Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

Mkuu samahani kwenye ufunguzi wa shauri kwenye hiyo tume ya usuluhishi wanaohitajika kufungua shauri anaweza pia kuwa mtu mmoja na akafanikiwa kwa ajili ya wafanyakazi wengine au mpaka waende wawakilishi wa wafanyakazi..???

Anaweza kuwa mmoja akawakilisha madai ya watu wote cha msingi wataanisha kila jina la madai yake na kupata jumla ya madai yote
 
Mungu akubariki sana kwa moyo wako mkuu.

Ameen haya mambo ni kusaidiana tu ili wengine wasikwame nimeshangaa jamaa analalamikia eti nalipwa mpaka naandika sana sasa kumsaidia mtu napo unatakiwa ulipwe maana haya mambo mimi ndo nafanyia kazi sasa kumsaidia mtu ujuzi napo ulipwe sio uungwana kabisa maana hata hizo sheria za kazi zenyewe zipo za kiswahili maana yake mtu akizisoma vizuri anaelewa kila kitu
 
Ameen haya mambo ni kusaidiana tu ili wengine wasikwame nimeshangaa jamaa analalamikia eti nalipwa mpaka naandika sana sasa kumsaidia mtu napo unatakiwa ulipwe maana haya mambo mimi ndo nafanyia kazi sasa kumsaidia mtu ujuzi napo ulipwe sio uungwana kabisa maana hata hizo sheria za kazi zenyewe zipo za kiswahili maana yake mtu akizisoma vizuri anaelewa kila kitu
Much respect to you brother!
 
Lengo la elimu sio kufanya uchuuzi
Pumbavu kweli wewe!!

Hii ni taaluma sio biashara ya mafungu ya nyanya!

Una tatizo, fika ofisi za mawakili wakusaidie on professional basis!

Ukiona ni gharama sana basi endelea kusoma ushauri wa vishoka mitandaoni! Wakupotoshe mpaka akili ikukae sawa.
 
Uonevu hautaisha nchi hii hadi pale kiongozi "mtenda haki" atakapoongoza taifa hili
 
Anaweza kuwa mmoja akawakilisha madai ya watu wote cha msingi wataanisha kila jina la madai yake na kupata jumla ya madai yote
Okay Asante mkuu,,,Kuna gharama zozote hapo za ufunguzi wa shauri...????
 
Pumbavu kweli wewe!!

Hii ni taaluma sio biashara ya mafungu ya nyanya!

Una tatizo, fika ofisi za mawakili wakusaidie on professional basis!

Ukiona ni gharama sana basi endelea kusoma ushauri wa vishoka mitandaoni! Wakupotoshe mpaka akili ikukae sawa.
Acha njaa zako wewe.
Mwenzako anasaidia kwa sababu hana njaa ya pesa amesharidhika.
Wewe unafikiri mimi nikiwa na tatizo la sheria nitamtafuta mwanasheria uchwara kama wewe.

Wewe kama ni fungu la kukosa ni la kukosa tu,kama ipo ipo tu. Hata ukizuia huu uzi usiendelee haitakusaidia kama kufa njaa utakufa tu haitakusaidia kupata hela tafuta mbinu nyingine ya kusaka pesa sio kununia watu wasiokuhusu.
 
Wacha kubwatuka. Fika ofisi za mawakili ULIPE NA ADA.

Kwanza una shingapi wewe? Unalia lia mitandaoni unafikiri tunafanya kazi kwa kuchati hovyo hovyo!

Ebooo!
Basi fanya hivi.
Nenda katushitaki kwamba tumekusababishia umaskini na njaa kwa kuanzisha hili jukwaa.
 
Okay Asante mkuu,,,Kuna gharama zozote hapo za ufunguzi wa shauri...????

kiufupi hakuna gharama zozote za kufungua shauri sema kunatakiwa tu ujazaji mzuri wa form za cma kuna form zinakuwa 2 moja inaelezea tatizo na utaambatanisha na mchanganuo wa madai ambao kitaalamu tunaita claim schedule yani utasema unadai kipi na kipi na jumla yake alafu form ya 2 ni hati ya wito kwa muajiri wako kuitwa mahakamani zote hizo utampelekea ili audhurie kwa wito wa mahakama na ajue anadaiwa nini hivyo na wewe utabakia na kopi
 
Basi fanya hivi.
Nenda katushitaki kwamba tumekusababishia umaskini na njaa kwa kuanzisha hili jukwaa.
Wewe huna uwezo wa kunisababishia umasikini!! Huwezi na huna hiyo jeuri!

Acha kujifanya una umuhimu kwangu! Huo umuhimu hauna wewe!

Hahahaa........ eti naomba msaada!!

Whatsapp???? Una akili timamu kweli??
 
Sasa kama sio njaa kumbe hapa unataka nini?
Wewe huna uwezo wa kunisababishia umasikini!! Huwezi na huna hiyo jeuri!

Acha kujifanya una umuhimu kwangu! Huo umuhimu hauna wewe!

Hahahaa........ eti naomba msaada!!

Whatsapp???? Una akili timamu kweli??
 
Ameen haya mambo ni kusaidiana tu ili wengine wasikwame nimeshangaa jamaa analalamikia eti nalipwa mpaka naandika sana sasa kumsaidia mtu napo unatakiwa ulipwe maana haya mambo mimi ndo nafanyia kazi sasa kumsaidia mtu ujuzi napo ulipwe sio uungwana kabisa maana hata hizo sheria za kazi zenyewe zipo za kiswahili maana yake mtu akizisoma vizuri anaelewa kila kitu
Habar yako mkuu.
Samahani naomba kuja pm kuna jambo la privacy napenda kupata msaada wako
 
Back
Top Bottom