M'bongo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 265
- 302
Mawazo gani binafsi ya kuanza kuponda ya wengine? Shame on you.Sawa mkubwa, lakini hakuna popote nimesema kuna kitu kinaniuma, au siku hizi kuna masharti kutoa mawazo binafsi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo gani binafsi ya kuanza kuponda ya wengine? Shame on you.Sawa mkubwa, lakini hakuna popote nimesema kuna kitu kinaniuma, au siku hizi kuna masharti kutoa mawazo binafsi?
Kwanini unalazimishia vitu ambavyo sivyo?Rudia kusoma tena nilichoandika halafu angalia na upupu ulionijibu!
Mawazo gani binafsi ya kuanza kuponda ya wengine? Shame on you.
Rubbish!Tatizo la uelewa wako wa nilichokiandika sihusiki nalo.
Rubbish!
Achana na mimi we fala!You are right Sir!
Poa poa, Mkuu. Isiwe kesi...Sawa mkubwa, lakini hakuna popote nimesema kuna kitu kinaniuma, au siku hizi kuna masharti kutoa mawazo binafsi?
Achana na mimi we fala!
Mkuu Kaka Mkubwa Wakudadavua, hizi ni habari njema sana na za kutia moyo. Huu utafiti wa Knights and Frank unatia moyo maana utafiti wa Forbes unakatisha tamaa kabisaNdugu zangu,
Hizi ni takwimu mpya Tanzania inatajwa kuwa na mamilionea wengi wa Dola kuzidi Kenya.View attachment 1377989
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkongwe upo? Kitambo sanaKama una njaa kwako ni wewe, usiwazuie wengine kufurahi. Fanya kazi kwa bidii na uache kulalamika. Wenye jukwaa lao (Tz VS Ke) wanajuana na wameshazoeana, sijui wewe inakuuma nini!..
Nipo, mkuu, japo nimekuwa very busy kiaina...
Naona unatafuta bwana.You are right Sir!
Mkuu Kaka Mkubwa Wakudadavua, hizi ni habari njema sana na za kutia moyo. Tena masikini mimi najuta, kama nisinge uliza swali fulani mahali ningekuwepo kwenye hiyo list, maana enzi hizo, tenda ya maonyesho tuu ya Saba Saba, I was rolling TZS, 300m, tenda ya Nane Nane TZS. 200m, Tenda ya Tamisemi, TZS 500m, Tenda ya TIC, TZS. 400m !.
Majuto ni mjukuu.
P
Naona unatafuta bwana.
Tena wakati huo ofisi yangu ilikuwa mjini kati nimepanga jengo zima la NHC, (National Housing), kodi tuu ya pango tuu ni zaidi ya mshahara wa DC!. Ila alipoingia tuu jamaa, ndani ya mwaka mmoja hali ilikuwa hivi
Tena wakati huo ofisi yangu ilikuwa mjini kati nimepanga jengo zima la national housing, kodi ya pango tuu ni zaidi ya mshahara wa DC!. Ila alipoingia tuu jamaa, ndani ya mwaka mmoja hali ilikuwa hivi
Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer!
P
Dah!.. yaani ulipoteza ghafla Billion 1.4 ? kweli huchanga vizuri karata zako.Mkuu Kaka Mkubwa Wakudadavua, hizi ni habari njema sana na za kutia moyo. Huu utafiti wa Knights and Frank unatia moyo maana utafiti wa Forbes unakatisha tamaa kabisa
Umasikini wa Afrika, Je tumelogwa?. Licha ya Kuongoza kwa Utajiri, Tuna Bilionea 1 tu kwenye Top Hundred Mabilionea wa Dunia. Ni Aliko Dangote Pekee!
Hivyo angalau kumbe Tanzania tuna mamilionea wengi kuliko Kenya!, tena masikini mimi najuta, kama nisinge uliza swali fulani mahali ningekuwepo kwenye hiyo list, maana enzi hizo, tenda ya maonyesho tuu ya Saba Saba, I was rolling TZS, 300m, tenda ya Nane Nane TZS. 200m, Tenda ya Tamisemi, TZS 500m, Tenda ya TIC, TZS. 400m !.
Majuto ni mjukuu.
P