Mkuu KUhani, katika hili naomba kutofautiana. Angalia sopurces za story ni mbili tofauti, kwa hiyo contradiction iiyopo inatokana na statement za sources, si utungajiw a mwandishi au chombo cha habari. Hapa wa kuwashangaa ni watawala ambao wanashindwa kueleza kinagaubaga iwapo Zanzibar inahusika katika mpango huu au la
Mkuu KUhani, katika hili naomba kutofautiana. Angalia sopurces za story ni mbili tofauti, kwa hiyo contradiction iiyopo inatokana na statement za sources, si utungajiw a mwandishi au chombo cha habari. Hapa wa kuwashangaa ni watawala ambao wanashindwa kueleza kinagaubaga iwapo Zanzibar inahusika katika mpango huu au la
Mpita Njia ndugu yangu, unakosea. Daily News wamevurunda big time.
...the very least they could have done ni kuandika sentensi moja tu "katika toleo la jana ofisa Fulani bin Fulani wa serikali ya Zanzibar alinukuliwa na gazeti hili akisema kwamba Zanzibar wamekataa mradi huu wa vitambulisho..." Simple as that. Faida yake nini hiyo sentensi? Umuhimu wa hiyo sentensi ni kwamba msomaji anajua, anhaa, kumbe hii stori niliyoisoma hapa sio conclusive, na kwamba bado kuna mabishano kati ya pande mbili za muungano. That's the point.
Mkuu Mpita Njia, Kuhani hapa yuko sahihi. Gazeti la tarehe 21/02 limeripoti kuhusu Zanziba kukataa kuwemo katika mradi wa vitambulisho. Gazeti dada la kampuni hiyo hiyo kesho (22/02) yake linaripoti Dr. Kyaruzi wa kampuni ya kuishauri serikali anasema hata Zanziba wamo. Hapa alichosema Kuhani, ni vipi waandishi wasimhoji huyu Dr. Kyaruzi kuwa siku zilizopita Waziri Nyanga na Mkurugenzi Ame walishasema kuwa hawakubaliani na hilo la vitambulisho vya Taifa kupelekwa hadi Zanziba.
Waandishi wa habari wanatakiwa kuwa wapembuzi, hawatakiwi kuchukua habari tu kama ilivyo. Ndio maana mashirika kama BBC, wakisikia jambo na wakamoji mhusika, hujitahidi kumpata wa pande wa pili kumsikia naye atasemaje. Sasa hawa walikuwa na Dr. Kyaruzi wanashindwa hata kumuuliza jambo waliloandika siku moja kabla. Hii inanikumbusha kauli wanazopenda toa kuwa tulipomtafuta simu yake ilikuwa haipatikani, japo hawakumtafuta mhusika.
Haya aliyasema Mwalimu sikumbuki ni hotuba gani, ila alikuwa akizungumzia nia ya Karume kwenye Muungano.hahahaha So funny! wewe rais mimi makamo! hivi kuna watu waliwasikia
Unajua Karume hakuwa msomi na alidhamiria muungano wa nchi moja sio mbili. Ni Mwalimu aliyempinga kutokana na udogo wa Zanzibar, kuungana na lijitu likubwa ka Tanganyika, ingemezwa. Hivyo hata hiyo nafasi ya Zanzibar ya leo, ni Mwalimu.
Kelele za ZnZ sio kwamba hawautaki Muungano, bali wamechoka kuburuzwa. Kama ingeachwa ifanye mambo yake, saa hizi tusingefuata magari Japan wala Dubai, mambo yote yangekuwa Zenj. Ni kwa kulitambua hilo ndio maana URT itajiunga na OIC kwa maslahi ya ZnZ.
Mcheki vizuri anafanana na nani, majina sio issue. Chief Burito alikuwa na wake 4 na watoto kibao. Mama Nyerere, Bibi Mgaya alikuwa ndio mke mdogo. Jee wajua wanaotumia jina la Nyerere ni wale watoto wa Bi. Mgaya tuu, Julius Kambarage, Joseph Kisurila na John Kiboko?.
Inasemekana Chief alikuwa na watoto zaidi ya 20 ni kina nani hao?.
Watoto wa Mama Nyerere ndio waliosoma, kwa kusomeshwa na Kaka yake Bibi Mgaya, Chief Wanzagi Warioba. Jee wawajua ndugu wengine wa baba?.
Wazee wa kiafrika si unawajua, na majina sio issue, hivi nduguze wa kuzaliwa na Mkulu mnawajua?.
Jamani sorry, inaweza kuwa ni just 'Amaizing Coincidence' and its just my insinuations. No facts!. No facts no right to speak, only to think aloud in black and white.
, na John
...... Huyu Gotham ................ Na inaelekea an PR nzuri na watu wengi pia ni mbunifu wa biashara.
Kwa ujumla ukisoma kwa makini ni kwamba biashara ya Gotham ilianza hata kabla Gotham Inernational haijaanzishwa. Hapo ndipo utata ulipo.
Mhhh!!! sasa unachotaka kusema ni kwamba Gotham hawana uhalali wa kufanya consultancy za serikali au serikali haina sababu ya kutoa consultancy kwa Gotham. Ninavyo elewa mimi si lazima kila kitu kifanywe na serikali yenyewe ndio maana shughuli nyingine hupewa consultant. Sasa hoja labda ni nani anapewa na kwa nini? hakuna serikali hata moja isiyo fanya hivyo. Na serikali kuipa kazi hizo Gotham haina maana imeshindwa kazi...aaaghrrrrr