!
!
Ni Kweli Kabisa. Selikali Iko Juu Ya Mihimili Mingine Yote. Selikali Inaweza Kuwepo Bila Uwepo Wa Bunge Au Mahakama. Lakini Bunge Au Mahakama Haviwezi Kuwepo Bila Selikali.
Mfano Selikali Ikiamua Kukuacha Isikukamate Au Isikupeleke Jela Baada Ya Mahakama Kukutia Hatiani What Can Mahakama Do? Au Bunge Likitoa Mapendekezo Selikali Ikayapiga Chini What Can Bunge Do?
Kama ni hivyo basi jeshi nalo liko juu ya serikali maana laweza kumuondoa raisi na hata kumkata masikio kama walivyo fanya kwa Samwel Doe.
Mihimili ni mitatu na kila mmoja una nguvu yake kulingana na katiba na sheria, ndio maana Bunge laweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na kumuondoa Rais madarakani na hayo yamefanyika sana kwenye nchi zilizo starabika.
Mahakama nayo mbona ina nguvu za kuzuia utekelezaji wa maamuzi ya serikali.
Nimetoa mfano huo kwa sababu jamaa kachukulia maamuzi ya kibabe ya serikali kama ndio sheria yenyewe.Mkuu tunazungumzia katiba ujue,, au hilo la jshi lipo kwneye katiba ipi?
Kwahiyo unapenda serikali ya bunduki sio ya kura?!
!
Ni Kweli Kabisa. Selikali Iko Juu Ya Mihimili Mingine Yote. Selikali Inaweza Kuwepo Bila Uwepo Wa Bunge Au Mahakama. Lakini Bunge Au Mahakama Haviwezi Kuwepo Bila Selikali.
Mfano Selikali Ikiamua Kukuacha Isikukamate Au Isikupeleke Jela Baada Ya Mahakama Kukutia Hatiani What Can Mahakama Do? Au Bunge Likitoa Mapendekezo Selikali Ikayapiga Chini What Can Bunge Do?
Soma katiba ya nchi vizuri ili uelewe,,mamlaka ya bunge kwa rais na mamlaka ya rais kwa bunge,, rais hawezi kuvunja bunge alafu akaendelea kuwa rais wa nchi.Imefika wakati Wanasheria muache kudanganya watu kwamba eti TZ Mihimili yote inategemeana na hakuna ulio na nguvu klk mwingine kama ni hivyo iweje Raisi wa JMTZ awe na uwezo wa kumtoa mtu Jela? Tena siajabu hata ana uwezo pia wa kuamua raia xyz aende Jela au iweje aweze kulivunja Bunge muda wowote amuapo na yeye kubakia kuwa Raisi wa nchi?
Hakuna kitu kama hicho, Raisi wa Tanzania Kikatiba yuko JUU ya Mihimili yote na vile vile JUU ya Sheria za JMTZ, acheni kudanganya watu na ndo maana tls na chadema hawampendi Raisi wetu lkn wako powerless, zaidi ya kukimbilia kwa Muzungu hakuna kingine mnaweza fanya ndani ya JMTZ, ...
Musiba amepata wadauWe jamaa mbona mada zako ni za kijinga sna.
Ibara gani hiyo mkuu.Katiba ya JMTZ inasema Raisi wa JMTZ ni Raisi mpaka pale Raisi mpya atakapoapishwa!
Mkuu umeeleza vizuri sana. Lakini mleta uzi yeye ameangalia hali iliyoko sasa, jinsi Jiwe anavyoingilia mihimili mingine kama apendavyo. Hajui kwamba kinachoendelea sasa ni udikteta uchwara ambao usipodhibitiwa utakuwa kamili soon.Kama ni hivyo basi jeshi nalo liko juu ya serikali maana laweza kumuondoa raisi na hata kumkata masikio kama walivyo fanya kwa Samwel Doe.
Mihimili ni mitatu na kila mmoja una nguvu yake kulingana na katiba na sheria, ndio maana Bunge laweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na kumuondoa Rais madarakani na hayo yamefanyika sana kwenye nchi zilizo starabika.
Mahakama nayo mbona ina nguvu za kuzuia utekelezaji wa maamuzi ya serikali.
Kwahiyo unapenda serikali ya bunduki sio ya kura?
Sema raisi na sio serekali, maana hata Raisi inaonekana yupo juu ya serekali.
We jamaa mbona mada zako ni za kijinga sna.
Kwani raisi anapata wapi mawaziri?!
!
Sijasema Hivyo Mkuu. Nimesema Ni Kweli Selikali Ni Mhimili Kamilifu Kuliko Mingine. Kwamba Uwepo Wake Hautegemei Mihimili Mingine
Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania linayomamlaka ya kumuondoa rais madarakani na uchaguzi mwingine ukaitishwa.Sijui ibara gani lkn ndivyo Katiba inavyosema, nchi haiwezi kukaa bila ya Raisi na uraisi unakoma pale Raisi mpya anapoapishwa.
Mkuu ni kama akili zako haziko sawa, vipi kuna dawa uliandikiwa na hutumii?Mbona wewe ni mpuuzi sana ? Hivi mtu kama wewe umewezaje kutumumia smart phone? Kumbafu kabisa.
Bunge linaweza kumtoa Rais madarakani kwa kumpigia kura ya kutokuwa na imani nae.Mihimili ya dola iko mitatu kwa maana ya mamlaka.
Rais ni sehemu ya Bunge, kwa maana Bunge limegawanyika katika sehemu mbili:
1. Raisi
2. Bunge
Serikali hupeleka MSWAADA bungeni, unajadiliwa, unapitishwa, kisha kupelekwa kwa raisi kusainiwa ili uwe sheria. Raisi akigoma basi....
Raisi ana uwezo wa kuvunja Bunge. Bunge kiutendaji, hawana uwezo wa kumtoa Raisi madarakani.
Mahakama, kwa nadharia, ni mhimili. Kiutendaji, iko kwenye wizara ya katiba na sheria, hivyo unaweza kuona, chain of command kutoka Ofisi kuu inavyoathiri moja kwa moja utendaji wa huu mhimili mwingine.
Mkuu wa nchi ndio mkuu wa mihimili yote ya Dola.
Kwani raisi anapata wapi mawaziri?
Aliyekuita semi-illiterate hajakosea!