Membe S K
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 1,389
- 1,253
JK sidhani kama anaongoza nchi bali anaongozwa na MAFISADI.
Hili ni gumu kuthibitisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JK sidhani kama anaongoza nchi bali anaongozwa na MAFISADI.
......kwa mtazamo wa haraka, nadhani source yake iko katika mchango waliopeleka TAKUKURU Ikulu kwa ajili ya hotuba. Haingii kichwani hotuba yote ikajaa taasisi moja tu.
...pili sitaki kuamini kuwa JK hatakuwa makini kiasi hicho cha kwenda kuhutumbia bunge na Taifa kwa ujumla juu ya TAKUKURU tu.
2. Hivi Balali alijiuzuru ama ulisimamishwa kazi?..
Emmanuel Tatobi alimpongeza Rais kwa uamuzi wa kufilisi mali za mafisadi na kuongeza kuwa uamuzi huo ni ishara kuwa kweli fedha zilizochukuliwa na mafisadi hao zitarudishwa. Tatobi alisema uamuzi wa serikali wa kutowapeleka mahakamani mafisadi hao, kumeiwezesha serikali kuzipata fedha hizo ambazo labda zingeweza kupotea au kuchukua muda mrefu kuzipata kutokana na utaratibu wa Mahakama..
Hatuwezi kukubaliana hivyo, kwa sababu kukubaliana na maoni na hoja dhaifu ni kujidhalilisha. Maoni dhaifu kama ya kwako hayaitaji kukubaliwa bali kupingwa moja kwa moja on the get go!.
Tatizo unafikiri ni negative kwangu, as a matter ni negative kwao na positive kwangu na kwa timu (as long as in that team Mwanyika, Hosea, na Mwema hawamo.. or anybody else picked by His Excellency).
Wrong, nataka (sijui wengine) waende mahakamani ili waheshimu sheria na wasiigope. Nataka kutetea utawala wa sheria siyo utawala wa kisheria wa waoga wa sheria!
Watakuzuga wewe tu. Yaani kweli unaamini kuwa fedha hizo zitaingizwa kwenye kilimo? Utaweza vipi kutofauitisha fedha za EPA na fedha zilizotengwa kwenye bajeti ya Kilimo?
Date::8/21/2008
Spika Sitta ampa tahadhari Rais Kikwete kuhusu wahujumu uchumi
"Hongera sana mheshimiwa Rais, umetoa hotuba nzuri, tumesikia, kuna mambo ya msingi, kuna hili la utawala bora, ukiongeza ukali kidogo basi sisi wabunge tutakusaidia. Lakini, wakati mwingine haya mambo ya kuweka visingizio vya haki za binadamu kwa wahujumu uchumi, yanakwamisha maendeleo ya nchi," alisema Sitta huku Rais akitabasamu.
Spika Sitta alifafanua kwamba, wakati mwingine kushindwa kushughulikia wahujumu uchumi kwa kisingizio cha haki za binadamu hurudisha nyuma maendeleo ya nchi.
Alisema nchi za Asia Mashariki zimeweza kupiga hatua kutokana na kuwa makini katika masuala ya rushwa na kwamba kama zingeendekeza visingizio hivyo zisingefanikiwa.
Spika Sitta ambaye chini ya uongozi wake, Bunge limetoa maamuzi mazito dhidi ya uhujumu uchumi, ikiwemo mkataba wa umeme wa dharura kwa Kampuni ya Richmond, alisema kuwapo kwa ufisadi katika Mfuko wa Uagizaji Bidhaa nchini (ICF) ni ishara kwamba zinahitajika juhudi za kusafisha nchi.
Alisema hivi sasa mwananchi wa kawaida hawezi kuelewa akisikia eti wahujumu uchumi mabilionea hawakamatwi kwani kuwakamata ni vigumu.
Nashukuru wapo ambao waliokuwa wameona kuwapeleka mahakamani ilikuwa njia ya kuwazawadia na wangetoka na kutamba baada ya kifungo kwa kuwa bado wangekuwa matajiri.
asikudanganye mtu hotuba ilikuwa nzuri sana tena sana,hasa ukizingatia summary aliyotoa ya juhudi za kujenga barabara kuunganisha mikoa yote (na kuna tangible results) na juhudi za kupeleka umeme kila makao makuu ya wilaya nchi nzima.siku zote siri ya maendeleo ni kujenga infrastructure na kuacha wajasiriamali wawekeze kwa raha zao.halafu you could feel his sincerelity na utu wa kutotaka ku abuse powers.let us give credit where it is due na kwa hili la hotuba tumpe haki yake.
asikudanganye mtu hotuba ilikuwa nzuri sana tena sana,hasa ukizingatia summary aliyotoa ya juhudi za kujenga barabara kuunganisha mikoa yote (na kuna tangible results) na juhudi za kupeleka umeme kila makao makuu ya wilaya nchi nzima.siku zote siri ya maendeleo ni kujenga infrastructure na kuacha wajasiriamali wawekeze kwa raha zao.halafu you could feel his sincerelity na utu wa kutotaka ku abuse powers.let us give credit where it is due na kwa hili la hotuba tumpe haki yake.