Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

HABARI WAKUU,
NAOMBA KUULIZA

Ni haki/stahiki gani napaswa kupata kutoka kwa mwajiri wangu endapo endapo amenipunguza kazini?

Niliajiriwa rasmi mwezi wa 10 mwaka jana 2019, baada ya miezi mitatu yaani mwezi wa 01 mwaka 2020 nikabadiliishiwa kitengo kutoka kitengo "A" kwenda kitengo "B" ambacho mshahara wake kidogo upo vizuri kutokana na utendaji wangu wa kazi.

Ila wakati nabadilishiwa kitengo sikupewa mkataba badala yake nikapewa "barua ya promosheni) ambayo inaonesha allowances na kiwango cha mshahara mpya (basic salary), nilipohoji kuhusu mkataba mpya nikaambiwa kuwa, nitatumia mkataba ule niliopewa awali, ila mshahara na allowances mpya ndio vimeandikwa kwenye barua ya promosheni, mpaka ukiisha mkataba wa awali ndio nitapewa mpya ambao utajumuisha yote kwa pamoja katika mkataba huo mpya.

Sasa siku ya leo tumepewa barua za wito wa kwenda kukutana kwenye kikao cha pamoja na mwajiri kwaajili ya kujadili kuhusu kupunguzwa kwa wafanyakazi.

Jumla ya muda niliofanyakazi tangu niajiriwe ni miezi 10,
Na Jumla ya muda ambao nimefanyakazi kwenye hiki kitengo nilichohamishiwa ni miezi 8 tu, na sikupewa mkataba katika hiki kitengo isipokuwa barua ya promotion tu.

Je, kuna stahiki gani ambazo natakiwa kupewa na mwajiri wangu kama mfanyakazi maana anapunguza wafanyakazi kwa madai kuwa kampuni inajiendesha kwa hasara hivyo ameona ni bora kupunguza wafanyakazi wake nikiwemo na mimi.
Naombeni ushauri na majibu .
Ahsanteni.

Hoja hii nitaijibu kwa kufuata Sheria 4 muhimu zinazohusu ajira
1. Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004
2. Kanuni za ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2007
3. Agizo la kima cha chini ya mshahara ya mwaka 2013
4. Sheria ya hifadhi ya jamii iliyofanyiwa marejeo mwaka 2018

Sasa twende kwenye swali husika ( kupunguzwa kazini) au kwa kingereza tunaita retrenchment hii kisheria ipo hivi

Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha 38 mwajiri kama anataka kupunguza wafanyakazi anatakiwa kufata taratibu maana yake zoezi la kupunguza wafanyakazi lina taratibu zake ikiwa 1. kutoa sababu 2. kutoa notes 3. kusema atatumia mbinu gani kupunguza 4. je amefanya juhudi gani kuondoa hali hiyo 5. lazima atatakiwa kuwazingatia tena pale hali ikija kukaa sawa

Sasa nini stahiki za mfanyakazi pale anapoondelewa kazini huwa kama zifuatazo hii ni kwa mjibu wa Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha 44

1. Utatakiwa kulipwa siku ulizofanya kazi kwa mwezi husika kabla ya ilo zoezi la kupunguzwa
2. Notes ya siku 28 hii inategemea taarifa imetolewaje na muda uliotolewa taarifa hiyo
3. likizo kwa mujibu wako unasema umetumikia miezi 10 maana yake utapigiwa hesabu hivi 2.3*10=23 leave day itazidishwa kwa mshahara wako wa siku ndipo utajua unastahili bei gani
4. kiinua mgongo hapa kwako hutopata kwanini?

Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha 42 kinasema angalau uwe umetumikia mwaka mmoja kwenye hiyo kampuni wewe umetumikia miezi 10 hutopata labda kwa busara tu za muajiri wako na ikitokea umepata itakuwa hivi = mshahara wa siku mara 7 kwa kuzidisha miaka uliyotumikia mfano mshahara wa siku ni 10,000*7*1 maana yake ni 70,000 kiinua mgongo
5. Cheti cha utumishi

Note: Angalizo jumla ya malipo hayo yote kwa mujibu wa sheria ya kodi ya mwaka 2015 kile kipengele cha payee lazima yatakatwa kodi ila sahivi itaanzia 271,000 na viwango vimebadilika kidogo tofauti na zamani.

Agizo la kima cha chini ya mshahara ya mwaka 2013 nimweweka hii ukute katika sekta uliyopo ulikuwa unalipwa chini ya kiwango cha mshahara kilichoolekezwa na serikali hivyo unaweza kudai mapunjo yako kwa mujibu wa kanuni za ajira za mwaka 2007

Sheria ya hifadhi ya jamii iliyofanyiwa marejeo mwaka 2018 hii itakusaidia baada ya mchakato wote utachukua iyo barua kwenda kufungua madai yako ila sasa kama wewe ni una taaluma utapewa asilimia 33% ya madai yako au ngojea ufike miaka 55

kama utakuwa na kitu hujaelewa utauliza tena au wanajamvi watakosoa pale nikipotereza ili upate maarifa zaidi.
 
Hebu saidia na case yangu hapo juu mkuu.
Thanks in advance.
Hoja hii nitaijibu kwa kufuata Sheria 4 muhimu zinazohusu ajira
1. Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004
2. Kanuni za ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2007
3. Agizo la kima cha chini ya mshahara ya mwaka 2013
4. Sheria ya hifadhi ya jamii iliyofanyiwa marejeo mwaka 2018

Sasa twende kwenye swali husika ( kupunguzwa kazini) au kwa kingereza tunaita retrenchment hii kisheria ipo hivi

Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha 38 mwajiri kama anataka kupunguza wafanyakazi anatakiwa kufata taratibu maana yake zoezi la kupunguza wafanyakazi lina taratibu zake ikiwa 1. kutoa sababu 2. kutoa notes 3. kusema atatumia mbinu gani kupunguza 4. je amefanya juhudi gani kuondoa hali hiyo 5. lazima atatakiwa kuwazingatia tena pale hali ikija kukaa sawa

Sasa nini stahiki za mfanyakazi pale anapoondelewa kazini huwa kama zifuatazo hii ni kwa mjibu wa Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha 44

1. Utatakiwa kulipwa siku ulizofanya kazi kwa mwezi husika kabla ya ilo zoezi la kupunguzwa
2. Notes ya siku 28 hii inategemea taarifa imetolewaje na muda uliotolewa taarifa hiyo
3. likizo kwa mujibu wako unasema umetumikia miezi 10 maana yake utapigiwa hesabu hivi 2.3*10=23 leave day itazidishwa kwa mshahara wako wa siku ndipo utajua unastahili bei gani
4. kiinua mgongo hapa kwako hutopata kwanini? Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha 42 kinasema angalau uwe umetumikia mwaka mmoja kwenye hiyo kampuni wewe umetumikia miezi 10 hutopata labda kwa busara tu za muajiri wako na ikitokea umepata itakuwa hivi = mshahara wa siku mara 7 kwa kuzidisha miaka uliyotumikia mfano mshahara wa siku ni 10,000*7*1 maana yake ni 70,000 kiinua mgongo
5. Cheti cha utumishi

Note: Angalizo jumla ya malipo hayo yote kwa mujibu wa sheria ya kodi ya mwaka 2015 kile kipengele cha payee lazima yatakatwa kodi ila sahivi itaanzia 271,000 na viwango vimebadilika kidogo tofauti na zamani


Agizo la kima cha chini ya mshahara ya mwaka 2013 nimweweka hii ukute katika sekta uliyopo ulikuwa unalipwa chini ya kiwango cha mshahara kilichoolekezwa na serikali hivyo unaweza kudai mapunjo yako kwa mujibu wa kanuni za ajira za mwaka 2007

Sheria ya hifadhi ya jamii iliyofanyiwa marejeo mwaka 2018 hii itakusaidia baada ya mchakato wote utachukua iyo barua kwenda kufungua madai yako ila sasa kama wewe ni una taaluma utapewa asilimia 33% ya madai yako au ngojea ufike miaka 55

kama utakuwa na kitu hujaelewa utauliza tena au wanajamvi watakosoa pale nikipotereza ili upate maarifa zaidi
 
Hoja hii nitaijibu kwa kufuata Sheria 4 muhimu zinazohusu ajira
1. Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004
2. Kanuni za ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2007
3. Agizo la kima cha chini ya mshahara ya mwaka 2013
4. Sheria ya hifadhi ya jamii iliyofanyiwa marejeo mwaka 2018

Sasa twende kwenye swali husika ( kupunguzwa kazini) au kwa kingereza tunaita retrenchment hii kisheria ipo hivi

Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha 38 mwajiri kama anataka kupunguza wafanyakazi anatakiwa kufata taratibu maana yake zoezi la kupunguza wafanyakazi lina taratibu zake ikiwa 1. kutoa sababu 2. kutoa notes 3. kusema atatumia mbinu gani kupunguza 4. je amefanya juhudi gani kuondoa hali hiyo 5. lazima atatakiwa kuwazingatia tena pale hali ikija kukaa sawa

Sasa nini stahiki za mfanyakazi pale anapoondelewa kazini huwa kama zifuatazo hii ni kwa mjibu wa Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha 44

1. Utatakiwa kulipwa siku ulizofanya kazi kwa mwezi husika kabla ya ilo zoezi la kupunguzwa
2. Notes ya siku 28 hii inategemea taarifa imetolewaje na muda uliotolewa taarifa hiyo
3. likizo kwa mujibu wako unasema umetumikia miezi 10 maana yake utapigiwa hesabu hivi 2.3*10=23 leave day itazidishwa kwa mshahara wako wa siku ndipo utajua unastahili bei gani
4. kiinua mgongo hapa kwako hutopata kwanini? Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha 42 kinasema angalau uwe umetumikia mwaka mmoja kwenye hiyo kampuni wewe umetumikia miezi 10 hutopata labda kwa busara tu za muajiri wako na ikitokea umepata itakuwa hivi = mshahara wa siku mara 7 kwa kuzidisha miaka uliyotumikia mfano mshahara wa siku ni 10,000*7*1 maana yake ni 70,000 kiinua mgongo
5. Cheti cha utumishi

Note: Angalizo jumla ya malipo hayo yote kwa mujibu wa sheria ya kodi ya mwaka 2015 kile kipengele cha payee lazima yatakatwa kodi ila sahivi itaanzia 271,000 na viwango vimebadilika kidogo tofauti na zamani


Agizo la kima cha chini ya mshahara ya mwaka 2013 nimweweka hii ukute katika sekta uliyopo ulikuwa unalipwa chini ya kiwango cha mshahara kilichoolekezwa na serikali hivyo unaweza kudai mapunjo yako kwa mujibu wa kanuni za ajira za mwaka 2007

Sheria ya hifadhi ya jamii iliyofanyiwa marejeo mwaka 2018 hii itakusaidia baada ya mchakato wote utachukua iyo barua kwenda kufungua madai yako ila sasa kama wewe ni una taaluma utapewa asilimia 33% ya madai yako au ngojea ufike miaka 55

kama utakuwa na kitu hujaelewa utauliza tena au wanajamvi watakosoa pale nikipotereza ili upate maarifa zaidi
Mkuu na kesi yangu hapo juu naomba unisaidie sisi wafanyakazi wa Kiribo tumepunguzwa tokea mwezi wa sita kutokana na mkataba wa kampuni yetu na mgodi kuisha ila mpaka wa leo hatujapata stahiki zetu na sababu bosi wa kampuni anadai hajalipwa pesa na Mgodi na pesa zenyewe Ni za mwezi mmoja tu ndo anazodai na kwa maelezo ya Mgodi wanasema wanaidai kampuni Ela nyingi ndo maana wakazishikilia hizo Ela za mwezi mmoja Sasa sisi Kama wafanyakazi Ni hatua gani za haraka za kuchukua ili stahiki zetu ziweze kulipwa na boss wetu...???
 
Scenario ya case kama hii.
...unafanya interview then unaambiwa umefaulu na wanakupa offer letter.
Ndani ya offer letter inaandikwa umechanguliwa kujiunga na kampuni xxx,..ila utakuwa chini ya uangalizi(profanation) kwa miezi mi3 inaweza ongezwa mpaka miezi 6..inaandikwa kipindi cha probation utakuwa unafanyiwa performance review kila week na supervisor wako.

Ndani ya mwezi huo huo (kama week 3 hivi) unashtukia unapewa barua ya kuachishwa kazi.Hakuna siku yoyote umewahi itwa au fanyiwa performancy reviews au kuonywa kwa kosa lolote.
Unajaribu kuwauliza sababu ya wao kukusimamisha kazi-wanasema uko kwenye probation period hivyo mwajiri anaweza kukufukuza wakati wowote akiamua na sheria inamruhusu.
(Baadaye unagundua amempata mfanyakazi mwingine aliyekubali kulipwa mshahara mdogo kuliko mliokubaliana ndio maana kaamua kukufukuza)

Hii imekaaje kwa jicho la sheria za kazi ?!

Hii naza
Mkuu na kesi yangu hapo juu naomba unisaidie sisi wafanyakazi wa Kiribo tumepunguzwa tokea mwezi wa sita kutokana na mkataba wa kampuni yetu na mgodi kuisha ila mpaka wa leo hatujapata stahiki zetu na sababu bosi wa kampuni anadai hajalipwa pesa na Mgodi na pesa zenyewe Ni za mwezi mmoja tu ndo anazodai na kwa maelezo ya Mgodi wanasema wanaidai kampuni Ela nyingi ndo maana wakazishikilia hizo Ela za mwezi mmoja Sasa sisi Kama wafanyakazi Ni hatua gani za haraka za kuchukua ili stahiki zetu ziweze kulipwa na boss wetu...???

Hii kitu muipeleke CMA iliyopokaribu yenu mfungue shauri alafu kwakuwa mnachodai ni haki kabisa muajiri atapewa siku za kukamilisha malipo hayo kama atashindwa kuna amri ya mahakama itakayotumika ili mpate haki yenu
 
Scenario ya case kama hii.
...unafanya interview then unaambiwa umefaulu na wanakupa offer letter.
Ndani ya offer letter inaandikwa umechanguliwa kujiunga na kampuni xxx,..ila utakuwa chini ya uangalizi(profanation) kwa miezi mi3 inaweza ongezwa mpaka miezi 6..inaandikwa kipindi cha probation utakuwa unafanyiwa performance review kila week na supervisor wako.

Ndani ya mwezi huo huo (kama week 3 hivi) unashtukia unapewa barua ya kuachishwa kazi.Hakuna siku yoyote umewahi itwa au fanyiwa performancy reviews au kuonywa kwa kosa lolote.
Unajaribu kuwauliza sababu ya wao kukusimamisha kazi-wanasema uko kwenye probation period hivyo mwajiri anaweza kukufukuza wakati wowote akiamua na sheria inamruhusu.
(Baadaye unagundua amempata mfanyakazi mwingine aliyekubali kulipwa mshahara mdogo kuliko mliokubaliana ndio maana kaamua kukufukuza)

Hii imekaaje kwa jicho la sheria za kazi ?!

Kanununi za ajira na mahusiano kazini mwaka 2007 kifungu cha 10 kikionesha taratibu za kumuachisha kazi mfanyakazi aliyechini ya majaribu taratibu na kanuni zake zinasema kama ifuatavyo

Note: majaribio hayatakiwi kuvuka miezi sita na kipindi cha mwisho kabisa ni mwaka mmoja

inachotakiwa masharti ya majaribio yawekwe wazi mfano ukiajiriwa kama sales respresenative kinachokupima ni kuweza kufikia zile target za mwezi, kutuma report za week na mwezi pia kutafuta wateja wapya kila kazi ina kpi yani key performance indicatators mfano ukiajiriwa kama customer service wale wa call centre kama tigo watakupima kwa AHT yani avarage handling time yani unatumia muda gani kuongea na mteja mpaka unatatua kero yake na pia kutuma report ya huyo mteja lakini izo simu zote huwa zinarekodiwa kwa madhumuni ya ubora ili baadae wajue performance yako hii kazi hufanywa na watu na Quality Analyst sasa tutajuaje kama haufanyi kazi vizuri

inatoka report kila week itaonesha performance yako back to your case maana yake ili takiwa upewe tathmini juu ya ufanyaji wako kazi

Sheria inasema inatakiwa upewe kwa maandishi kwamba ulipewa majukumu haya na kwa kiasi gani umeshindwa kuyatimiza hivyo unafanyiwa assessment pia lazima zitoke area for improvement na upewe muda wa kusahihisha makosa hayo

kifungu kidogo chake cha 7 kinasema kama muajiri anaona bado haufai kukizi vigezo inatakiwa kuwe na majadiliano ikiwezekana ushauri na mafunzo ili kuweza majukumu uliyokabidhiwa

Kifungu kidogo cha 8 kama muajiri kapewa taarifa za kukutiria mashaka pia haitoshi kukuachisha kazi anatakiwa kukita ili ujibu hizo tuhuma

kwa kuhitimisha hiyo ni unfair termination
 
Hii naza


Hii kitu muipeleke CMA iliyopokaribu yenu mfungue shauri alafu kwakuwa mnachodai ni haki kabisa muajiri atapewa siku za kukamilisha malipo hayo kama atashindwa kuna amri ya mahakama itakayotumika ili mpate haki yenu
Mkuu samahani hapo kwenye CMA umeniacha kidogo unaweza kunipa ufafanuzi kidogo niweze kuelewa.....????
 
Mkuu samahani hapo kwenye CMA umeniacha kidogo unaweza kunipa ufafanuzi kidogo niweze kuelewa.....????


iyo tunaita tume ya usuluhishi au mara nyingi wanasemaga mahakama ya kazi yani masuala yote yanayohusu ajira huwa yanapelekwa hapo pia unaweza kwenda ofisi za idara ya kazi za mkoa au wilaya husika napo hutatua mambo kama haya
 
iyo tunaita tume ya usuluhishi au mara nyingi wanasemaga mahakama ya kazi yani masuala yote yanayohusu ajira huwa yanapelekwa hapo pia unaweza kwenda ofisi za idara ya kazi za mkoa au wilaya husika napo hutatua mambo kama haya
Mkuu samahani kwenye ufunguzi wa shauri kwenye hiyo tume ya usuluhishi wanaohitajika kufungua shauri anaweza pia kuwa mtu mmoja na akafanikiwa kwa ajili ya wafanyakazi wengine au mpaka waende wawakilishi wa wafanyakazi..???
 
Hoja hii nitaijibu kwa kufuata Sheria 4 muhimu zinazohusu ajira
1. Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004
2. Kanuni za ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2007
3. Agizo la kima cha chini ya mshahara ya mwaka 2013
4. Sheria ya hifadhi ya jamii iliyofanyiwa marejeo mwaka 2018

Sasa twende kwenye swali husika ( kupunguzwa kazini) au kwa kingereza tunaita retrenchment hii kisheria ipo hivi

Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha 38 mwajiri kama anataka kupunguza wafanyakazi anatakiwa kufata taratibu maana yake zoezi la kupunguza wafanyakazi lina taratibu zake ikiwa 1. kutoa sababu 2. kutoa notes 3. kusema atatumia mbinu gani kupunguza 4. je amefanya juhudi gani kuondoa hali hiyo 5. lazima atatakiwa kuwazingatia tena pale hali ikija kukaa sawa

Sasa nini stahiki za mfanyakazi pale anapoondelewa kazini huwa kama zifuatazo hii ni kwa mjibu wa Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha 44

1. Utatakiwa kulipwa siku ulizofanya kazi kwa mwezi husika kabla ya ilo zoezi la kupunguzwa
2. Notes ya siku 28 hii inategemea taarifa imetolewaje na muda uliotolewa taarifa hiyo
3. likizo kwa mujibu wako unasema umetumikia miezi 10 maana yake utapigiwa hesabu hivi 2.3*10=23 leave day itazidishwa kwa mshahara wako wa siku ndipo utajua unastahili bei gani
4. kiinua mgongo hapa kwako hutopata kwanini? Sheria ya ajira na mahusiano kazini ya mwaka 2004 kifungu cha 42 kinasema angalau uwe umetumikia mwaka mmoja kwenye hiyo kampuni wewe umetumikia miezi 10 hutopata labda kwa busara tu za muajiri wako na ikitokea umepata itakuwa hivi = mshahara wa siku mara 7 kwa kuzidisha miaka uliyotumikia mfano mshahara wa siku ni 10,000*7*1 maana yake ni 70,000 kiinua mgongo
5. Cheti cha utumishi

Note: Angalizo jumla ya malipo hayo yote kwa mujibu wa sheria ya kodi ya mwaka 2015 kile kipengele cha payee lazima yatakatwa kodi ila sahivi itaanzia 271,000 na viwango vimebadilika kidogo tofauti na zamani


Agizo la kima cha chini ya mshahara ya mwaka 2013 nimweweka hii ukute katika sekta uliyopo ulikuwa unalipwa chini ya kiwango cha mshahara kilichoolekezwa na serikali hivyo unaweza kudai mapunjo yako kwa mujibu wa kanuni za ajira za mwaka 2007

Sheria ya hifadhi ya jamii iliyofanyiwa marejeo mwaka 2018 hii itakusaidia baada ya mchakato wote utachukua iyo barua kwenda kufungua madai yako ila sasa kama wewe ni una taaluma utapewa asilimia 33% ya madai yako au ngojea ufike miaka 55

kama utakuwa na kitu hujaelewa utauliza tena au wanajamvi watakosoa pale nikipotereza ili upate maarifa zaidi
Unaandika yote hayo unalipwa?

Acha mchezo na kazi za watu wewe!

Watu wanakaa darasani miaka sita halafu wewe unaandika andika tu mitandaoni!
 
Unaandika yote hayo unalipwa?

Acha mchezo na kazi za watu wewe!

Watu wanakaa darasani miaka sita halafu wewe unaandika andika tu mitandaoni!
Mtu anajitolea halipwi hata senti wewe unaanza majungu watu weusi mna roho za ajabu sana. Wewe hajakuomba msaada wako unaumia nini?

Akili yako sikutofautishi na wale wazee wa kijijini ambao wanapelekewa maendeleo ya umeme na maji halafu wanapinga na kuandamana.

Elimika
 
Mtu anajitolea halipwi hata senti wewe unaanza majungu watu weusi mna roho za ajabu sana.
Wewe hajakuomba msaada wako unaumia nini?
Akili yako sikutofautishi na wale wazee wa kijijini ambao wanapelekewa maendeleo ya umeme na maji halafu wanapinga na kuandamana.
Elimika
Hatukwenda shule ili tuje kuandika andika hovyo whatsapp.

Kama una shida fika kwa wakili ULIPE NA ADA!
 
Hatukwenda shule ili tuje kuandika andika hovyo whatsapp.

Kama una shida fika kwa wakili ULIPE NA ADA!
Kwani unafikiri shule ni ya sheria pekee.
Wewe utakuwa mnyakyusa mshamba sana.
Pathetic !
 
Jamaa ni mshamba sana.
Inawezekana yeye ndio msomi/mwenye degree pekee kwenye ukoo wake ndio maana anafikiri kusoma sheria ndio kamaliza dunia.

Ndemafuuu fijho ujhu !
Lengo la elimu sio kufanya uchuuzi tu na kupata senti za kula.
Lengo lingine ni kusaidia jamii.
Wewe kama una njaa nenda kasimame nje ya mahakama au Nida uwagongee watu mihuri ukusanye elfu tano tano
 
Back
Top Bottom