Kama hakualikwa maana yake hili ni tatizo kubwa zaidi!!
Je na sadc nako hakualikwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo swali waulize walioandaa hiyo mikutano. Wao ndio wanajua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hakualikwa maana yake hili ni tatizo kubwa zaidi!!
Je na sadc nako hakualikwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unalalamika kama Mtanzania? Sweden, Marekani, Malawi, Burundi, Brazil na Senegal bado sehemu zao za kuabudu zipo wazi. Je umeandikia serikali zao kuwapa ushauri wako wa kitaalam? Kama nilivyokwambia kabla mambo mengine ni ya ndani na hayawahusu majirani. Tuachie Watanzania tuta deal naye nyie mjikite kupambana na matatizo yenu mna kasoro kubwa sana jinsi mnavyo handle response ya Covid 19 lakini sisi hatuna muda wa kujadili mambo yenu au kutaka kusikia Rais wenu anatoa matamko gani kuhusu issue zenu. Sisi siyo Wakenya.Azungumze mambo ya kitaalam sio Kikenya, corona itakufaje ikiingia kanisani, sote tungekua tunapanga mifoleni tukienda kupona humo kanisani, haingekua na haja ya mlozangila mnakokufia huko, nyote mngeenda makanisani na kupona hapo hapo.
Deaths have climbed to 2642 people (1000% increase) in sweden after they refused to impose a lockdown.This is scary...freaking scary....
No you were not, stop lying. You were engaging in the typical tanzanian argument of kibera, hunger and tribalism in totally unrelated issues. Only that i caught you and chose not to engage in that non sequitur.I can say the same for you. I was being sarcastic too.
Wewe unalalamika kama Mtanzania? Sweden, Marekani, Malawi, Burundi, Brazil na Senegal bado sehemu zao za kuabudu zipo wazi. Je umeandikia serikali zao kuwapa ushauri wako wa kitaalam? Kama nilivyokwambia kabla mambo mengine ni ya ndani na hayawahusu majirani. Tuachie Watanzania tuta deal naye nyie mjikite kupambana na matatizo yenu mna kasoro kubwa sana jinsi mnavyo handle response ya Covid 19 lakini sisi hatuna muda wa kujadili mambo yenu au kutaka kusikia Rais wenu anatoa matamko gani kuhusu issue zenu. Sisi siyo Wakenya.
Hahahaha, I thought we were talking about exports not domestic markets, hahahaha.The largest market for kenyan manufactured food products, medicines, alcohol is Kenya. You forgot we sell vegetables and fruits too to europe. By the way we also export juices like Del monte to the UK.
Hahahaha, desperate Kunyan, how do you get to Zimbabwe, Malawi, Zambia by ship?. Will you use Air to export edible oils?By ship, by air not by road which will be very expensive. bidco exports edible oils etc to southern africa countries but via mombasa port.
Kila nchi inajiendesha yenyewe bila kuingiliwa na nchi nyengine, Zambia wameamua kufunga mpaka wao na Tanzania, hiyo ni haki yao na hatuwalaumu wala kulalamika, Kenya fanyeni mnavyotaka kamwe hatutowalalamikia na kuwalaumu, Tanzania tunafanya tunavyotaka, hampaswi kutulalamikia wala kujaribu kutufundisha njia bora ya kufanya. Tukiamua kulipiza kwa kufunga mipaka yetu ndio mtajua kitakachowapata.Tanzania has always been the hard headed child in EA. Kama mnasema Kenya ni wabaya, je Zambia waliofunga border na bado Kenya haijafanya hivyo.
Magufuli amefanya bet na maisha zenu na mnasema mnaiga inchi sisizo fanya lockdown. What you forget is that those countries that havent like sweden are richer, much smaller and they do thorough contact tracing and quarantine of victims. Sweden has higher death rate than most countries in europe. The didn't lock down because wana mahospitali advanced. Je Tz na afya duni?
Whatever Kenya gets from Tz can be got from Uganda and the other neighbouring countries but its just because of cheaper prices, we still produce all those agricultural stuff, tutapanda vitungu na viazi, hatuta kaa chini na kulia eti Tz wametunyima.
Sasa spread of covid19 is just beginning, those that say it is fake, wait until it land in your neighbor's house, alafu ikuje kwako...
You do realize Mozambique has a port right? Ihope you know this. Kenyan logistics companies have a foot hold in the mozambique and malawi logistics sector.Hahahaha, desperate Kunyan, how do you get to Zimbabwe, Malawi, Zambia by ship?. Will you use Air to export edible oils?
Sent using Jamii Forums mobile app
In summary we do not need Tanzania to get to sadc. We have been selling to Malawi via Maputo which is cheaper than road through Tanzania. KQ has also been airlifting medical supplies and other essential items to south africa.Hahahaha, desperate Kunyan, how do you get to Zimbabwe, Malawi, Zambia by ship?. Will you use Air to export edible oils?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya usalama wa taifa uyajui kuna kitu nyuma ya kapeti kuna ujuma inapangwa na .araisi dhidi ya magufuli j
Kenya ndiyo kiongozi wa hizo ujuma
Send by APOLO 1
Akili yako ndogo ya kudhani Watanzania wote wana akili moja imekudanganya kufikiria hivyo. Usinilaumi mimi kwa ujinga wako.No you were not, stop lying. You were engaging in the typical tanzanian argument of kibera, hunger and tribalism in totally unrelated issues. Only that i caught you and chose not to engage in that non sequitur.
Tanzania has always been the hard headed child in EA. Kama mnasema Kenya ni wabaya, je Zambia waliofunga border na bado Kenya haijafanya hivyo.
Magufuli amefanya bet na maisha zenu na mnasema mnaiga inchi sisizo fanya lockdown. What you forget is that those countries that havent like sweden are richer, much smaller and they do thorough contact tracing and quarantine of victims. Sweden has higher death rate than most countries in europe. The didn't lock down because wana mahospitali advanced. Je Tz na afya duni?
Whatever Kenya gets from Tz can be got from Uganda and the other neighbouring countries but its just because of cheaper prices, we still produce all those agricultural stuff, tutapanda vitungu na viazi, hatuta kaa chini na kulia eti Tz wametunyima.
Sasa spread of covid19 is just beginning, those that say it is fake, wait until it land in your neighbor's house, alafu ikuje kwako...
USA with lockdown everywhere, death is approaching 100,000, they have decided to lift breakdown because it does't work.Deaths have climbed to 2642 people (1000% increase) in sweden after they refused to impose a lockdown.
Zambia wamefunga border "temporary" mnajifanya hamuelewi hili neno? Na sababu zao waliziweka wazi na sisi Watanzania tukaheshimu uwamuzi wao mbona nyie majirani feki wa East Africa ukitoa Burundi hamheshimu uamuzi wa Tanzania? Mkiona tunahatarisha usalama wenu basi fungeni mipaka yenu. Tupunguze porojo tufanye vitendo halafu mwisho wa siku tutajua ukweli.
Acha umbea wewe kwani lazima tufuate wanayofanya wengine kila mmoja na msimamo wake .Viongozi wenu wanajarbu kutahadharisha, mtatengwa kote kuanzaia SADC mpaka EAC, acheni ukaidi na tikitaka nyingi zisizo na tija mfuate ushauri wa kitaalam na sayansi, mambo ya mara mapaipai mara corona inaogopa kanisa.
Sasa jirani huwezi kutulaumu sisi kwa udhaifu wenu wakushindwa kulinda mipaka yenu. Mbona Zambia badala ya kulalamika wameamua kufunga border kwa muda tena kwenye ile thread nyingine nimekutumia video ya jana Waziri wao amekubali essential products zipite. Ningekuwa Kenya ningekuwa na wasiwasi na Corona inayotoka mpaka wa Somalia kuliko huku. Roles zingekuwa zimegeuzwa Tanzania tungefunga border na wala usingeona Watanzania tunalalama kunachoendelea huko. Tufe sisi, vilio vitoke kwenu?Hao hatuna mpaka nao hivyo hwanihusu, nyie mnaotuambukiza corona ndio inabidi nilalamike, maana tunachangia mpaka mrefu zaidi na makabila mengi mpakani, sasa kwenu mkiendelea kukaidi huku mkisema corona inafia kanisani ilihali wenyewe mnafia kwenye mahospitalini badala muende mkapone huko knisani, mnatuponza sana, yaan wachache ambao tumefaulu kuwakamata wakiingia huku kila wakipimwa wanakutwa na corona, sasa maelfu ya wanaoingia kinyemela yaani mnatuhangaisha sana nyie.
Ona mlichokifanya kwa mji wa Zambia uliopakana na nyie, mumejaza corona huko
![]()
Unateseka nini ikiwa mko katika njia sahihi?Hata wewe ulipogoma kuhudhuria darasa, wengine waliendelea na masomo, ila sasa kwa hili mkulu wenu anaongoza taasisi ya uraisi, hivyo sio vizuri afanye maamuzi kwa mihemko kwa hisia zake, kila anachokifanya kinawahusu mamilioni ya watu, akikaidi ushauri wa kitaalam anakosea wote hao.