Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kimeumana ndani ya CCM.
Umeona juzi, Uhuru wametunga story
Umeona juzi, Uhuru wametunga story
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache wenye akili.wajadiliUlichoandika ni ujinga mtupu. Sema ndo hivyo unalinda kibarua chako kisiingie mchanga.
Haya madudumizi tuyapuuze. Tujadiliane na wenye akili.Inasikitisha sana maana madudumizi nayo yana midomo ya kusema.
Hoja za aina hii zilitakiwa zianze wakati wa hukumu ya Sabaya afu ndo wangemalizia katika hii hukumu ya Mbowe. Ila isiwe ile ya kunya anye kuku afu kwa bata ionekane kaharisha.Mkuu, hivi hizo hoja ni ujinga mtupu!!?? Hata kama kila mtu ana haki ya maoni lakini kwa hoja hizo ni bora ungepita kimya kuliko kusema ujinga mtupu...
Hamatan
You are entitled to your opinions.Hoja za aina hii zilitakiwa zianze wakati wa hukumu ya Sabaya afu ndo wangemalizia katika hii hukumu ya Mbowe. Ila isiwe ile ya kunya anye kuku afu kwa bata ionekane kaharisha.
Sabaya ni shetani hata shetani anajua Sabaya ni mwanae wakumzaa.Hoja za aina hii zilitakiwa zianze wakati wa hukumu ya Sabaya afu ndo wangemalizia katika hii hukumu ya Mbowe. Ila isiwe ile ya kunya anye kuku afu kwa bata ionekane kaharisha.
"Moyo wa mtu msitu" acha nimuamini Mungu wangu, wazazi wangu na mimi mwenyewe nafsi yangu... Full stop.Sabaya ni shetani hata shetani anajua Sabaya ni mwanae wakumzaa.
Kenge kweli, kumbe unavyomuita Mbowe gaidi unakuwa msukule wa nani? Sabaya!"Moyo wa mtu msitu" acha nimuamini Mungu wangu, wazazi wangu na mimi mwenyewe nafsi yangu... Full stop.
Sabaya mwenyewe alikiri kutenda makosa aliyoshtakiwa nayo akijitetea kwamba alitumwa.Sasa mtu aliyekiri kutenda makosa unaanzaje kumtetea?Hoja za aina hii zilitakiwa zianze wakati wa hukumu ya Sabaya afu ndo wangemalizia katika hii hukumu ya Mbowe. Ila isiwe ile ya kunya anye kuku afu kwa bata ionekane kaharisha.
Ameandika na kujenga hoja zake kwa weledi mkubwa sanaUlichoandika ni ujinga mtupu. Sema ndo hivyo unalinda kibarua chako kisiingie mchanga.
Sijawahi ona kichwa box tangu niingie jf leo nimeshuhudia kweupe kichwa chenyew e ndio hichiUlichoandika ni ujinga mtupu. Sema ndo hivyo unalinda kibarua chako kisiingie mchanga.
Hata hukumu ya Sabaya, imetolewa kwa maagizo, ndiyo TiSS maana akapewa nafasi ya kuhukumu. Kutokana na maelezo ya wengi, na kauli yake mwenyewe, Sabaya ni mhalifu, lakini shauri lake lilistahili kupita kwenye mfumo huru wa mahakama, si kama alivyotendewa.Hoja za aina hii zilitakiwa zianze wakati wa hukumu ya Sabaya afu ndo wangemalizia katika hii hukumu ya Mbowe. Ila isiwe ile ya kunya anye kuku afu kwa bata ionekane kaharisha.
Acha ungese wee shoga au unataka niweke picha zako zaidi ya hii ambazo zinaonesha dhahiri ukiwa umepakatwa? Ni wapi nilipoandika mbowe gaidi? Au lile tobo la uchafu linawasha pimbi wee. Siku nyingine uwe unasoma vizur kabla ya kujibu.Kenge kweli, kumbe unavyomuita Mbowe gaidi unakuwa msukule wa nani? Sabaya!
Ni aibu kubwa sn kwa mahakamaUkweli wa kusikitisha, ni kweli yalishafanyika mengi mabaya ila lile la jana ndio limepigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la haki nchini.
Sitaki kuamini mateso yote waliyopata watuhumiwa, maumivu, na makovu waliyosababishiwa na watesi wao, ukiukwaji wa sheria wa makusudi.
Pamoja na yote bado jaji Siyani akaona vyote ni ujinga na kuipotezea mahakama muda wake kama asante yake kwa cheo alichopewa katikati ya kesi.
Hili linaonesha sasa kama taifa tunahitaji kuamka kwa pamoja, tusitegeane na kunyoosha vidole kwa taasisi moja kama vile hiyo taasisi pekee ndio ina majibu ya kudumu ya shida zetu, na kama tukizidi kuchelewa, tujiandae kwa maumivu makubwa yatakayokuja siku za mbeleni miongoni mwetu.
Ulichoandika ni ujinga mtupu. Sema ndo hivyo unalinda kibarua chako kisiingie mchanga.