Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mheshimiwa Ngurudoto,
Unafahamu kwamba kila mtu yuko "entitled" kutoa maoni atakavo. Lakini hio haimaanishi kwamba kila maoni utoayo yako sahihi kwa maana kwamba kutakuwa na mapungufu.
Sasa unaweza kueleza kwa undani ni nini hasa lengo la hoja yako, ukiambatanisha vigezo vyovyote ambavyo vitanisaidia kukuelewa unaeleza nini?
Wewe ngurdoto nani alikuwa mwalimu wako a kuandika,unatuumiza macho na hizo capital letters,back to the point of disc...inaonekana una point lakini mbona hauko specific? kama unaona ni uwongo njoo na ukweli basi ila sio kulaumu wengine kuwa hawafikirii kazi yao ni kudandia tuu.
MIMI NAITWA mr.KAIZA TWALIPO, LEO NI SIKU YANGU YA KWANZA KUANDIKA MESSAGE HAPA JAMBO FORUM..BAHATI MBAYA AU NZURI NIMEZALIWA TAREHE 09 MWEZI 12 MWAKA 1961,SIKU YA UHURU WA TANGANYIKA, NA NINAISHI NCHINI MAREKANI...ANWANI 2079 JUBILEE CT, COLUMBIA MD 21046...EMAIL NI TWALIPO1961@YAHOO.COM...
MY FORMAL INTRODUCTION...HIYO NA ANATASEMA NIMEPEWA HELA KUFUATA COMMON SENSE ASEME TU..USHENZI MTUPU KWA WANA JF...HIZO PESA KWANGU SIZIHITAJI...LAKINI UPUUZI WA WATU FULANI KATIKA HII FORUM HAUWEZI KUPUUZIWA UENDELEE, ...SAID KUBENA HAWEZI KUWA GODFATHER WA JF NA MEDIA TANZANIA..I LOVE THIS FORUM BUT I HAVE TO SAVE IT FROM STUPIDITY FROM A FEW JOB, INBALANCED CONTRIBUTORS FROM CHAOS & UCHOCHEZI...THE TANZANIA TABLOID IS GETTING OUT OF HAND, MAKING PESA BECAUSE RUMORS ARE NEWS, SOME UNFOUND BASELESS NA HATA MIRADI YA KAWAIDA UMEKUWA NI KASHFA...
STOP THE STUPIDITY, UCHOCHOZI WA LEO KUFANYA KUSOMA KWOTE WATANZANIA WA NJE WENGINE MNA FAMILIA ETI SOURCE YENU NI GAZETI LA MWITA GACHUMA NA SAID KUBENA, NDIO MNATAKA KULETA UCHOCHEZI WA HABARI ZINGINE ZA KISHENZI
KUSHABIKIA UFISADI NA KUENEZA RUMORS HAKUWEZI KUTUSAIDIA SISI WATANZANIA KAMA NCHI MASIKINI, SASA HATA MAKANISANI NI HILO TU NDIO ISSUE...MUACHE USHENZI NA ANATAKA AJE KWANGU KWA KUTETEA UJING ETI MTAJE JINA, HILO HAPO NA ANWANI NIMETOA FOR THAT...UTEMI WA INTERNET NAO UTEMI (ushIROMBO)...PONGEZI KWA SHY & COMMON SENSE PEOPLE LIKE FM ES & SHY, HAMUWEZI KUPATA OPINION ZINGINE. TOLERANCE IKO WAPI, USHABIKI WA KITOTO MUACHE WABONGO
MIMI NAITWA mr.KAIZA TWALIPO, LEO NI SIKU YANGU YA KWANZA KUANDIKA MESSAGE HAPA JAMBO FORUM..BAHATI MBAYA AU NZURI NIMEZALIWA TAREHE 09 MWEZI 12 MWAKA 1961,SIKU YA UHURU WA TANGANYIKA, NA NINAISHI NCHINI MAREKANI...ANWANI 2079 JUBILEE CT, COLUMBIA MD 21046...EMAIL NI TWALIPO1961@YAHOO.COM...
MY FORMAL INTRODUCTION...HIYO NA ANATASEMA NIMEPEWA HELA KUFUATA COMMON SENSE ASEME TU..USHENZI MTUPU KWA WANA JF...HIZO PESA KWANGU SIZIHITAJI...LAKINI UPUUZI WA WATU FULANI KATIKA HII FORUM HAUWEZI KUPUUZIWA UENDELEE, ...SAID KUBENA HAWEZI KUWA GODFATHER WA JF NA MEDIA TANZANIA..I LOVE THIS FORUM BUT I HAVE TO SAVE IT FROM STUPIDITY FROM A FEW JOB, INBALANCED CONTRIBUTORS FROM CHAOS & UCHOCHEZI...THE TANZANIA TABLOID IS GETTING OUT OF HAND, MAKING PESA BECAUSE RUMORS ARE NEWS, SOME UNFOUND BASELESS NA HATA MIRADI YA KAWAIDA UMEKUWA NI KASHFA...
STOP THE STUPIDITY, UCHOCHOZI WA LEO KUFANYA KUSOMA KWOTE WATANZANIA WA NJE WENGINE MNA FAMILIA ETI SOURCE YENU NI GAZETI LA MWITA GACHUMA NA SAID KUBENA, NDIO MNATAKA KULETA UCHOCHEZI WA HABARI ZINGINE ZA KISHENZI
KUSHABIKIA UFISADI NA KUENEZA RUMORS HAKUWEZI KUTUSAIDIA SISI WATANZANIA KAMA NCHI MASIKINI, SASA HATA MAKANISANI NI HILO TU NDIO ISSUE...MUACHE USHENZI NA ANATAKA AJE KWANGU KWA KUTETEA UJING ETI MTAJE JINA, HILO HAPO NA ANWANI NIMETOA FOR THAT...UTEMI WA INTERNET NAO UTEMI (ushIROMBO)...PONGEZI KWA SHY & COMMON SENSE PEOPLE LIKE FM ES & SHY, HAMUWEZI KUPATA OPINION ZINGINE. TOLERANCE IKO WAPI, USHABIKI WA KITOTO MUACHE WABONGO
Koba nimeomba radhi kuhusu maandishi... Mwenye magazeti ni watu wenye njaa na sasa hii tabia imekuwa ni mbinu ya kuuza magazeti huku ikiripoti habari chocheki...Wizi umefanya na Serikali ya Mkapa na wizi mkubwa wa awamu ya Nne huyu Masai is behind..
Lowassa angekuwa anaridhika na dili za 1M , 2M wala msingesikia ila he is too greedy 152M, 176M, Buzwagi 400M..Sasa tuko US hatujui wala hatutathimini kuwa bias ipo na inakuwa..
JK alitoa Go ahead Ripoti ya Richmond na akaenda Dodoma akijua anaenda kabadilisha PM..sasa ujasiri wa mtu kufukuzwa kazi nao ujasiri..angejiuzulu 1 yr before au alipoona hata Sumaye anapata kura za NEC nyingi..(hazikutosha)..Falling out ni kubwa sababu ya Character na ndio maana Jakaya anaua mtandao, Rostam sio Treasury wa chama, Mkuchika is back, Msekwa ambaye alianguka na Sita karudishwa...JAKAYA NI MTU WA CHAMA..na kuongelea conflict of interest ni hatua...ila Magazeti ni njaa na imejulikana kuwa issue yoyote ya Ufisadi tunahamu..hakuna habari ya Zahanati kujengwa wala Barabara...ni ufisadi mtupu...
uzushi umepata Finacier sasa
Re: Vitambulisho vya Uraia, bomu jingine
--------------------------------------------------------------------------------
Quote: Ngurudoto
Koba nimeomba radhi kuhusu maandishi... Mwenye magazeti ni watu wenye njaa na sasa hii tabia imekuwa ni mbinu ya kuuza magazeti huku ikiripoti habari chocheki...Wizi umefanya na Serikali ya Mkapa na wizi mkubwa wa awamu ya Nne huyu Masai is behind..
Lowassa angekuwa anaridhika na dili za 1M , 2M wala msingesikia ila he is too greedy 152M, 176M, Buzwagi 400M..Sasa tuko US hatujui wala hatutathimini kuwa bias ipo na inakuwa..
JK alitoa Go ahead Ripoti ya Richmond na akaenda Dodoma akijua anaenda kabadilisha PM..sasa ujasiri wa mtu kufukuzwa kazi nao ujasiri..angejiuzulu 1 yr before au alipoona hata Sumaye anapata kura za NEC nyingi..(hazikutosha)..Falling out ni kubwa sababu ya Character na ndio maana Jakaya anaua mtandao, Rostam sio Treasury wa chama, Mkuchika is back, Msekwa ambaye alianguka na Sita karudishwa...JAKAYA NI MTU WA CHAMA..na kuongelea conflict of interest ni hatua...ila Magazeti ni njaa na imejulikana kuwa issue yoyote ya Ufisadi tunahamu..hakuna habari ya Zahanati kujengwa wala Barabara...ni ufisadi mtupu...
uzushi umepata Finacier sasa
Hii inahusiana vipi na habari ya Vitambulisho? unapoandika hakikisha unahusisha unachoandika na kinachojadiliwa!
Asante kujirekebisha na kuacha kuandika maandishi makubwa.
__________________
Mheshimiwa Ngurudoto,
Unafahamu kwamba kila mtu yuko "entitled" kutoa maoni atakavo. Lakini hio haimaanishi kwamba kila maoni utoayo yako sahihi kwa maana kwamba kutakuwa na mapungufu.
Sasa unaweza kueleza kwa undani ni nini hasa lengo la hoja yako, ukiambatanisha vigezo vyovyote ambavyo vitanisaidia kukuelewa unaeleza nini?
MIMI NAITWA mr.KAIZA TWALIPO, LEO NI SIKU YANGU YA KWANZA KUANDIKA MESSAGE HAPA JAMBO FORUM..BAHATI MBAYA AU NZURI NIMEZALIWA TAREHE 09 MWEZI 12 MWAKA 1961,SIKU YA UHURU WA TANGANYIKA, NA NINAISHI NCHINI MAREKANI...ANWANI 2079 JUBILEE CT, COLUMBIA MD 21046...EMAIL NI TWALIPO1961@YAHOO.COM...
Karibu JF Ngurudoto,
Unapojitambulisha wewe taja jina tu Kaiza Twalipo, heshima ya U-"Mr" acha watu wakupe, sio ustaarabu (ni poor social etiquette, naona sisi waTZ tunayo sana) kusema naitwa Mr or Mrs so and so, you may however introduce yourself as "Dr" so and so, a title you have actually earned, ni hayo tu, couldn't resist!
This whole exercise should not be at the top of our priorities! If we can't even afford mosquito nets, how can we afford this?
Naamini sio coincident kwamba mradi uanze 2009 bali ni njia nyingine ya kutafuta fedha za kampeni za chama, na pia kujipa ujiko kwamba tumeanza tupeni muda tumalizie.
Kama alivyosema Kamundu, bila Zip Code system ni ngumu kujua mtu anapoishi(Adress, house number, street, town)n.k