Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sharia ni kwaajili ya waislam tu!
Religion is only between you and whatever entity you believe in. Nobody should interfere in it and nobody should force his/her beliefs onto others. Just mind your own business!
Usikurupuke, siku hizi dunia kiganjani, isome historia ya sheria ya Sudan hapa👇🏾Ile nchi inaendeshwa kwa sheria ya dini ya kiislam
Hatutaki kama wewe unataka si uende huko wanakoendesha kwa hizo sharia za dini
Naongea nachokijua.
Pili Saudia ndo sehemu Uislamu ulipoanzia na kushika Sharia law .
Iran na Afghanistan wanashika Sharia law.
Wakristo wa nchi hizo wanaishi kama Wakimbizi.
Kufungwa ni muda wowote hasahasa kama mkikutana pamoja kufanya ibada, wanataka Wakristo wafanye ibada majumbani mwao bila kukutana.
Huu ni uminywaji wa haki ya kuabudu inayofanywa na Sharia law.
Sharia law ni sheria ya ukandamizwaji WA dini zingine ikiwemo Ukristo ambapo Yesu Kristo anahubiriwa.
Najua nachokiandika ndo maana nikasema kama hutaki kuishi Tanzania nenda Iran.
Nafahamu, mnaigopa sharia itawaharibia mambo yenu.Magaidi katika ubora wenu.
Kum ma mam zen hatuwez kuwasujudia magaidi nyie.
Maninah nyie
Mfumo wowote utakaoondoa dhuluma za ccm,watu wawe huru kufanya mambo Yao ya kiuchumi,bila kukandamizwa na vyombo vya serikali vinavyotumika vibaya,ifike mahari tuzalishe kina dangote,bakheresa,Eron musk wengi,Umetaja nchi nyingi sana, tuanze na hiyo moja.
Unafahamu leo hii ndiyo nchi inayoongoza duniani kuongelea na kusambaza sharia?
Unafahamu kwanini?
The laws and policies restrict religious freedom, and in practice, the governmentKwanza si kweli, kama u mkweli weka udhahidi wa hao wakristo wanavyiteseka Saudi Arabia. Iranbsufahamunsheria zao.
Pia hapa tuongelee sharia siyo nchi za watu.
Pata darsa dogo la sharia:
Sharia inaainisha matendo yote ya mwanadamu katika makundi matano tofauti: ya lazima, yaliyopendekezwa, yanayoruhusiwa, yaliyokatishwa tamaa, na yaliyokatazwa.
Na visiwe na mrengo wa kidini , Sharia Iko kidini zaidi, hairuhusu nchi kuwa na watu kama Elon musk, Angalia Saudi Arabia kule hawana watu kama Elon Musk, bila mafuta wangekuwa masikini kama sisi.Mfumo wowote utakaoondoa dhuluma za ccm,watu wawe huru kufanya mambo Yao ya kiuchumi,bila kukandamizwa na vyombo vya serikali vinavyotumika vibaya,ifike mahari tuzalishe kina dangote,bakheresa,Eron musk wengi,
Iwe rahisi kumshitaki rais wa nchi akizingua kama SA ilivyofanya kwa Zuma,
Vyombo vya Dola viwe huru sio kutumika kisiasa,
You are right, and you have answered yourself in your first paragraph.The laws and policies restrict religious freedom, and in practice, the government
generally enforced these restrictions. Freedom of religion is neither recognized nor
protected under the law and is severely restricted in practice. The country is an
Islamic state governed by a monarchy; the king is head of both state and
government. According to the basic law, Sunni Islam is the official religion and the
country's constitution is the Qur'an and the Sunna (traditions and sayings of the
Prophet Muhammad). The legal system is based on the government's application of
the Hanbali School of Sunni Islamic jurisprudence. The public practice of any
religion other than Islam is prohibited, and there is no separation between state and
religion. The government did not respect religious freedom in law, but generally
permitted Shia religious gatherings and non-Muslim private religious practices.
Some Muslims who did not adhere to the government's interpretation of Islam
faced significant political, economic, legal, social, and religious discrimination,
including limited employment and educational opportunities, underrepresentation
in official institutions, restrictions on religious practice, and restrictions on places
of worship and community centers.
There was no change in the status of respect.
Najua nachokiandika na uhakika ninayo 100% Kuna shahidi zingine sio za kutolea hapa Maana ni privacy ya washirika wa Kikristo walioko Arabuni.
Sharia itaruhusu tuoe watoto wa miaka tisa kama mtumeMohamed alioa MTOTO wa miaka sita.
Kwa KIFUPI alibaka.
Sahih Muslim 1422 b
'Aisha (Mwenyezi Mungu amrehem) aliripoti:
Mtume wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) alinioa
nikiwa na umri wa miaka sita, na nilipelekwa
nyumbani kwake nilipokuwa na umri wa miaka
tisa.
HUU NI USHENZI MKUBWA.
Ukishakuwa Muislam lazima uwaze kipumbavupumbavu Tu sijui mnashidagani nyie maislam
Kiufupi shariah inarestrict uhuru wa kuabudu even if it's not a monarchy law.You are right, and you have answered yourself in your first paragraph.
Sharia is not monarchy law, what you have instigated here as sharia is monarchy law.
Umebugi maan.
Elon Musk mpaka leo anataka kuingiza biashara yaje ya satellite Tanzania kakataliwa, na sisi vipi hapo?Na visiwe na mrengo wa kidini , Sharia Iko kidini zaidi, hairuhusu nchi kuwa na watu kama Elon musk, Angalia Saudi Arabia kule hawana watu kama Elon Musk, bila mafuta wangekuwa masikini kama sisi.
Hata wakiitumia 100% mradi wanatumia na sheria zingine zisizo sharia kutakuwa na mapungufu tu. Maana unatiwa loophole.Kiufupi shariah inarestrict uhuru wa kuabudu even if it's not a monarchy law.
And by the way , Saudi Arabia and Iran wanatumia sharia Kwa asilimia 80% na wanachowafanyia Wakristo wa kule inathibitisha kilichomo ndani ya Sharia.
No Freedom of religion.
FaizaFoxy naomba umjibu huyo hapo juu atakuwa haelewi kitu kabisa 😄.... lakini hujatuonesha kwa mifano nchi zinazofungamana na imani ya kidini zilivyofanikiwa kuliko zisizo fungamana
Common law inayotumika sasa hivi Tanzania ni ya Kipagani na ikapachikwa ndani yake cannon law Au huelewi unachokiongea?peleka sharia nyumba kwako na ukoo wako
Usituletee mambo Yako ya kidini
Hata sheria za Vatican hatuzitaki.
Watu kama nyie ndio sumu inayolitafuna Taifa hili chini kwa chini.
Jitu zima halioni aibu kupropose mambo ya kipumbavu.
Huko shule ulienda soma ujinga dini Imekukata hadi chini ya fuvu hujui whichi is which
Usituletee mambo ya kitaleban hapa nchi kwetu.
Kama una hamu sana hizo sharia zenu nenda afighanstan na Iran na kwengineko kwenye hizo sharia.
Stupid.
Hakuna nchi niijuwayo inayofata sharia 100% duniani.basi sawa. lakini hujatuonesha kwa mifano nchi zinazofungamana na imani ya kidini zilivyofanikiwa kuliko zisizo fungamana
Hakuna hilo, tena sharia ya kuua zipo chache sana.FaizaFoxy naomba umjibu huyo hapo juu atakuwa haelewi kitu kabisa 😄.
Alafu mueleze kwa nini watu hawampendi sharia sababu inaongoza kwa kuua zaidi.