Tanzania nchi ya umeme wa bei chee zaidi EAC

Tanzania nchi ya umeme wa bei chee zaidi EAC

👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA

Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa​

 
Tzn hapa vitu vingi ni vya dezo dezo ndio maana watu wanapata hata mda wa kutukana na kulaumu serikali ila wangekuwa nchi zingine wangekuwa busy kutafuta maisha Ili kukabiliana na ukali wa maisha ..

Sasa mtu akiweka buku umeme wiki Zima,buku bando wiki Zima ndio maana uzembe umezidi, gharama zingekuwa juu kila mtu angekuwa busy kusaka pesa wasingepata mda wa kutukana.
 
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,

miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000

Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
Ndio hao waliolipwa hela ya chakula ada hakuna?
 
Tzn hapa vitu vingi ni vya dezo dezo ndio maana watu wanapata hata mda wa kutukana na kulaumu serikali ila wangekuwa nchi zingine wangekuwa busy kutafuta maisha Ili kukabiliana na ukali wa maisha ..

Sasa mtu akiweka buku umeme wiki Zima,buku bando wiki Zima ndio maana uzembe umezidi, gharama zingekuwa juu kila mtu angekuwa busy kusaka pesa wasingepata mda wa kutukana.
Kwa hiyo unashauri wananchi waminywe zaidi ili waache kusumbua serikali
 
Kila zama na watu wake...JPM zama zake walikwepo akina Msemajiukweli. Zama za Samia ameibuka mwingine.
Zama za JK alikwepo akina Zomba....hivi kuna ka malipo hua wanapata?
 

Tanzania yatajwa kuwa ndio nchi yenye umeme wa bei chee zaidi Africa mashariki || Rwanda yatajwa kuuza umeme bei ya ghali zaidi nchi za maziwa makuu,​

" Hakuna kama Samaia "​



Tanzania baada kutajwa kama nchi yenye gharama ndogo ya mafuta ya taa, Petroli na dizeli ukiilinganisha na nchi zingine zinazounda jumuiya yetu ya Africa Mashariki ( EAC )

Vilevile,baada ya Tanzania kutajwa kuwa ndio nchi yenye gharama ndogo ya kununua bando yaani ( GB 1 ) Africa || Pongezi zote ziende kwa kiongozi mkuu wa Serikali Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa na nzuri anazozifanya katika kuwaletea maendeleo endelevu watu wake hawa ambao bado ni masikini wanahitaji unafuu wa maisha,

Ukisoma taarifa za jarida maarufu duniani la GPP ( Global Petrol Price) linaonesha hadi mwanzoni mwamwaka huu wa 2021 na mwishoni mwamwaka jana 2020 bei ya Umeme kwa ( kWh) kwenye mataifa makubwa ya Africa mashariki ( electricity tariff ) ilikuwa kama ifuatavyo :-

1. Rwanda $0.258kWh au TZS 567,6

2. Kenya $0.212kWh au TZS 466.4

3. Uganda $0.191kWh au TZS 420.2

4. Tanzania $0.099kWh au TZS 217.8


Hapa Watanzania mnielewe vizuri,Bei hii inamaana kuwa "Umeme unaotumia Wewe Mtanzania kwa siku mbili Ukienda Rwanda, Kenya au Uganda utatumia Umeme huohuo kwa masaa tu " Watanzania tuweni na shukrani kwani nchi yetu iko vizuri na katika uelekeo sahihi,

Watanzania lazima tuelewe vizuri, Juhudi zinazofanywa na Chama cha mapinduzi kupitia Serikali yake katika kuwaletea unafuu wa maisha wananchi wake huwezi kuzipata popote pale Africa na ushahidi ni hizi taarifa ambazo chanzo chake si Watanzania,

NB,Hapa tu ikiwa bado hatujaachia zile megawatt zetu 2,115 toka bwawa la Mwl Nyerere ( JNHPP ) kwenye gridi ya Taifa,

"
Amini nawaambieni,Tanzania tuko vizuri Sana kamwe tusijidharau wala kujilalamikia cause God loves us "

View attachment 1954959
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Ebu tueleze, kabla ya Mama Tanzania ilikuwa ya ngapi kwa bei ya umeme?
 
Back
Top Bottom