Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Ungeandika kwa Kiswahili hili ili wote wajue. Ni kweli kabisa viongozi ambao wanajua kuwa wanachaguliwa na Mahera, Jecha, Sirro... na siyo na wananchi, hawana sababu ya kuwatumikia wananchi.
Unelected leaders don't have a constituency to please,or a platform to uphold,they are going to do what they want