Mkuu samahani kwenye ufunguzi wa shauri kwenye hiyo tume ya usuluhishi wanaohitajika kufungua shauri anaweza pia kuwa mtu mmoja na akafanikiwa kwa ajili ya wafanyakazi wengine au mpaka waende wawakilishi wa wafanyakazi..???
Anaweza kuwa mmoja akawakilisha madai ya watu wote cha msingi wataanisha kila jina la madai yake na kupata jumla ya madai yote
Mungu akubariki sana kwa moyo wako mkuu.
Much respect to you brother!Ameen haya mambo ni kusaidiana tu ili wengine wasikwame nimeshangaa jamaa analalamikia eti nalipwa mpaka naandika sana sasa kumsaidia mtu napo unatakiwa ulipwe maana haya mambo mimi ndo nafanyia kazi sasa kumsaidia mtu ujuzi napo ulipwe sio uungwana kabisa maana hata hizo sheria za kazi zenyewe zipo za kiswahili maana yake mtu akizisoma vizuri anaelewa kila kitu
Basi nenda kwa magufuli mwenye shule ya korosho akakusaidie!Kwani unafikiri shule ni ya sheria pekee
Pumbavu kweli wewe!!Lengo la elimu sio kufanya uchuuzi
Okay Asante mkuu,,,Kuna gharama zozote hapo za ufunguzi wa shauri...????Anaweza kuwa mmoja akawakilisha madai ya watu wote cha msingi wataanisha kila jina la madai yake na kupata jumla ya madai yote
Stupid you !Basi nenda kwa magufuli mwenye shule ya korosho akakusaidie!
Acha njaa zako wewe.Pumbavu kweli wewe!!
Hii ni taaluma sio biashara ya mafungu ya nyanya!
Una tatizo, fika ofisi za mawakili wakusaidie on professional basis!
Ukiona ni gharama sana basi endelea kusoma ushauri wa vishoka mitandaoni! Wakupotoshe mpaka akili ikukae sawa.
Wacha kubwatuka. Fika ofisi za mawakili ULIPE NA ADA.Acha njaa zako wewe
Basi fanya hivi.Wacha kubwatuka. Fika ofisi za mawakili ULIPE NA ADA.
Kwanza una shingapi wewe? Unalia lia mitandaoni unafikiri tunafanya kazi kwa kuchati hovyo hovyo!
Ebooo!
Okay Asante mkuu,,,Kuna gharama zozote hapo za ufunguzi wa shauri...????
Ona vishoka wanavyokulisha matutusa! mbu wa denguekiufupi hakuna gharama zozote za kufungua shauri
Ona vishoka wanavyokulisha matutusa!
Hahahahaaaaaa
Wewe huna uwezo wa kunisababishia umasikini!! Huwezi na huna hiyo jeuri!Basi fanya hivi.
Nenda katushitaki kwamba tumekusababishia umaskini na njaa kwa kuanzisha hili jukwaa.
Wewe huna uwezo wa kunisababishia umasikini!! Huwezi na huna hiyo jeuri!
Acha kujifanya una umuhimu kwangu! Huo umuhimu hauna wewe!
Hahahaa........ eti naomba msaada!!
Whatsapp???? Una akili timamu kweli??
Wacha kubwatuka. Fika ofisi za mawakili ULIPE NA ADA.
Kwanza una shingapi wewe? Unalia lia mitandaoni unafikiri tunafanya kazi kwa kuchati hovyo hovyo!
Ebooo!
Unatutia aibu Wanyakyusa kwa njaa zako.Wewe huna uwezo wa kunisababishia umasikini!! Huwezi na huna hiyo jeuri!
Acha kujifanya una umuhimu kwangu! Huo umuhimu hauna wewe!
Hahahaa........ eti naomba msaada!!
Whatsapp???? Una akili timamu kweli??
Habar yako mkuu.Ameen haya mambo ni kusaidiana tu ili wengine wasikwame nimeshangaa jamaa analalamikia eti nalipwa mpaka naandika sana sasa kumsaidia mtu napo unatakiwa ulipwe maana haya mambo mimi ndo nafanyia kazi sasa kumsaidia mtu ujuzi napo ulipwe sio uungwana kabisa maana hata hizo sheria za kazi zenyewe zipo za kiswahili maana yake mtu akizisoma vizuri anaelewa kila kitu