Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibar, Kenya, Israel and other developed countries, Mr Ame told the 'Sunday News'. Mr Ame said that two dimensions barcode (2D-barcode) identity cards such as the ones used in Zanzibar were sufficient for Tanzanians. What we need to store on the cards are specifically fingerprint and a photo of each adult.
[/COLOR][/SIZE][/FONT]
Hii Kampuni ya Gotham iache kutufanya watanzania wote eti ni mbumbumbu, kwani wanaposema kuwa atakaye pata tenda atapewa bilioni 35 sio kweli kwani tenda ya kutengeneza vitambulisho ndio ilitangazwa na tenda hiyo ina thamani ya shilingi 222 bilioni .
Kusema kuna fedha zitaenda kwenye kuwatambua watanzania ni kupotosha ukweli halisi kwani hauko hivyo , na kilichotangazwa ni tenda ya kiutengeneza vitambulisho na sio vinginevyo.
Hoja kuwa Mpiga chapa Mkuu wa serikali hakupewa kwa sababu ni suala la Muungano ni upuuzi mtupu kwani anachapa mangapi yanayohusiana na Muungano?Mbona anacha sheria zinazohusu pande zote mbili?mbona anachapa machapisho mbalimbali ya pande zote mbili?
Mbona ikifika hapa wanatupotosha ? huu ni mradi wa kutafuta fedha za kampeni 2010 kwani huyu Gotham naye ni Mtandao tangia wakati huo .
Hapa wazanz nimewapenda!
Haya ndio mawazo ambayo tuliyategemea toka kwa kiongozi/mwananchi mwenye kujali maslahi ya nchi masikini kama Tanzania. "Smart-card technology" tunaikimbilia ilhali hatujafikia maendeleo yanayohitaji teknolojia hiyo. Bado tuna mambo mengine sana ya kuboresha kabla ya kufikia 'standard' ya maisha ya kuhitaji 'smart-card'. Inauma sana maana kuna mambo mengi hayafanyiki, ukiuliza kwanini utashangaa viongozi wanakwambia kwa sababu ya 'priority', sasa mbona hiyo 'priority' hajatumika hapa?...Mr Ame said that two dimensions barcode (2D-barcode) identity cards such as the ones used in Zanzibar were sufficient for Tanzanians. What we need to store on the cards are specifically fingerprint and a photo of each adult.
Hii yote ni sababu ya kujali maslahi binafsi, tunahacha kusikiliza taasisi ambazo tumezianzisha wenyewe tunakimbilia makampuni kusikiliza ushauri wa kampuni binafsi, tunategemea nini? Though smart but (Dr.?) Kyaruzi is typical entrepreneur and has never been loyal to public institutions of Tanzania, in this he want to play another fault. Ebu wamuulize kwanza huo udaktari au kama waandishi wa habari wanamuita hivyo basi akanushe.The 'Sunday News' learned that the University of Dar es Salaam (UDSM) in collaboration with Tanzania Bureau of Standards (TBS) conducted a feasibility study and advised the Home ministry to first work with local institutions and get advice on the process of IDs production.
...
Instead, it shifted the task to Gotham International Limited consultants who probably advised them to float international tender.
Siri ya vitambulisho vya taifa yafichuka
SHADRACK SAGAT
Daily News; Sunday, February 22, 2009
Dk. Kyaruzi ( ambaye kampuni yake imeingia mkataba na serikali kutoa ushauri juu ya mradi huo)alisema mradi huo ni wa muungano na ndiyo maana hakukabidhiwa Mpigachapa Mkuu wa Serikali au Wakala wa Vifo na Vizazi (Rita) kwa vile vyombo hivyo sio vya muungano.
"Ndiyo maana mradi huo uko chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ambayo ni ya muungano, ndiyo maana imeundwa mamlaka na sio wakala," alisema Dk. Kyaruzi.
Alisema katika bajeti hiyo ya vitambulisho kuna fedha zitapitia kwenye wizara nyingine kama Uhamiaji, Rita na taasisi nyingine visiwani Zanzibar ambazo zinajishughulisha na usajili wa vizazi na vifo. "Hivyo sio kweli kwamba fedha zote ni za NIDA."
Nikisema Tanzania jamani hatuna press naonekana mtia chumvi mzushi. Sasa naomba mtu anifafanulie kuhusu hizi taarifa mbili zinazofuatana za gazeti hilo hilo, moja ya toleo la jana nyingine ya juzi yake. Mwandishi wa taarifa ya pili, akijua fika kwamba toleo lao la jana yake waliandika the polar opposite ya kile wanachoenda kuchapisha leo yake, ameshindwa kumuuliza huyo Mr. Kyaruzi, Mzee, mbona maofisa wa Zanzibar wanasema wao huu mradi wanaukataa, ina maana pande hizi mbili hazijakubaliana huko bungeni or someplace?
Zanzibar rejects smart cards as identities
ISSA YUSSUF in Zanzibar,
Daily News, 21st February 2009
Authorities in Zanzibar are against the proposed technology of using smart cards as national identification cards. They also say the project is too expensive and that they were not involved fully in the project.
Both Minister for State- Office of the Zanzibar President Mr Suleiman Othman Nyanga and the Zanzibar Identity Card Registration Office Director Mr Mohammed Juma Ame, refuted reports that Zanzibar identity card office was among the dropped tender applicants for the project .These are speculations. We did not apply for the union ID project, but we are against the smart card idea, Minister Nyanga who is responsible for registration of Zanzibaris, told the 'Sunday News'.
He said that he had invited the Union Government (Home Affairs ministry) in 2006/2007 to come and study the quality of Zanzibar IDs in order to get experience.Mr Ame said that his office was against the idea of using smart cards because the cards are not durable especially when folded or in contact with water. We have attended at least two consultative meetings about the process of Union IDs.
We advised them to drop the idea of using smart cards because they are four-times the cost of other IDs such as IDs in Zanzibar, Kenya, Israel and other developed countries, Mr Ame told the 'Sunday News'. Mr Ame said that two dimensions barcode (2D-barcode) identity cards such as the ones used in Zanzibar were sufficient for Tanzanians. What we need to store on the cards are specifically fingerprint and a photo of each adult.
Our data collection is limited to about a million population while the Union IDs project is for half the population of Tanzania said:[/SIZE][/FONT]
Nikisema Tanzania jamani hatuna press naonekana mtia chumvi mzushi. Sasa naomba mtu anifafanulie kuhusu hizi taarifa mbili zinazofuatana za gazeti hilo hilo, moja ya toleo la jana nyingine ya juzi yake. Mwandishi wa taarifa ya pili, akijua fika kwamba toleo lao la jana yake waliandika the polar opposite ya kile wanachoenda kuchapisha leo yake, ameshindwa kumuuliza huyo Mr. Kyaruzi, Mzee, mbona maofisa wa Zanzibar wanasema wao huu mradi wanaukataa, ina maana pande hizi mbili hazijakubaliana huko bungeni or someplace?
Mr. Kyaruzi anasema kuna hela zitapitia idara za Zanzibar, Wazanzibari wanasema wao huu mpango hawamo na hawataki kuwemo na wana wa kwao; fungu la hela ya vitambulisho vya Wazanzibar zitaishia kwa nani?
Mwananchi ukilipia jasho lako kwa gazeti la Daily News siku hizi mfululizo utaelewa nini, Zanzibar wamo hawamo?
Ni Karume baada ya mapinduzi, akamwambia Mwalimu, Waingereza wanaweza kuja kututia kibano, dawa ya haraka ni tuungane "WEWE RAIS MIMI MAKAMO". Huo ndio mzizi. Maandishi ndipo yakafuatia.
hahahaha So funny! wewe rais mimi makamo! hivi kuna watu waliwasikia
First Zanzibar has no National IDs, only a resident IDs
All the two countries they have quote (KENYA and Israel) are now moving to smart card system with much higher costs than Tanzania although they already have the Institution in place...
omarilyas