Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.
Unazeeka vibaya. Pole sana ulikoangukia sisi ndio tumeamkia
 
Bakwata wanapitia hapa JF, wataiona hoja.

Wewe unapenda ufisadi?
Hawa akina Sinwar wanaohubiri sharia si ndo hawa hawa ambao wanatumia misaada ya watu maskini kujitajirisha?Hebu nambie Ismail Haniyeh hakuwa mfanyabiashara,alipataje ubilionea.Yahaya Sinwar vilevile hakuwa na kampuni kubwa,why mke wake ana mpochi wa mamilioni ya Kitanzania?Fedha wanazitoa wapi?
 
Dini pekee yenye ubora kwa wanaadam duniani ni Uislam. Kumbuka hilo.


Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Ubora wa uislam unaendana na matendo ya waislam.Huko china uislam unaonekana kama u zombie fulani hivi.
 
Ubora wa uislam unaendana na matendo ya waislam.Huko china uislam unaonekana kama u zombie fulani hivi.
Uislam China upo miaka mingi sana. Sishangai mti wenye matrunda kupopolewa.

Lakini nakuhakikkishia hutowezza kusema ubaya wa Uislam kwako wewe ni nini?
 
Majimbo yanayofuata sharia kule Nigeria ndo yanaongoza kwa ufisadi na umaskini.Nibishie nikupe data
Ma shaa Allah, wewe hapo ulipo unao ubaya wa Uislam?

Unataka kuongelea nchi ambayo hujawahi hata kuitembelea?
 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.
Ile ya taleban sio
 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.
Moja ya mada za kipumbavu kabisa. Uarabuni wameshindwa. Tanzania tunawezaje?Nani amewapa waislamu wenye msimamo mkali hatma ya maisha ya watu wengine?
Kitakachotokea ni kuuana bila sababu za msingi. Dini yako binafsi, kwanini ulazimishe kila mtu aifuate? agents of Lucifer
 
Ili mtuue vizuri na kuwalazimisha wale wasio waislamu kusilimu? Katika miaka 10 ya Kikwete, namuungs mkono kukataa mahakama ya kadhi.
 
Moja ya mada za kipumbavu kabisa. Uarabuni wameshindwa. Tanzania tunawezaje?Nani amewapa waislamu wenye msimamo mkali hatma ya maisha ya watu wengine?
Kitakachotokea ni kuuana bila sababu za msingi. Dini yako binafsi, kwanini ulazimishe kila mtu aifuate? agents of Lucifer
Waislam tunaamini:

لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ وَحْدَهُ لاَ شَرِيكَ لَهُ لَهُ الْمُلْكُ وَلَهُ الْحَمْدُ يحي و يميت وَهُوَ عَلَى كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ.

Laa ilaaha ill-Allaah wahdahu laa shareeka lah, lahu’l-mulk wa lahu’l-hamd yuhyi wa yumeet wa huwa ‘ala kulli shay’in qadeer*

* = 1 time after every fardh prayer, except Maghrib and Fajr wherein this has to be recited 10 times)

Hapana mungu ila Allaah peke yake, hana mshirika, Yeye ndiye Mwenye kuhimidiwa, Humhuisha na Anafisha, na Yeye ni Muweza wa kila kitu.
 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.
Umengatwa na chizi leo??
 
Back
Top Bottom