Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Tetesi: Tanzania Kuwekewa vikwazo vya kiuchumi

Sawa kagushi,lakini amelitumikia taifa miaka28 kwa weledi wa hali ya juu alafu unamtimu pasipo kifuta jasho. Angalikuwa baba au mama yako amefanyiwa ivo,wewe ungekuwa na furaha? Human face iliyofanyika Mwanza isingefaa maeneo mengine? Hebu tutafakari upande mwingine, mfano kule Mtwara, WAPO wakulima wakubwa na wadogo. Hao wadogo korosho zao huuza wakati wowote kutokana na shida ya maisha. Yupo mtu ana nunua kama middle man,anadunduliza mpaka anapata tani kumi na zaidi,Leo hii korosho kuuza mpaka uoneshe shamba,ukishindwa korosho siyo zako tena,bila kujali hela umetoa wapi,unategemewa na watu wangapi! Hii inatofauti na vyeti feki, HUMAN FACE HAPO IKO WAPI? AMANI NI NENO PANA SANA, UNACHOTAKA UTENDEWE,MTENDEE JIRANI YAKO,HII NDIYO AMANI. Jilazimishe kuwa na akili japo kidogo tu.
Kwani akili ni nini bosi?
 
Daima Tanzania sio nchi ya kufananisha na Zimbabwe nchi tuliyowasaidia kupata uhuru
Ukiwa na maana kuwa ni exceptional sana au?! Hebu funguka kidogo kuwa ni kwanini isifananishwa na Zimbabwe.
 
Kamwe hawawez kukubali maendeleo Africa
Yaan watengeneze china wengine akat china yenyewe ni matatizo kwao
 
Nilishafafanua huko nyuma ila nitaweka mkasa mzima siku ya 25/12/2018,

Nina imani chozi litakudondoka jinsi vikundi vya mauaji na Udhulumati ma mateso dhidi ya Watanzania kwa kigezo cha kuwa ni Wapinzani.
Siku ukiweka hiyo tafadhali ni tag
 
Naona inafaa serikali imtumie Rais Mstaafu Kikwete aokoe jahazi kwa masuala ya mahusiano na Marekani nakukumbuka wakati wa utawala wake waliokuwa marais wa Marekani Obama na Bush walikutana hapa Tanzania
Mshamwambia anawashwa mnadhani kasahau? Anawachora tuu kwa mbali
 
Sawa kiongozi, ingawaje kwenye swali langu ndipo palipo na jibu la hoja zako.
Nakutakia kazi njema ya kufanya kazi ya utume wa huruma..!!
Hahaha! Kilamaa,we are family in jf, ila tusimamie ukweli bila chuki. Unajua hata maisha ya kawaida, ukiwa na kipato alafu ukawaona Jirani zako hawana akili ya kipato. Utakuwa umetengeneza chuki nao,KAMA SIYO KUOMBA UFIRISIKE,WATASUBIRI USIKU NA MCHANA UFIRISIKE WAO WASHANGIRIE. huu ndiyo mfumo wa maisha duniani. Tuishi kwa akili
 
Baada ya maongezi ya kina na kiongozi mmoja mwandamizi ndani ya taasisi nyeti, bila shaka uwoga umetanda kwamba tunaelekea kwenye vikwazo cha kiuchumi. 90%. Tanzania inabidi ianze diplomasia isiyo ya kawaida. Yaani high gear diplomacy

Licha ya misaada kusitishwa, kuna uwezekano wa travel ban pamoja na trade embargo dhidi ya Tanzania kwensa EU pamoja na Uingereza. Nadhani CCM wana jukumu la kutengua uongozi uliopo Marekani kwa kupiga kura ya kutokuwa na imani na kiongozi aliyopo madarakani kulinusuru taifa dhidi ya haya matatizo yanayokuja

MY TAKE; bora kusitishwa misaada, ila siyo trade embargo. Tutaumia sana Watanzania
Wacheni propaganda za kijinga kama hamuwezi siasa acheni huu ujinga. Tuwekewe vikwazo kwa kisa gani chenye kudeserve. Siasa za kuchenji gear hewani mnafikiri ndio itawaingiza upinzani madarakani?
 
Kwa mtazamo wa mwandishi wa uzi huu,

Kisheria na kanuni, wabunge wa CCM ndio wenye maamuzi ya mwisho kuliokoa taifa letu kwa sasa. Sababu ""Article 46A URT 1977 ACT 2 Of The Laws (IMPEACHMENT OF THE PRESIDENT)"" ya Katiba yetu, inaruhusu Rais kumwagwa bungeni, kwa kupigiwa kura za kutokua na imani nae.

Kura zinatakiwa kua 75% (Robo Tatu Ya Kura Zote Bungeni) za wabunge kuunga mkono kua hawana imani na Rais. Wapinzani hawana uwezo wa kufanya impeachment hata wafanyaje.

CCM wanazaidi ya 50% ya kura bugeni. Hata kikiitishwa kikao cha bunge kwa HATI YA DHARURA (UNDER CERTIFICATE OF URGENCY), bungeni kutaka kufanya Impeachment ya Rais, wabunge wa CCM wakisema wana imani nae, kazi bure.[emoji53] [emoji18]

#Hivi hakuna mafundi wa kuwatia mabusha wabunge wa kike wa CCM, na kuwati BLEED wabunge wa kiume wa CCM kabla hawajatuingiza kwenye uadui na mataifa yenye nguvu???
Kabla ya hiyo kura kutangwaza matokeo bunge litakuwa limechomwa moto wakiwa ndani kama ofisi za tume ya kongo.
 
Maongezi ya kina! Anayeweza kukupa taarifa kama hizo ni mtu wa ngazi za juu za serikali. Lakini nikiangalia unavyoandika sioni kama wewe uko kiwango cha kuweza kuzungumza na mtu wa kiwango hicho. UKo chini sana! Labda tu, you are just wishing.
Watu wa ngazi za juu serikalini si ndo wale wanaita mradi ni stegolas?
Mbona wamezidiwa na huyu?
 
Hahaha! Kilamaa,we are family in jf, ila tusimamie ukweli bila chuki. Unajua hata maisha ya kawaida, ukiwa na kipato alafu ukawaona Jirani zako hawana akili ya kipato. Utakuwa umetengeneza chuki nao,KAMA SIYO KUOMBA UFIRISIKE,WATASUBIRI USIKU NA MCHANA UFIRISIKE WAO WASHANGIRIE. huu ndiyo mfumo wa maisha duniani. Tuishi kwa akili[/QUOT

bwana Lingamba nahisi hili jina ni la kwetu kule undambani na upogoroni. Ipo hivi nakosa muda wa kutafuta matatizo ya wengine kwa sababu ya kwangu yanazidi kuongezeka kila leo, wakati mwingine hayo matatizo nayasikia sana lakini siwezi hata kudeal nayo kwa sababu ya matatizo yangu.
Kwa mfano uliotoa, niweze tu kusema tuishi na watu/majirani kwa akili hekima na busara..!!
 
Nini maana ya trade embargo na itatuathiri kivipi? Naomba kufaham hilo
Kama hajui maana ya vikwazo vya kiuchumi meulize Mzimbabwe yoyote. Atakueleza na itafanya kama ndo njia sahihi ya kufuata.
 
Back
Top Bottom