Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

Nina swali wakuu, Mimi ni mhanga wa kuachishwa kazi katika kampuni moja hivi hapa Tz, inajishughulisha na uchimbaji wa madini aina ya dhahabu! Kitengo changu kilifutwa chote,zaidi ya wafanyakazi 136 tuliachishwa kazi, wakati huo tulikuwa na mikataba ya kudumu! Kesi ilienda CMA matokeo yake mwajiri akatunukiwa ushindi na arbitrator, kama mjuavyo maamuzi ya arbitrator yanatekelezeka immediately! Ndipo akatekeleza adhima yake! Chama cha NUMET-TZ kinachoshughulika na watu wanaofanya kaz migodini kilikata rufaa kwenda mahakama kuu na kesi bado haijasikilizwa wala kupangwa kutokea January mpka sasa!

Sasa swali kwenu wadau, naweza kusimama Mimi kama Mimi nikafumgua na kumshitaki huyu mwajiri kwa kitendo chake hicho? Mwanasheria naomba tuwasiliane 0764811295 plz!

Niko serious
 
Mfano nimepewa mkataba wa mwaka mmoja na nikausaini, baaada ya kufanya kazi miezi mitano mwajili anatangaza kuwa kampuni imefilisika hivyo itafungwa mwezi wa sita (kwa barua), sheria inasemaje hapo kuhusu malipo ya mwajiliwa??
Shariti akulipe mienzi yote ilio baki maana hayakua makubaliano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari kiongozi.
Mimi ni mwl ktk shule moja ya private hapa Dar es salaam.

Nina matatizo makubwa kazini, Wameniundia zengwe kuwa nimewapa mtihani wanafunzi,

Nikiwa nasahisha, wakanizuia kumalizia wakamalizia wao

Toka siku hyo wamenizuia kuingia shuleni

Na tayari wameshatafuta mtu mwingine

YOTE HAYA YANAFANYIKA
sijaitwa nikahojiwa juu ya tuhuma yangu
Wala sijaandika maelezo yoyote

JE
sheria ikoje ktk kumsimamisha na kumfukuza mwajiriwa. Nina miaka tisa (9) kazini

Pia hawajanipa hata barua ya kumsimamisha zaid ya mkuu wa shule kuwapa amri walinzi wa getini wasiniruhusu

Msaada plz

Natanguliza shukran
Nina mda sijapita huku. Anyway away watu mlimalizana vipi? Maana hapa ulikuwa na bonge la kesi na fundisho kwa waajiri wanyanyasaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari zenu? Natumai muwazima.

Naomba kufahamishwa ama kupatiwa ufumbuzi katika sheria yetu ya Tanzania ya Kazi, ajira na Mahusiano kazini kipengele kinachohusu LEAVE ALLOWANCE.

Nimekisoma lakini bado sijapata majibu kamimi nami si mtaalamu wa uchambuzi wa sheria. Kitu ambacho kinanitatiza ni je NI LAZIMA AU WAJIBU WA MWAJIRI KUMLIPA MWAJIRIWA LEAVE ALLOWANCE ambayo ni sawa na mshahara wa mwezi mmoja au ni option yake mwajiri kuamua kulipa au kutolipa? Na kama ni lazima na hajalipa ni nini hukumu yake?

Naomba kuwasilisha.
 
Wakuu habari zenu? Natumai muwazima.

Naomba kufahamishwa ama kupatiwa ufumbuzi katika sheria yetu ya Tanzania ya Kazi, ajira na Mahusiano kazini kipengele kinachohusu LEAVE ALLOWANCE.

Nimekisoma lakini bado sijapata majibu kamimi nami si mtaalamu wa uchambuzi wa sheria. Kitu ambacho kinanitatiza ni je NI LAZIMA AU WAJIBU WA MWAJIRI KUMLIPA MWAJIRIWA LEAVE ALLOWANCE ambayo ni sawa na mshahara wa mwezi mmoja au ni option yake mwajiri kuamua kulipa au kutolipa? Na kama ni lazima na hajalipa ni nini hukumu yake?

Naomba kuwasilisha.
Mbona wamekauka wataalamu.
 
Wakuu habari zenu? Natumai muwazima.

Naomba kufahamishwa ama kupatiwa ufumbuzi katika sheria yetu ya Tanzania ya Kazi, ajira na Mahusiano kazini kipengele kinachohusu LEAVE ALLOWANCE.

Nimekisoma lakini bado sijapata majibu kamimi nami si mtaalamu wa uchambuzi wa sheria. Kitu ambacho kinanitatiza ni je NI LAZIMA AU WAJIBU WA MWAJIRI KUMLIPA MWAJIRIWA LEAVE ALLOWANCE ambayo ni sawa na mshahara wa mwezi mmoja au ni option yake mwajiri kuamua kulipa au kutolipa? Na kama ni lazima na hajalipa ni nini hukumu yake?

Naomba kuwasilisha.
Lakini kwa ushauri ukigoogle sheria za kazi na mahusiano kazini 2004,utapata yote hayo, ndo mchango wangu
 
Nimeomba ufafanuzi. Sheria nimeisoma mkuu
Kiukweli likizo ni haki yako Kama ulivyosema mwenyewe ipo kisheria, kuna bwana anaitwa Petro Mselewa yumo humu jf anazijua hizo, nashangaa kakauka tu.
 
Pamoja sana chief
Mkuu mm nimefanya kazi kwenye campun kwa mda wa miaka mitano na sasa iv mwajir wangu anataka kunipatia mkataba vp kuusu malipo yangu nyuma endapo nitaisi?au sistahili kupewa chochote uli tuanze upya
 
Mkuu mimi nimefanya kazi kwenye campuni kwa miaka mitano na sasa wanataka kunipatia mkataba vp nastahili kulipwa malipo ya nyuma au sistahili kupewa chochote
 
Mkuu deonova Annual Leave au tuseme likizo ya mwaka inastahili malipo? Inakuwa included kwenye zile zinazoitwa paid leave?
 
Waooh! Shukran sana mkuu kwa Elimu tosha uliyotupatia.
Ninajambo nataka kuuliza.
Ivi Annual Increment ipo katika sheria ipi?
Na ya mwaka gani?
Endapo muajir hajampa mtumishi wake hiyo A.I. je haki yake huyo mtumishi atafanyaje aweze kuipata?
 
Mwajiri anawajibika kukuruhusu kwenda likizo ya siku 28 kila mwaka na anapaswa kukulipa mshahara wakati wa likizo hiyo.

Mwajiri halazimishwi na Sheria kukulipa posho ya likzo labda km ni sehemu ya makubaliano kwenye Mkataba wenu au Mkataba wa Hari bora km upo..

Watumishi wa Umma hupewa hela ya nauli kwenda likizo makwao mara moja kwa miaka miwili. Hii ni kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu ktk Utumishi Umma. Wengine hususani kwenye Taasisi hulipwa nauli kama hii kila likizo.
 
Mwajiri anawajibika kukuruhusu kwenda likizo ya siku 28 kila mwaka na anapaswa kukulipa mshahara wakati wa likizo hiyo.

Mwajiri halazimishwi na Sheria kukulipa posho ya likzo labda km ni sehemu ya makubaliano kwenye Mkataba wenu au Mkataba wa Hari bora km upo..

Watumishi wa Umma hupewa hela ya nauli kwenda likizo makwao mara moja kwa miaka miwili. Hii ni kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu ktk Utumishi Umma. Wengine hususani kwenye Taasisi hulipwa nauli kama hii kila likizo.
Asante sana. Kwa hiyo ndani ya miezi 12 ya mwaka nitakuwa na mishahara 13 au unamaanisha nikiwa leave ule mshahara wa mwezi huo ndio watakaopokea wenzangu ambao wapo kazini nami ndio huo huo?
 
Mkuu mimi nimefanya kazi kwenye campuni kwa miaka mitano na sasa wanataka kunipatia mkataba vp nastahili kulipwa malipo ya nyuma au sistahili kupewa chochote

Mkuu kama umeshafanya kazi miaka mitano bila ya mkataba na sasa mnataka kusainishana mkataba, basi lazima kipengele cha tarehe ya kuanza kazi kwenye mkataba uandike ile tarehe uliyoanza kazi ya hiyo miaka mitano ya huko nyuma chief, hii itakusaidia ili stahiki zako za huko nyuma ziweze kuwa accomodated kwenye huu mkataba unaosaini sasa.
 
Back
Top Bottom