Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

Nimepewa kesi ya wizi wa kuaminiwa na boss wangu hii ni baada ya migogoro ya kikazi na baada ya mm kuwa nafanya kazi Kwa muda mrefu bila mkataba na nikaomba kuacha kazi

pesa ninazo tuhumiwa nazo sikupewa kama ilivyoelezwa na hakuna sehem au ushahidi wowote kwamba pesa hizo nimezipokea na sikuwa nafaham lolote , siku nimefikishwa police maelezo yaliandikwa na police Kwa matwaka yake yeye Mimi nililazimishwa kuweka sahihi na sikuwa na namna kama mjuavo police wetu, .. nilipewa na nasubiri kama kuna kwenda mahakamani ama vp,

Naombeni kama kuna msaada hapa..
Tajiri anatumia pesa kuninyanyasa na police kwani nafaham mambo mengi ya office na ananilazimisha kufanya kazi , kikubwa nilikataa kuendelea na kazi
sijui wafanyakazi huwa tunakwama wapi? kwa mujibu wa sheria za kazi za Tanzania mfanyakazi unaweza kufanya kazi na mwajiri pasipo kuwa na mkataba kama utakuwa unafanya kazi ndani ya Tanzania(siyo nje ya Tanzania),na inapotokea kesi kati yako na mwajiri sheria inasimama na kumwamini mwajiriwa katika masuala yote yanayohusiana na mkataba au ajira na kumkandamiza mwajiri,kwani ndiye mwenye jukumu la kisheria la kutoa mikataba au kutunza taarifa muhimu za kazi za wafanyakazi wake,kwa mujibu wa kifungu namba 15(1) na (6) Ya Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini sura ya 366 iliyofanyiwa mapitio mwaka 2019.
 
Habari, niko kwenye probation period mwezi wa pili huu, nataka niachane nao kabla sijakamilisha miezi mitatu, yani by the end of next week tuachane, ni utaratibu gani natakiwa kufata?
 
Habari, niko kwenye probation period mwezi wa pili huu, nataka niachane nao kabla sijakamilisha miezi mitatu, yani by the end of next week tuachane, ni utaratibu gani natakiwa kufata?
Andika barua ya notice siku 30 kabla ya siku unayopanga kuacha kazi. Hii. Itakuhakikishia kupata mshahara wako wa mwezi wa 3.

Vinginevyo fanya kazi mpaka siku ya 90 halafu mshahara usichukue na siku hiyo ya mwisho toa notisi ya masaa 24 kuwa wewe si mfanyakazi wao tena. Ukichukua mshahara litakuwa ni kosa la wizi wa kuaminiwa, yaani kama utapeli
 
Andika barua ya notice siku 30 kabla ya siku unayopanga kuacha kazi. Hii. Itakuhakikishia kupata mshahara wako wa mwezi wa 3.

Vinginevyo fanya kazi mpaka siku ya 90 halafu mshahara usichukue na siku hiyo ya mwisho toa notisi ya masaa 24 kuwa wewe si mfanyakazi wao tena. Ukichukua mshahara litakuwa ni kosa la wizi wa kuaminiwa, yaani kama utapeli
Mimi nataka niache mwisho wa mwezi huu.
Mwezi ujao sihitaji kufanya kazi nao wala sihitaji mshahara wao.
 
Andika barua ya notice siku 30 kabla ya siku unayopanga kuacha kazi. Hii. Itakuhakikishia kupata mshahara wako wa mwezi wa 3.

Vinginevyo fanya kazi mpaka siku ya 90 halafu mshahara usichukue na siku hiyo ya mwisho toa notisi ya masaa 24 kuwa wewe si mfanyakazi wao tena. Ukichukua mshahara litakuwa ni kosa la wizi wa kuaminiwa, yaani kama utapeli
Sihitaji kufanya kazi mwezi wa tatu.
Miezi hii miwili imetosha na naona things are not going as we agreed.
 
Sihitaji kufanya kazi mwezi wa tatu.
Miezi hii miwili imetosha na naona things are not going as we agreed.
Umeuliza swali nimekujibu bado unabishana. Kama hutaki kufika mwezi wa 3 basi mwishoni mwa mwezi wa 2 acha kazi na usichukue mshahara
 
Umeuliza swali nimekujibu bado unabishana. Kama hutaki kufika mwezi wa 3 basi mwishoni mwa mwezi wa 2 acha kazi na usichukue mshahara
Nimebishana wapi?
Probation period ni miezi mitatu unaniambia nifanye kazi hadi mwezi wa tatu uishe alafu nisichukue mshahara? what does it mean miezi mitatu si ndiyo probation period inaisha naweza kusign mkataba au nisi-sign, sasa kwanini nisichukue mshahara na mkataba wa probation period unakuwa umeisha?
Mimi nimeomba utaratibu wa kufata wa kuacha kazi by the end of next week.

Kaka katika maelezo yako ya awali hamna mahali umejibu juu ya jambo nililoomba la kuacha kazi by the end of next week.
 
Nimebishana wapi?
Probation period ni miezi mitatu unaniambia nifanye kazi hadi mwezi wa tatu uishe alafu nisichukue mshahara? what does it mean miezi mitatu si ndiyo probation period inaisha naweza kusign mkataba au nisi-sign, sasa kwanini nisichukue mshahara na mkataba wa probation period unakuwa umeisha?
Mimi nimeomba utaratibu wa kufata wa kuacha kazi by the end of next week.

Kaka katika maelezo yako ya awali hamna mahali umejibu juu ya jambo nililoomba la kuacha kazi by the end of next week.
Sheria huzijui, unaelekezwa halafu unabisha. Sina muda wa kuendelea na kichwa maji
 
Habari, niko kwenye probation period mwezi wa pili huu, nataka niachane nao kabla sijakamilisha miezi mitatu, yani by the end of next week tuachane, ni utaratibu gani natakiwa kufata?
usifanye mambo kuwa magumu Boss,cha muhimu soma mkataba wako wa kazi unasemaje kuhusu resignation kabla ya kipindi cha majaribio kuisha,pili miezi miwili inakamilika tarehe ngapi? kama bado utakuwa haujatimiza miezi miwili andika barua ya nia yako ya kuacha kazi angalau ya siku 7 ukionyesha tarehe ambayo hautakuwa tena kazini,ila kama utakuwa umetimiza miezi miwili na makataba wako haujazungumzia hilo andika barua ya siku zisizopungua 14,ila kama unataka kuchukua maamuzi magumu(UMEPATA KAZI SEHEMU INGINE) unaweza kujitosa kwa kuandika barua chini ya siku zilizotajwa na ukaenda kufanya kazi sehemu ingine maana waajiri wengi hawana muda wa kufungua kesia u kusumbuana na mwajiriwa katika mambo kama hayo. KABLA HUJAFANYA HIVI JUA KWANZA AINA YA MWAJIRI WAKO. nakutakia kila la kheri
 
WANA JAMII FORUM NAOMBA KUULIZA

endapo mkataba wa kazi umeisha,sihitaji kuongeza au kuendelea,,tarehe ya mwisho wa mkataba imepita na mwajiri wangu hajaniita tuzungumze,,je hapo natakiwa kuchukua hatua gani?
Nimwandike barua ya kutoongeza mkataba au nisubiri aniite ili nisitishe kwa mazungumzo kabsa
 
WANA JAMII FORUM NAOMBA KUULIZA

endapo mkataba wa kazi umeisha,sihitaji kuongeza au kuendelea,,tarehe ya mwisho wa mkataba imepita na mwajiri wangu hajaniita tuzungumze,,je hapo natakiwa kuchukua hatua gani?
Nimwandike barua ya kutoongeza mkataba au nisubiri aniite ili nisitishe kwa mazungumzo kabsa
  1. ulipaswa kuandika barua yako ya nia ya kutokuhiasha mkataba(notice for non-renewal of contract) kwenda kwa mwajiri wako angalau basi hata siku7 ili itakapofika tarehe ya ukomo wa mkataba awe amekuandalia stahiki zako.
  2. sijui mkataba wako kama tayari umeshakwisha muda wake au la? na kama umeisha ni kwa muda gani sasa? kama muda wake umeshakwisha na ni muda sasa na umekuwa ukipangiwa kazi na kupokea mshahara tayari hapo tunasema Contract Renewed by Default, inawezekana pia kuna vitu unahitaji kama ongezeko la maslahi ambapo mwajiri anajua kabisa huwezi kuendelea kufanya kazi na yeye pasipo marekebisho ya mshahara ndio maana hajakuita wala kukupa mkataba akijua kabisa kitedo cha wewe kuendelea kufanya kazi wakati mkataba umeisha contract yako its renewed by default with the same terms & conditions of an old/expired contract. ADVANTAGE kwako ni kuwa kama atashindwa kukupa mkataba basi moja kwa moja mkataba wako utabadilika kutoka katika mkataba wa muda maalumu(Fixed term contract)kwenda katika mkataba wa kudumu(permanent contract).
  3. wewe unataka kuendelea a kazi au unataka kuondoka? maana nshindwa kukushauri kama uandike barua ya namna gani?
 
Msaada
Nimepewa one moths notification na mwajiri kwamba hataweza kunipa mkataba mwingine.Barua inasema atanipa staiki zangu kama lakini kama nitastahili!.Nimeenda nssf nikakuta Kuna michango ya miaka 2 hajapeleka.Pia nilifanya kazi mwaka na miezi 9 kabla ya kupewa mkataba.Nifanyeje kupatewa Madai yangu.
 
WANA JAMII FORUM NAOMBA KUULIZA

endapo mkataba wa kazi umeisha,sihitaji kuongeza au kuendelea,,tarehe ya mwisho wa mkataba imepita na mwajiri wangu hajaniita tuzungumze,,je hapo natakiwa kuchukua hatua gani?
Nimwandike barua ya kutoongeza mkataba au nisubiri aniite ili nisitishe kwa mazungumzo kabsa
Kama mkataba umeisha mnatakiwa muingie mkataba mwingine au kama huna interest ya kuendelea muandikie barua huna mpango wa extention
 
Msaada
Nimepewa one moths notification na mwajiri kwamba hataweza kunipa mkataba mwingine.Barua inasema atanipa staiki zangu kama lakini kama nitastahili!.Nimeenda nssf nikakuta Kuna michango ya miaka 2 hajapeleka.Pia nilifanya kazi mwaka na miezi 9 kabla ya kupewa mkataba.Nifanyeje kupatewa Madai yangu.
Upo mkoa gani.. Nssf watafuatilia michango yako yote hakuna kilichopotea maana wakati unaenda kudai madai yako fao la kukosa ajira watataka barua yako ya kuacha kazi hapo utawaonyesha mkataba wako tangu umeanza kazi na umefanya kazi kwa muda gani na mwajiri wako watamdai michango yako yote yenye magepu
 
Back
Top Bottom