidi.

Yani hata kama kulikuwa nanuwezekano wa mini kurudi nyuma, wewe kusema hivyo ndiyo kunanipa nguvu zaidi nisirudi nyuma.

Kifupi wewe ni hater. Unatamani watu washindwe kabla hawajashindwa. Ili tu ukamilishe ndoto zako za kuona watu wanashindwa.

Hujui jwamba mtu anayekuwa katika safari hii anatakiwa kupewa moyo, si kupewa maneno ya kichawichawi.
Yote haya ni kwa sentensi moja fupi tu?

Ninakujua kumbe sikujui, mimi ni hater, nimejipa umuhimu kwa maisha yako, nataka ushindwe...nk.

Mambo mazito haya mkuu, nakupa moyo mkuu.
 
Yote haya ni kwa sentensi moja fupi tu?

Ninakujua kumbe sikujui, mimi ni hater, nimejipa umuhimu kwa maisha yako, nataka ushindwe...nk.

Mambo mazito haya mkuu, nakupa moyo mkuu.
Hapana, hunipi moyo.

Hunipi moyo kwa kuniambia lazima nitashindwa. Hususan kama hunijui.

Kwa maneno yako haya, wewe ni hater, hata kama hujijui kwamba wewe ni hater, wewe ni hater tu.

Yani hata kama wewe hujijui kuwa ni hater, mimi nimeshakujua kuwa wewe ni hater kabla wewe mwenyewe hujajijua kuwa ni hater.
 
Hapana, hunipi moyo.

Hunipi moyo kwa kuniambia lazima nitashindwa. Hususan kama hunijui.

Kwa maneno yako haya, wewe ni hater, hata kama hujijui kwamba wewe ni hater, wewe ni hater tu.

Yani hata kama wewe hujijui kuwa ni hater, mimi nimeshakujua kuwa wewe ni hater kabla wewe mwenyewe hujajijua kuwa ni hater.
Sawa mkuu, hater mimi!!
 
 
Back
Top Bottom