Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masatu hapo juu unasema MEMBE FOR PREMIERSHIP na huku unasema wote hawafai ila MEMBE tu. unamkana nduguyo Wassira kisa uko kibaruani?
Masatu
JF Senior Expert Member Join Date: Mon Jan 2007
Location: Ilolanguru
Posts: 1,335
Rep Power: 24
Thanks: 87
Thanked 372 Times in 231 Posts
Credits: 21,041
Re: LOWASA, WASSIRA NA Dkt.MALECELA NANI ANAMFAA JK KAMA WAZIRI MKUU
--------------------------------------------------------------------------------
Wote hawafai. Apewe MEMBE
Hata hiyo kampuni ya Gotham International amabyo inazungumziwa hapa na ambayo ina utaaalam wa kutosha sana na ambayo ilistahili kupata tenda hiyo ya feasibility study na consultancy
All i know with LOWASSA out of the way Bwana Membe will be laughing STRAIGHT TO THE BANK
nothing can stop MEMBE zaidi ya JAMBO FORUMS
Yes! Membe for PREMIERSHIP!
hii wala si dili wala nini?kampuni hiyo ni ya TISS.so ni kama mradi wao.Sichoki. Nini wasifa wa hii kampuni Gotham International? Wamefanya feasibility studies nyingine wapi na wataalamu wake ni wakina nani? Haya mengine mimi naona ni personal issues. Sidhani kama yaliyomkuta EL yangemkuta kama Richmond ange'deliver'. Sasa huyu mheshimiwa Gotham ambaye web-site iko under renovation ( http://gothamtz.com/) ana uwezo wa ku'deliver'? Kama kawaida yetu hatutaki kujifunza na yaliyopita. Kwangu mimi sijali hii kampuni ni ya nani, ninachotaka kujua ni kama due diligence ilifanyika kabla ya kuiteua? Aliyeumwa na nyoka.............
hii wala si dili wala nini?kampuni hiyo ni ya TISS.so ni kama mradi wao.
Nachukua jembe naenda zangu kondeni kulima, Let me know wen its all over pls....
hii wala si dili wala nini?kampuni hiyo ni ya TISS.so ni kama mradi wao.
Hii siri kali nzima kuanzia Kikwete na masubordinates wake wote ni kufukuza kazi, lakini katiba uchwara haitupi wananchi nafasi ya kufanya hivyo. Wako busy kujitajirisha wao na familia zao na kusahau maslahi ya Tanzania na Watanzania.
Nungwi,
Wenye akili timamu wanaangali unavyoandika PUMBA. Swala sio Membe kama Membe, suala hapa ni hiyo Kampuni, tunataka uthibitisho!
Kama hamna, ombeni radhi au nendeni jikoni mkapike muwaache wanaume barazani.
Nungwi,
Wenye akili timamu wanaangali unavyoandika PUMBA. Swala sio Membe kama Membe, suala hapa ni hiyo Kampuni, tunataka uthibitisho!
Kama hamna, ombeni radhi au nendeni jikoni mkapike muwaache wanaume barazani.
Hivi kweli barazani ni kwa wanaume tu? mbona nimewaona wakina mama wengi tu? mkuu, kuishi kote ughaibuni bado MCP?
Nungwi,
Wenye akili timamu wanaangali unavyoandika PUMBA. Swala sio Membe kama Membe, suala hapa ni hiyo Kampuni, tunataka uthibitisho!
Kama hamna, ombeni radhi au nendeni jikoni mkapike muwaache wanaume barazani.[/QUOTE]
Kiswahili changu kweli ni kibofu lakini si wewe uliyesema waende jikoni wakapike na wawaache WANAUME BARAZANI? Au uliteleza Mkuu kama sisi wengine binadamu?