Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Tanzania mkombozi wetu wa maendeleo na uchumi ni katiba itayofata Sharia za Kiislam

Dunia inatakiwa itoke katika uhayani kwa kuondoa sheria za kishezishenzi halafu kichaa wewe unazipigia promo chizi sana ina maana tanzania ni Islamic republic?
 
Kwahiyo fayza ni mzanzibari? So, waislamu wote kwao ni zanzibar? Hivi tukihesabiwa hapa kwetu bara unadhani mtafika hata milioni 20 ninyi!!! Na ndio maana inapigwa vita sensa ya dini, mnajua fiika hamtoboi

Dada yetu katoa wazo zuri sana, muungeni mkono, mtayaona matunda

Uisilamu haulazimishi katika dini,
Uisilamu unapiga vita dhulma, ushoga, unyanyasaji, uonevu, wizi, ufisadi, kuuwa watu wasio na hatia, n.k HAKI NI HAKI TU

Allah atakuongoza mkuu kadhi mkuu, Waabheja sana nkoi
Ambao hatutoboi ni kina nani.Hebu angalia kanda ya kaskazini,kanda ya ziwa kanda ya nyanda za juu kusini uone kama mnafikia hata asilimia kumi na huko ndiko kuna majority wakristu .
 
''BWANA MUNGU WETU NI MUNGU MMOJA, SIKIA EWE ISRAELI''
kumbukumbu ya Taurati 6:4-9
Sikiza, Ee Israeli; BWANA, Mungu wetu, BWANA ndiye mmoja. 5Nawe mpende BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote. 6Na maneno haya ninayokuamuru leo, yatakuwa katika moyo wako; 7nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyanena uketipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo. 8Yafunge yawe dalili juu ya mkono wako, nayo yatakuwa kama utepe katikati ya macho yako.

Marko 12:29

Yesu akamjibu, Ya kwanza ndiyo hii, Sikia, Israeli ''Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja''

QAur-an
112:1-5
1.sema Huyo Mungu ni mmoja tu, 2.Huyo Mungu Ndiye anayetegemewa na walimwengu, 3. Hakuzaa, 4.wala hakuzaliwa, 5.Na wala hakuna mfanano wake na yeyote katika viumbe wake.''
HIvyo vyote ni vitabu vilivyoandikwa na wanadamu kama mimi na wewe zamani sana. Mimi kama mimi nasema Mungu sio mmoja bali ni Mungu tu, period. Ukitumia neno mmoja maana yake uneweza kumuona, kutemganisha na viumbe wengine na kumuhesabu. Usiwe mfungwa na mtumwa wa maandishi ya waandishi wa kale
 
Ambao hatutoboi ni kina nani.Hebu angalia kanda ya kaskazini,kanda ya ziwa kanda ya nyanda za juu kusini uone kama mnafikia hata asilimia kumi na huko ndiko kuna majority wakristu .

Ambao hatutoboi ni kina nani.Hebu angalia kanda ya kaskazini,kanda ya ziwa kanda ya nyanda za juu kusini uone kama mnafikia hata asilimia kumi na huko ndiko kuna majority wakristu .

Pwani yote angalia idadi ya waislamu, kanda ya kaskazini 👉TANGA ambayo ni jiji ina idadi kubwa ya waislamu kuliko ninyi wapagani, ukija morogoro, dodoma waislamu wapo, njoo singida sasa waislamu walivyo wengi, nenda kigoma, mafia, kilwa n.k, njoo tabora uone, shinyanga na mwanza to bukoba. Utake usitake idadi ya waislamu ni kubwa kuliko wapagani.

Wakihesabu bila udanganyifu utaona kama sio 70% basi ni 80% ni waislamu
 
Robo tatu ya watu duniani hawataki sheria za qur,an sababu wengi wao ni watenda makosa wanadhani hita wabana
Quran inayoasisi Biashara ya utumwa,utekaji,utesaji,ugaidi na kujilipua mhanga je ndiyo utakatifu?
 
HIvyo vyote ni vitabu vilivyoandikwa na wanadamu kama mimi na wewe zamani sana. Mimi kama mimi nasema Mungu sio mmoja bali ni Mungu tu, period. Ukitumia neno mmoja maana yake uneweza kumuona, kutemganisha na viumbe wengine na kumuhesabu. Usiwe mfungwa na mtumwa wa maandishi ya waandishi wa kale
Jinsi hii Mungu Aliupenda ulimwengu,hata akamtuma Mwanae wa pekee ili kila amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele.(Yohane3:16-18)
 
Wewe umekunywa viloba duniani nchi inayo tumia sheria za kiisilamu ni 1 nayo wakirito hawalali na wayahudi wanajipanga kuiangusha
Sudan Waislam 100% vita haviishi,Syria Waislam 100% vita haviishi je hiyo ndiyo pepo mnayoihitaji?
 
Sharia kwa watanzania mbona wengi watauwawa. Sharia ni katiba ya mwendawazimu. Mungu anafanya kazi ndani ya moyo wa mtu si nje. Dhambi haikai kwenye ngozi. Yaani umesomea ujinga.
 
Ni kawaida binadamu kuipinga haki itokayo kwa MUNGU. Nguvu ya shetani iko kazini.
Hivi kulikuwa na sababu gani yesu kukataliwa na kutaka kuuliwa?
Hakuwa Muovu wala hakutaka kuondoa utawala wa wakuu wa nchi,
Bali Shetani alikuwa kazini.
Hii ndiyo kawaida ya HAKI huwa Haipendwi na wengi, ba Batili ndiyo hupendwa na Wafuasi wa SHETANI akina WEWE na Wamagharibi.
SHARIA NDIO HASWA SULUHISHO LA TANZANIA,
Mbona haijasuluhisha huko libya somali na nchi zote zinazomuamini mnyaaazi. Jifikirie. Kwenye swala la yesu Mungu ndio alikua kazini na akaruhusu yesu ateswe ili tupone dhambi zetu. Hayo mambo ya sheria za kijinga hizo bakwata wanaibiana na sheria zipo alafu unataka zitumike kwa nchi nzima labda nchi ya wapumbavu kama ww ndio mnaweza weka sheria za kingese kama hizo zenu
 
Ni kawaida binadamu kuipinga haki itokayo kwa MUNGU. Nguvu ya shetani iko kazini.
Hivi kulikuwa na sababu gani yesu kukataliwa na kutaka kuuliwa?
Hakuwa Muovu wala hakutaka kuondoa utawala wa wakuu wa nchi,
Bali Shetani alikuwa kazini.
Hii ndiyo kawaida ya HAKI huwa Haipendwi na wengi, ba Batili ndiyo hupendwa na Wafuasi wa SHETANI akina WEWE na Wamagharibi.
SHARIA NDIO HASWA SULUHISHO LA TANZANIA,
Mbona haijasuluhisha huko libya somali na nchi zote zinazomuamini mnyaaazi. Jifikirie. Kwenye swala la yesu Mungu ndio alikua kazini na akaruhusu yesu ateswe ili tupone dhambi zetu. Hayo mambo ya sheria za kijinga hizo bakwata wanaibiana na sheria zipo alafu unataka zitumike kwa nchi nzima labda nchi ya wapumbavu kama ww ndio mnaweza weka sheria za kingese kama hizo ze
 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.
Narudi kwa approach nyingine.

Ili taifa liitwe linafata sheria za kiislam linatakiwa kufanya mabadiliko gani ndani ya katiba.

Na labda niamgazie kiuchumi kwa maana nini falsafa ya uchumi wa kiislam.?!?!

Watu wengi hawana majibu ya suali hili. Na kama tungefahamu basi kungekimbilia kufata falsafa hiyo.

Uchumi wa kiislam umesimama ktk mambo makubwa 3.
Tafaful (insuramce, health and social security fund)
Awqaf (mogadge)
Islamic bank (Interest Free)

Vipi mtz uhadiwe nyumba ya bure badala ya kodi zenu kuwekeza ktk miradi ya pombe, nyumba za bure badala ya ilivyosasa pesa zinapelekwa ktk ujenzi wa nyumba kwa ajili ya watumishi wa umma pekee. Na matokeo yake nyumba zinakosa wapangaji kwa kuwa watumishi wanaishi ktk nyumba walizojenga wenyewe.

Upate tiba bure tofauti na sasa hata chakula mgonjwa inabidi ajihudumie.

Huu ndio uchumi wa kiislam pindi wenye uelewa akiamua kuusimamisha kwa njia za kikatiba.

Tofauti na propaganda za kimagharib kuwa nchi ya kiislam ni ile ambapo mwizi atapatwa mkono, mzinzi ndani ya ndoa atapigwa mawe hadi afe. Sheria hizi sio msingi (primary principal) ya sheria za kiislam bali zipo ktk hatua ya pili (advance). Kwa maana iwapo mambo mengine ya msingi yatawekwa sawa, ndipo sheria hizi zitatukika.

Kwa mfano iwapo kila mwenye nguvu na ujuzi basi aarijire au apate mtaji wa kujiajiri, hapa ikitokea mwizi atahukumiwa, iwapo serikali itawaizesha wenye kuhitaji kuoa/kuolewa, kwa kuwapa social service zitakazowezesha kujitegemea. Mfano; ktk mfumo wa kiislam ujenzi wa nyumba ni wajibu wa serikali.

NB. Hata hivyo Taifa la kiislam halipo na haliwekani. Kinachowezeka na ni baadhi tu ya huduma kwa wananchi kufata value za kiislam. Kama ilivyo sasa ktk Islamic bank na huduma za wakala
 
Wengi tunaongelea katiba mpya sasa hivi, lakini hatuongelei iweje.

Mimi nashauri tena nasisitiza, hakuna katiba yoyote bora iliyotungwa na itakayotungwa na binaadam. Muumba wetu anatuelewa ubora wetu na mapungufu yetu ndiyo maana akatuwekea Muongozo ulio bora kabisa. Sharia.

Sharia haijaacha kitu katika mfumo wa maisha ya mwanaadam ya kila siku, kama hatujaifuata sharia ya Mwenyezi Mungu basi tusitegemee mafanikio maisha.

Watanzania tusiopenda ufisadi, wizi na ubadhirifu tuungane na tuitake katiba yetu iwe kwa mfumo wa sharia.

Tujadiliane.
Wewe unaleta fitna sasa. Unajua nchi hii si ya waislaam peke yao halafu unataka kutuletea ujahidina tukatane miguu na mikono. Wengi kwanza hatuna haja na katiba mpya. Hatuoni tatizo na katiba. Tatizo liko kwenye watu/viongozi. Hawana uadilifu. Ufisadi ndio umetawala mioyo ya watu na viongozi wao.
Nchi ikibahatika kupata kiongozi bora haki na maendeleo vinapatikana.
 
basi sawa. lakini hujatuonesha kwa mifano nchi zinazofungamana na imani ya kidini zilivyofanikiwa kuliko zisizo fungamana
Afghanistan😂🤣😂 na iran kule wanauana kuhusu kuvaa vilemba wanawake😎🙄🤣😃
 
sasa Watanzania wa manzese si watatupiga mawe wote kwa sheria ya uasherati zikiingizwa kwenye katiba?
 
Back
Top Bottom