Ungeandika kwa Kiswahili hili ili wote wajue. Ni kweli kabisa viongozi ambao wanajua kuwa wanachaguliwa na Mahera, Jecha, Sirro... na siyo na wananchi, hawana sababu ya kuwatumikia wananchi.
Unelected leaders don't have a constituency to please,or a platform to uphold,they are going to do what they want
 
Pia Tanzania na marekani kushirikiana wapinzani kuimarisha demokrasia
 
Victoria Nuland pamoja na kukurmtana na Rais Samia, pia kafanya mazungumzo na viongozi wa vyama va upinzani wakiwemo Zitto na Mnyika.
View attachment 1879994View attachment 1879995
 
Ananifanya kuwachukia Wazanzibari si mtu mwema huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…