Tanzania leads Kenya in the list of dollar millionaires

Jombaa, sijacomment wala kujadili kwenye mada yeyote kuhusu utajiri hapa Jf mwaka huu. Ungedadavua zaidi ndio nielewe unanishutumu kuhusu nini haswa.

Haha! Labda kakutag kwa kuwa wewe ni Mkenya na mmoja wa wanaoongoza kuchangia katika jukwaa hili. Msamehe, mkuu...
 

Kama una njaa kwako ni wewe, usiwazuie wengine kufurahi. Fanya kazi kwa bidii na uache kulalamika. Wenye jukwaa lao (Tz VS Ke) wanajuana na wameshazoeana, sijui wewe inakuuma nini!..
 
Kama una njaa kwako ni wewe, usiwazuie wengine kufurahi. Fanya kazi kwa bidii na uache kulalamika. Wenye jukwaa lao (Tz VS Ke) wanajuana na wameshazoeana, sijui wewe inakuuma nini!..

Sawa mkubwa, lakini hakuna popote nimesema kuna kitu kinaniuma, au siku hizi kuna masharti kutoa mawazo binafsi?
 
Halafu eti tunaambiwa sijui vyuma vimefanyaje??
 
Halafu eti tunaambiwa sijui vyuma vimefanyaje??
Kwahiyo umehitimisha kabisa kuwa hali mtaani kiuchumi si mbaya kisa tuna mamilionea 114?Duuuh!
Ukifuatilia unaweza kukuta wengine humo wamepunguza wafanyakazi kutokana na hali kuwa mbaya!
 
Matajiri ni wale wale tu hakuna matajiri wapya. Tunataka middle class life kwa watanzania wote mamilione wanatuhusu nini watanzania wenye kipato cha chini?

kwan unadhan wamefika huo utajiri kwa kua middle class?
 
Wewe muanzisha uzi upo namba ngapi kati yao? We
Sijui atakuwa ni wa ngapi maana toka ajiunge na lumumba buku Saba kuanzia tatehe 12 February 2014 mpaka Jana saa 3.28 ametimiza miaka 14 na siku 17 ya kuishi kwenye kitundu pale lumumba alifanikiwa kuposti mapambio 14,326,000 kwa malipo ya buku Saba kwa kila pambio anaweza kuwa ameingiza
tshs 100,326,000/= tu
 

acheni vijembe! mtu ametoa tu taarifa kama taarifa zingine, izo tabia zingine ni kujidhalilisha sasa: ata mm sio tajiri lakini hakunifanyi nichukie mtu akifika level flan ya maisha. huo ni uchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…