Tanzania na Burundi wakwama kikao kingine cha EAC cha kujadili Corona

Tanzania na Burundi wakwama kikao kingine cha EAC cha kujadili Corona

Sasa jirani huwezi kutulaumu sisi kwa udhaifu wenu wakushindwa kulinda mipaka yenu. Mbona Zambia badala ya kulalamika wameamua kufunga border kwa muda tena kwenye ile thread nyingine nimekutumia video ya jana Waziri wao amekubali essential products zipite. Ningekuwa Kenya ningekuwa na wasiwasi na Corona inayotoka mpaka wa Somalia kuliko huku. Roles zingekuwa zimegeuzwa Tanzania tungefunga border na wala usingeona Watanzania tunalalama kunachoendelea huko. Tufe sisi, vilio vitoke kwenu?
Hao mbwa wanajifanya wajuaji wa kila kenge hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila nchi inajiendesha yenyewe bila kuingiliwa na nchi nyengine, Zambia wameamua kufunga mpaka wao na Tanzania, hiyo ni haki yao na hatuwalaumu wala kulalamika, Kenya fanyeni mnavyotaka kamwe hatutowalalamikia na kuwalaumu, Tanzania tunafanya tunavyotaka, hampaswi kutulalamikia wala kujaribu kutufundisha njia bora ya kufanya. Tukiamua kulipiza kwa kufunga mipaka yetu ndio mtajua kitakachowapata.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona magufuli anawasubir kuja kutaitisha kwenye Kona hao wajinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha! Binafsi bado naiamini serikali yangu kwa kufanya hivyo hata kama haisemi sababu ila ninachofahamu sio kila kitu lazima tutangaziwe!,bado naona kuna kitu hakijakaa sawa.. na Tanzania sio mara ya kwanza kuwa na misimamo ya kipekee!
ujakosea mkuu inasababu zake za msingi uwa Tz haikurupuki
 
kwann Tz isilipe kisasi kwa kucollabotate na Ethiopian
Tunategemeana kwa aspects mbalimbali lakini haitulazimishi kufuata kila jambo in the name of union, nooo

Tanzania iko hivyo miaka tangu enzi za mwalimu, walimtenga mwalimu wakati ule ikapelekea former EAC kuanguka na wakamsapoti kimya kimya IDD amin nchi ipigwe Kenya aendelee kuwa kinara, so wanachofanya kwa kisingizio cha covid19 is an hidden agenda of Kenyan's, Uganda na Rwanda wafuata mkumbo na maskini Sudan kusini hawajui hawa wanafiki Kenya waliokuja na coalition sijui iliishia wapi.

Tanzania will remain the same wacha waendelee. Halafu kama wako right na Tanzania ndio problem wanateseka nini wakati wameitenga?

Magufuli atasema wakati ukifika nasi tutajudge kuwa ni udhaifu wake au amenusa nini huko kusini na mashariki kwnini ashiriki na wenzie, na kama anacho kitu why asiwashirikishe.

All in all tunahitaji kuondokana na covid19 je wanajadili suluhu au blah blah tu
Tunahitaji kuona matokeo mazuri baada ya majadiliano yao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa jirani huwezi kutulaumu sisi kwa udhaifu wenu wakushindwa kulinda mipaka yenu. Mbona Zambia badala ya kulalamika wameamua kufunga border kwa muda tena kwenye ile thread nyingine nimekutumia video ya jana Waziri wao amekubali essential products zipite. Ningekuwa Kenya ningekuwa na wasiwasi na Corona inayotoka mpaka wa Somalia kuliko huku. Roles zingekuwa zimegeuzwa Tanzania tungefunga border na wala usingeona Watanzania tunalalama kunachoendelea huko. Tufe sisi, vilio vitoke kwenu?

Hii mipaka ilichorwa na wazungu, vigumu sana kutenganisha makabila ya Wadigo, Wamaasai na wengine wote eti unawaambia mipaka ya nchi.
Ndio maana tunapigia makelele udhaifu na ukaidi wa Tanzania kwenye hili la corona.
 
Unat
Unateseka nini ikiwa mko katika njia sahihi?
Msiwafunze watu kufikiri Sawa na upumbavu wenu wa kuiga IGA yasiyofit mazingira yenu.
Covid19 will be with us for years, but our integrity, systems and everything should not be interfered by your stupid cope and paste try and error method's.
Mnaiga vitu having results mnatesa RAIA halafu mnalazimisha nchi huru kufuata upuuzi wenu?
Ninyi MNA huruma na Tanzania kuliko watanzania? Mmeanza lini?
Fanyeni yenu iacheni nchi yetu bado hatujawaomba msaada mnajitapa bure puppet's nyie.
Fungeni kila kitu kama hamkuja kupiga magoti hapa. Mnakufa huko kwenu ni Tanzania ilileta ugonjwa mpka muiletee nongwa, tunajua miongoni mwenu mnaungana na watanzania wapenda madaraka kutaka haribu utaifa wetu, mmekwama ndio sababu mnatapatapa kulazimisha upuuzi.

Sooner secretariet itawakana kama wenzenu SADC.
Mnatuponza na kuponza mataifa yaliyo majirani zenu kwa ukaidi, uzembe na udhaifu wenu.
Lazima mpigiwe makelele mpaka mtie akili.
 
Mnatuponza na kuponza mataifa yaliyo majirani zenu kwa ukaidi, uzembe na udhaifu wenu.
Lazima mpigiwe makelele mpaka mtie akili.


Uzembe wa kuleta covid19 sio?
Akili zenu zimehamia kwenye githeri.
 
Hii mipaka ilichorwa na wazungu, vigumu sana kutenganisha makabila ya Wadigo, Wamaasai na wengine wote eti unawaambia mipaka ya nchi.
Ndio maana tunapigia makelele udhaifu na ukaidi wa Tanzania kwenye hili la corona.
Kwanini Zambia wasipige kelele badala yake wamechukua hatua za kujilinda bila kuingilia sheria na taratibu za Tanzania?.

Sasa mnaona kwanini Tanzania tunapenda zaidi SADC kuliko EAC?. SADC tunaheshimiana na kuacha kila nchibkujiamulia mambo yake bila makelele wala mikwaruzano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii mipaka ilichorwa na wazungu, vigumu sana kutenganisha makabila ya Wadigo, Wamaasai na wengine wote eti unawaambia mipaka ya nchi.
Ndio maana tunapigia makelele udhaifu na ukaidi wa Tanzania kwenye hili la corona.
Wadigo na Wamaasai wana passport za makabila yao au siyo? Huwezi kulalamika udhaifu na ukaidi wa Tanzania wakati hata hutambuliki. Mipaka ipo na iheshimiwe kelele zenu ziiishie mipakani.
 
Wadigo na Wamaasai wana passport za makabila yao au siyo? Huwezi kulalamika udhaifu na ukaidi wa Tanzania wakati hata hutambuliki. Mipaka ipo na iheshimiwe kelele zenu ziiishie mipakani.
Ukiwa mzembe na mchafu hata mtaani utawaponza majirani, chukueni tahadhari mnatuambukiza sana.
Halafu omba omba wenu bado wamejaa huku Nairobi, sijui mnapenya vipi.
 
Ukiwa mzembe na mchafu hata mtaani utawaponza majirani, chukueni tahadhari mnatuambukiza sana.
Halafu omba omba wenu bado wamejaa huku Nairobi, sijui mnapenya vipi.
Ok.

Edit: MK254 usipige makofi baada ya mwezi nitarudi kuongelea mafanikio yenu ya kupambana na Covid 19.
 
Sasa ukaid wa Tanzania wewe unakuhusu nini? sawasawa umpangie jirani yako mda wa kulala wakati kila mtu ananyumba yake hivi kwanini kenye unapenda kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyengine wakati Tanzania wao wanaendelea tu na habar zao ?,
Hii mipaka ilichorwa na wazungu, vigumu sana kutenganisha makabila ya Wadigo, Wamaasai na wengine wote eti unawaambia mipaka ya nchi.
Ndio maana tunapigia makelele udhaifu na ukaidi wa Tanzania kwenye hili la corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom