Unazeeka vibaya. Pole sana ulikoangukia sisi ndio tumeamkiaWengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.
Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.
Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.
Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.
Tujadiliane.
Ashki majunun๐๐๐Dini pekee yenye ubora kwa wanaadam duniani ni Uislam. Kumbuka hilo.
Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Hawa akina Sinwar wanaohubiri sharia si ndo hawa hawa ambao wanatumia misaada ya watu maskini kujitajirisha?Hebu nambie Ismail Haniyeh hakuwa mfanyabiashara,alipataje ubilionea.Yahaya Sinwar vilevile hakuwa na kampuni kubwa,why mke wake ana mpochi wa mamilioni ya Kitanzania?Fedha wanazitoa wapi?Bakwata wanapitia hapa JF, wataiona hoja.
Wewe unapenda ufisadi?
Majimbo yanayofuata sharia kule Nigeria ndo yanaongoza kwa ufisadi na umaskini.Nibishie nikupe dataMatatizo uliyonayo unayammaliza vipi? Au huyajuwi?
Ubora wa uislam unaendana na matendo ya waislam.Huko china uislam unaonekana kama u zombie fulani hivi.Dini pekee yenye ubora kwa wanaadam duniani ni Uislam. Kumbuka hilo.
Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Allah sio MunguKama SAllah anawatumwa basi mimi ni wa kwanza kumtumikia. Niitwe vyovyote tu, hakuna shida.
Kuliko kuitwa kondoo.
Ni kweli kabisaSaudi Arabia na nchi kadhaa za kiarabu wameshaachana na sheria za quran maana ni ukatili na unyanyasaji.
Uislam China upo miaka mingi sana. Sishangai mti wenye matrunda kupopolewa.Ubora wa uislam unaendana na matendo ya waislam.Huko china uislam unaonekana kama u zombie fulani hivi.
Allah ni mkuu wa majini.kweli kabisa, upo sahihi 100%.
hakuna mungu, kuna Allah tu. Asiyezaa wala kuzaliwa.
Ile ya taleban sioWengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.
Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.
Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.
Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.
Tujadiliane.
Moja ya mada za kipumbavu kabisa. Uarabuni wameshindwa. Tanzania tunawezaje?Nani amewapa waislamu wenye msimamo mkali hatma ya maisha ya watu wengine?Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.
Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.
Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.
Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.
Tujadiliane.
Waislam tunaamini:Moja ya mada za kipumbavu kabisa. Uarabuni wameshindwa. Tanzania tunawezaje?Nani amewapa waislamu wenye msimamo mkali hatma ya maisha ya watu wengine?
Kitakachotokea ni kuuana bila sababu za msingi. Dini yako binafsi, kwanini ulazimishe kila mtu aifuate? agents of Lucifer
Umengatwa na chizi leo??Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.
Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.
Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.
Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.
Tujadiliane.